Mwanamfalme wa Uingereza Harry kufunga ndoa na muigizaji wa Marekani Meghan Markle

GGMU kwanza maana ushindi au kushindwa doa la milele kuliko harusi ambayo kufungwa inafungwa vizuri na watu wanasherehekea
Huo mtanange utakuwa wa kukata na shoka....

But all in all i wish all the best to my lovely team Manchester united....
 
Mbona mamaa kama vile ana mimba nyingine?
 
Ila
nasikia huyu mwanae ana hela pia hata kabla ya kua na uhusiano na Prince
 
Nasikia huyu Madam Eliton mke wa mtu
 
Ni shida sana maana hawaishi na pia malkia huwa harudii nguo kila siku anavaa mpya bei mbaya hapo kodi zinaliwa vizuri tu. William ndo komesha kila mwaka anaongeza tu idadi ya watu duniani
Royal family watu walishaichoka kukilisha kile kibibi na familia yake. Diana alikuwa karibu na watu sana na alifanya watu waipende Royal tena.
 
Sanaa tuu!amejiongeza mnooo
Same applies kwa destiny child...Beyonce alivyoona kundi limefubaa akajiweka kwa Jay Z pale anaemiliki studio za Def jam na msanii bilionea hadi Leo anarindima uzuri tu wenzake hata hawajulikani wanaishi kitongoji gani US. Kosa wameshindwa kuchanga karata zao vizuri.

Life is a game of chance!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…