Mwanamfalme wa Uingereza Harry kufunga ndoa na muigizaji wa Marekani Meghan Markle

Mwanamfalme wa Uingereza Harry kufunga ndoa na muigizaji wa Marekani Meghan Markle

Majesty ni mnafiki wala hajafurahi kuona mjukuu Harry anamuoa huyo black afuu commoner basi tuu afanyeje kaishajizeekea na ana skendo ya kumuua Diana....huyo Meghan kama mbele mbele hajapewa sumu sijui!

Hahaaa... Watu mshaanza conspiracy’s theory! Hao watu wamependana, na penzi halichagui! Pamoja na hayo, the girl is smart! Hapewi mtu sumu hapo’ [emoji1]
 
Ama kweli alimpania!
That was terrible lakini, he didn't even care to have an affair wakati he's the next in line?!
Afadhali hata angekuwa hajaoa..
Camila alimbikiri Charles long time ago, hakuweza kumuoa kwanza alikuwa m-Catholic pia hakuwa bikra kwa wakati ule heir to the thrown lazima aoe bikra.

Camila aliolewa na major Parker Bowels lakini moyo wake ulikuwa bado kwa Charles.

Diana alistuka kuwa Camila alikuwa na control ya ajabu over Charles, anaweza kumwambia njoo na akaacha kila analolifanya skaenda.
 
Iko kwenye damu kuna babu yake mmoja aliacha ufalme ili akamuoe mtalaka wa ki marekani.

Ingekuwa ni yule kaka yake asingeruhusiwa, Kate mwenyewe lakini hakuwa bikra kuna mjanja alisha wahi.
Ndio hapo napochoka. Akiwa kama mfalme watu wote ni wake; anashindwaje kujitwalia vilivyo vizuri akala kilicho chema badala ya kuokota rejects? King Mswati kumbe yuko njema sana yule jamaa.
 
Ndio hapo napochoka. Akiwa kama mfalme watu wote ni wake; anashindwaje kujitwalia vilivyo vizuri akala kilicho chema badala ya kuokota rejects? King Mswati kumbe yuko njema sana yule jamaa.
Baada ya kufahamu sababu ya kifo cha mama yake, dogo aliwaambia royal family na ufalme hautaki, walimbeleza sana. Wangemkatalia kumuoa Kate angewaambia wakae na ufalme wao.
 
Camila alimbikiri Charles long time ago, hakuweza kumuoa kwanza alikuwa m-Catholic pia hakuwa bikra kwa wakati ule heir to the thrown lazima air bikra.

Camila aliolewa na major Parker Bowels lakini moyo wake ulikuwa bado kwa Charles.

Diana alistuka kuwa Camila alikuwa na control ya ajabu over Charles, anaweza kumwambia njoo na akaacha kila vamalofanya.


Yaani naona kama Diana was right alipoomba Charles awe passed U King apewe tu William...lol

Khaa!, sio kwa haya Aseeh..
 

Mwanamfalme wa Uingereza Harry na mchumba wake muigizaji wa Marekani Meghan Markle watafunga ndoa mwakani, taarifa iliyotolewa na makazi ya kifalme ya jijini London (Clarence House) imeeleza.

========

Prince Harry is to marry his American actor girlfriend Meghan Markle in spring next year, Clarence House has announced.

“His Royal Highness the Prince of Wales is delighted to announce the engagement of Prince Harry to Ms Meghan Markle,” it said in a statement on Monday.

The ceremony is likely to be conducted by Justin Welby, the archbishop of Canterbury, who said he was delighted by the news and had been impressed by Harry’s “immense love for his family”.

Harry’s brother and sister-in-law, Prince William and Kate, said: “We are very excited for Harry and Meghan. It has been wonderful getting to know Meghan and to see how happy she and Harry are together.”

Clarence House said the couple got engaged in London this month. They were expected to show off the engagement ring at a photo call later on Monday.

A date and venue for the wedding will have been decided already, with March being the most likely month, leaving enough time to ensure Kate is not about to give birth to her third child.

The couple would live in Nottingham Cottage at Kensington Palace.

News of the wedding will prompt a media frenzy that is likely to further test Harry’s relationship with the press. The prince, 33, spoke out about the way Markle, who is divorced, was portrayed when news of the relationship became public just over a year ago.

Markle and Harry were reportedly introduced by the consultant Markus Anderson in 2016. Their relationship became public after about six months.

In September this year, in an interview with Vanity Fair, Markle spoke about her relationship with Harry, saying: “We’re two people who are really happy and in love. We were very quietly dating for about six months before it became news, and I was working during that whole time, and the only thing that changed was people’s perception.”

In the same month, the couple made their first public appearance, at the Invictus Games in Toronto.

Markle has spoken of her heritage as a source of pride. “My dad is Caucasian and my mom is African-American,” she has said in the past. “To say who I am, to share where I’m from, to voice my pride in being a strong, confident mixed-race woman.”

Her parents, Thomas Markle and Doria Ragland, said in a statement on Monday: “We are incredibly happy for Meghan and Harry. Our daughter has always been a kind and loving person. To see her union with Harry, who shares the same qualities, is a source of great joy for us as parents. We wish them a lifetime of
happiness and are very excited for their future together.”

The statement from Clarence House said: “Prince Harry has informed Her Majesty the Queen and other close members of his family.”

The Queen and Duke of Edinburgh “are delighted for the couple and wish them every happiness”, a Buckingham Palace spokesman said.

Theresa May offered her “very warmest congratulations” to the couple.

“This is a time of huge celebration and excitement for two people in love and, on behalf of myself, the government and the country, I wish them great happiness for the future,” the prime minister said in a statement

He condemned some of the newspaper reports and comment pieces as racist – Markle, 36, is mixed race – and sexist. His spokesman criticised the “racial undertones of comment pieces” and referred to “the nightly legal battles to keep defamatory stories out of papers”.

Harry also complained of “a smear on the front page” of the Sun, which ran still images of Markle in the television drama Suits appearing on Pornhub, an adult website. It was headlined “Harry girl’s on Pornhub” even though what was posted were clips of intimate scenes from the programme, and not pornography.

The news sparked a torrent of vitriol against Markle on Twitter and other social media platforms as well as in public comments below online news stories

Source: TheGuardian



Kipindi anatafuta mchumba,hakuwaona wanawake wenye asiri ya africa,?au hata wenye kutoka Arabia,Asia?
Hizi ni marriage of convinience,uwezi kukurupuka,ukajichukuria mchumba tu,kwa hapo,UK,lazima awe Angro Saxon,mzungu mweupe,
La sivyo,wasiojurikana wa huko UK,MI5,MI6,Scotland yard,GCHQ,na binamu yao CIA,watakuondoa duniani,ili kulinda damu ya kifalme isichafuliwe,na race zingine,
Utatulizwa,kama yule jamaa wa ki Arab aliyekuwa ana date na princess Diana.
 
Mama yake King George ni Queen Anna labda mama yake ndiye Charlotte
huyo huyo charlotte itakuwa nimechanganya.


halafu hii familia ina mambo mengi sana unajua david cameron ni from royal family babu yake sijui wa ngapi alikuwa bao la nje la mfalme
 
huyo huyo charlotte itakuwa nimechanganya.


halafu hii familia ina mambo mengi sana unajua david cameron ni from royal family babu yake sijui wa ngapi alikuwa bao la nje la mfalme
Mpaka uwe prime minister ni lazima upate approval ya queen na mara nyingi conservative ni aristocracy wanajuana.

Ingawa Tony Blair alitoka Labour lakini queen alimpenda kwakuwa the man was charismatic and smart.
 
Hivi hao mnaowajadili hapa nao watakuwa wanawajadili huko kwao?

Naona raia mnashuka nondo zinazo wahusu wao kiasi kwamba pengine wao hawajijui kama ndiyo walivyo

Tanzania ilitawaliwa na wazungu hadi leo hii bado imewatawala fikra zao...
 
Most likely! Mama yake alivyokuwa mrembo na smart huyu anatia aibu. Katika wanawake wote wa Kiingereza amekosa kabisa mke hadi aende Marekani tena demu kamzidi umri? Huyu kweli ngada inamhusu.
Huyo actress inasemekana ni mwanausalama na ataingia kwenye hio Royal family kwa Kazi maalumu, US kweli Noma wanapandikiza mpaka sehemu hatarishi
 
Kwa hivyo mwana mfalme ni vibaya kuoa machotara meusi?
Ukishangaa ya mwana mfalme Harry kuoa chotara wa kizungu na mtu mweusi utayaona ya Mfalme Sulemani kuoa Malkia wa Sheba mwanamke mweusi kamili sio chotara.

Notice: Suleman alikuwa mfalme kamilisi mwana mfalme.
Hahahahahha mbona Suleiman nae alikuwa mweusi tii!! Hakuna la ajabu walioana weusi!! Hakuna mbora baina ya mweusi na mweupe ispokuwa yule mwenye nadhari juu ya matendo yake na mwenye kuisha kwa adabu ya utamaduni halisi wa dunia kwa maumbile yake asilia!!
 
Back
Top Bottom