Mwanamitindo nguli Flaviana Matata hatimae amekiri kutalikiana na aliyekuwa mume wake

Mwanamitindo nguli Flaviana Matata hatimae amekiri kutalikiana na aliyekuwa mume wake

Yaani sijui kwa nini watu kwenye ndoa waki achana wanawake ndio hulalamika, ila wanaume kimya na unaweza kuta hawana kosa hata kidogo ila wameamua kuya hifadhi.
Wapo wanawake ndoa ikivunjika wanapiga kimya wanaume ndo wanalalamika.

Kisaikolojia mlalamishi ni mawili aidha anajitetea ili asilaumiwe ila anajua kosa lake au alikuwa akimkosea mwenzake kwa makusudi bila kujali sasa mwenzake kaamua kuchukua hatua yeye anapaniki maana hakujiandaa kuachwa.
 
Tuache kuangalia mambo ya kujenga ndoa tuangalie mambo ya kuidhoofisha. Wewe haujitambui.

Kwanza umeolewa maana wanawake mkishaharibu mnataka na wenzenu waharibu ili muwe wengi mjisikie vizuri kuishi kinungayembe.....


Wewe umeolewa upo ndani ya ndoa if no then jua huwezi comment mazuri kuhusu ndoa coz ipo wazi wanawake ambao umri wa kuchumbiwa umewatupa mkono, au ambao mshaharibu mazingira ya kuwa na vigezo vyakuwa mke wa mtu mnakuwa na kisirani na wanawake wenzenu ambao wapo katika nafasi nzuri kupata ndoa ili kuwashawishi waharibu wafeli kama
Pambana na wanaojitambua
 
Aisee kumbe flavy ametalikiana miaka 3 iliyopita!?? Anyway mtu ambaye anaweza kunipa mawasiliano ya flaviana matata, kuna laki Moja yake hapa. Msisitizo nahitaji mawasiliano tu siyo kunikuwadia,nitamtongoza mwenyewe na nitaoana naye tukiafikiana! Laki Moja ipo hapa mwenye mawasiliano ya flavy...
Mi nanayo namba ake....hiyo laki naipataje?
 
Aisee kumbe flavy ametalikiana miaka 3 iliyopita!?? Anyway mtu ambaye anaweza kunipa mawasiliano ya flaviana matata, kuna laki Moja yake hapa. Msisitizo nahitaji mawasiliano tu siyo kunikuwadia,nitamtongoza mwenyewe na nitaoana naye tukiafikiana! Laki Moja ipo hapa mwenye mawasiliano ya flavy...
Unamaanisha?[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nanayo namba ake....hiyo laki naipataje?
Vile nitakavyoipata mm hiyo number ndivyo na ww utaipata hiyo laki. Mm ndo nimeahidi hiyo laki, huna haja ya kuwa na wasiwasi maana hiyo number km unayo ipo tu kwenye simu lkn haikuingizii chochote ila Leo itakupatia laki. Njoo pm km kweli unayo!
 
Kilanga tu. Unakuta huo anaita ukatili ni mume wake kumind kila akimkuta na wanaume wamekaa lounge wanapiga story na yeye kamuacha mumewe home pekee yake.
Sure mkuu, huo ukatili wanaosema wanafanyiwa sjui ukoje, I wish wawe wanauelezea sio kusema tu "ukatili ".
 
Wapo wanawake ndoa ikivunjika wanapiga kimya wanaume ndo wanalalamika.

Kisaikolojia mlalamishi ni mawili aidha anajitetea ili asilaumiwe ila anajua kosa lake au alikuwa akimkosea mwenzake kwa makusudi bila kujali sasa mwenzake kaamua kuchukua hatua yeye anapaniki maana hakujiandaa kuachwa.
Ujue mimi mzee wangu kwenye familia ni mkubwa mara nyingi huletewaga haya matatizo ya kifamilia au hata ya mtaani. Unakuta kuna binti ana mlalamikia mumewe wee, mzee huwaga anamwacha na kumwambia aje na mumewe sasa mwanaume akianza kusimulia, yaani unaona kabisa mwanamke ana kosa na yy mwisho wa siku ana kubali.

Yaani basi sometimes wanaume tuna amua kuya puuzia tu.
 
Huyu hakuwa material ya kuolewa na MASSAWE kwani alishatumika sana na wale promoters wake!! Kuolewa ilikuwa kutoa GUNDU basi!!! Huyu aliyekuwa mumewe anaendelea na maisha yake huko Marekani; aliwahi kuishi Seattle nadhani sasa anaweza kuwa Atlanta.

Hawa models mara zote ni high class prostitutes!!
Kipindi anamuoa nilishangaa sana Flavian sio mwanamke wa kuoa, ni wa kupita nae tu Ila kumweka ndani nilistaajabu sana
 
Hata ndoa za mtaani nyingi hazidumu ni vile tu hazipo kwa spotlight.
Kuna haja ya wanaume kupewa mafunzo kama wanavyosisitizwa wanawake.
Na kuna haja ya watu kuacha kuoana ili tu kuonekana wameolewa na kuoa.
Mwisho ndoa ikiwa ngumu mnaachana tu, sio kila ndoa lazima idumu
Hakika kabisaa.
 
Katika mtandao wa kijamii wa Instagram, mwanamitindo, mwanaharakati ambae pia ni mfanyabiashara Flaviana Matata ameonekana kukiri ndoa yake ilikwishavunjika. Mara nyingi watu wamekua wakijiuliza kwanini haonekani na mume wake, wengine wakiuliza alipo mumewe.

Pichaaa zaidiii tunaombaa
 
Back
Top Bottom