cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda jamaa alitaka mkewe anenepe awe na kijungu. AkakaZa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda jamaa alitaka mkewe anenepe awe na kijungu. AkakaZa
Chora 7 nikupunguze hasira mjumbe.Unajua wewe na huyo jamaa mnaojibizana ni wa watoto mnapata faida gani
Nendeni pm hakuna mtu anayetaka kuendelea kusikiliza ujinga wenu watu wazima hovyo mnaharibu Uzi ulikua mzuri tu
Hoja nzuri sana. Hongera mama.IFIKE MAHALA TUWE NA MAWAZO MAZURI PALE AMBAPO HATUNA SABABU YA KUMCHAFU MTU BILA USHAHIDI
Umeamua kumbebea bango na kumhukumu flavy kuwa mkosaji lakini hujatuambia
Huyo Massawe unayemtete unajua mambo yake ya ndani?
Hayo ya kutumika sana na promota wake umeyapimaje? Je, hadi kuamua kumuoa huyo Massawe yeye hakuwa anayajua?? Unaposema hakuwa wife material kwani Vigezo vyako vya mwanamke kuwa wife material kwako ndio vigezo vya kila mwanaume??
Unasema models mara zote ni highclass prostitutes, kwa hiyo prostitutes wote wa high class ni models[emoji849][emoji849]
IFIKE MAHALA TUWE NA MAWAZO MAZURI PALE AMBAPO HATUNA SABABU YA KUMCHAFU MTU BILA USHAHIDI
Umeamua kumbebea bango na kumhukumu flavy kuwa mkosaji lakini hujatuambia
Huyo Massawe unayemtete unajua mambo yake ya ndani?
Hayo ya kutumika sana na promota wake umeyapimaje? Je, hadi kuamua kumuoa huyo Massawe yeye hakuwa anayajua?? Unaposema hakuwa wife material kwani Vigezo vyako vya mwanamke kuwa wife material kwako ndio vigezo vya kila mwanaume??
Unasema models mara zote ni highclass prostitutes, kwa hiyo prostitutes wote wa high class ni models🙄🙄
Well said aisee Massawe anataka kukaa na mkewe wa enjoy mkewe anataka kuwa modal na kuzunguka hana hata mpango wa kuwa na familiaHuyu hakuwa material ya kuolewa na MASSAWE kwani alishatumika sana na wale promoters wake!! Kuolewa ilikuwa kutoa GUNDU basi!!! Huyu aliyekuwa mumewe anaendelea na maisha yake huko Marekani; aliwahi kuishi Seattle nadhani sasa anaweza kuwa Atlanta.
Hawa models mara zote ni high class prostitutes!!
Aliolewa na mchagga mmoja Deo Massawe ndoa nzuri kubwa hapa hapa TanzaniaAliolewa na nani? Last time I check Russell Simmons ndio alikuwa anapumzika hapo..
Wewe umetekwa kama ulivyosema mwenyewe, sasa walio kuteka WAMEKUFANYA VIBAYA na ndio maana ukasema mwenyewe bora mgao wa maji kuliko kutekana.Naona babycare hujaipenda nitakuletea Ile Kali zaidi.
Asante sana maana nimeboeka kishenzi na huu ujinga waoUnajua wewe na huyo jamaa mnaojibizana ni wa watoto mnapata faida gani
Nendeni pm hakuna mtu anayetaka kuendelea kusikiliza ujinga wenu watu wazima hovyo mnaharibu Uzi ulikua mzuri tu
Wanawake wengi hupenda kuji victimize [emoji1787] hasa akijua Ana makosaUjue mimi mzee wangu kwenye familia ni mkubwa mara nyingi huletewaga haya matatizo ya kifamilia au hata ya mtaani. Unakuta kuna binti ana mlalamikia mumewe wee, mzee huwaga anamwacha na kumwambia aje na mumewe sasa mwanaume akianza kusimulia, yaani unaona kabisa mwanamke ana kosa na yy mwisho wa siku ana kubali.
Yaani basi sometimes wanaume tuna amua kuya puuzia tu.
Hii ilinipita Kwa kweli.Aliolewa na mchagga mmoja Deo Massawe ndoa nzuri kubwa hapa hapa Tanzania
Hebu tuambie kidogo kuhusu huyu Russel Simoons mkuu ?Sina haja ya malumbano na wewe kuhusu huyo Flaviana. Unamfahamu au umewahi kumsikia RUSSEL SIMMONS na uhusiano wake na huyo mama? Ndio maana nikasema hao ni high profile prostitutes camouflaging as models!!!
Mmezoea kudanganywa pale mnapoambiwa ukweli mnasema mnachafuliwa!!!!
Hebu tuambie kidogo kuhusu huyu Russel Simoons mkuu ?
Sina haja ya malumbano na wewe kuhusu huyo Flaviana. Unamfahamu au umewahi kumsikia RUSSEL SIMMONS na uhusiano wake na huyo mama? Ndio maana nikasema hao ni high profile prostitutes camouflaging as models!!!
Mmezoea kudanganywa pale mnapoambiwa ukweli mnasema mnachafuliwa!!!!
Kwani RUSSEL SIMMONS hatakiwi kuwa na mahusiano? Au yeye sio binadamu
Hebu acha wivu buana😅😅😅