Wapo wanawake ndoa ikivunjika wanapiga kimya wanaume ndo wanalalamika.Yaani sijui kwa nini watu kwenye ndoa waki achana wanawake ndio hulalamika, ila wanaume kimya na unaweza kuta hawana kosa hata kidogo ila wameamua kuya hifadhi.
Kilanga tu. Unakuta huo anaita ukatili ni mume wake kumind kila akimkuta na wanaume wamekaa lounge wanapiga story na yeye kamuacha mumewe home pekee yake.Sijui labda mwenzangu umemuelewa tofauti, ila anadai sasa "amepona......"
View attachment 2013878
Pambana na wanaojitambuaTuache kuangalia mambo ya kujenga ndoa tuangalie mambo ya kuidhoofisha. Wewe haujitambui.
Kwanza umeolewa maana wanawake mkishaharibu mnataka na wenzenu waharibu ili muwe wengi mjisikie vizuri kuishi kinungayembe.....
Wewe umeolewa upo ndani ya ndoa if no then jua huwezi comment mazuri kuhusu ndoa coz ipo wazi wanawake ambao umri wa kuchumbiwa umewatupa mkono, au ambao mshaharibu mazingira ya kuwa na vigezo vyakuwa mke wa mtu mnakuwa na kisirani na wanawake wenzenu ambao wapo katika nafasi nzuri kupata ndoa ili kuwashawishi waharibu wafeli kama
Asante....Pambana na wanaojitambua
Mmmh mbona hauzungumzii labda alimkuta mumewe anatafunwa on bed[emoji848][emoji848]Kilanga tu. Unakuta huo anaita ukatili ni mume wake kumind kila akimkuta na wanaume wamekaa lounge wanapiga story na yeye kamuacha mumewe home pekee yake.
Wee usinambie shost..alikwiba mume ya mutu[emoji16][emoji16]
Mi nanayo namba ake....hiyo laki naipataje?Aisee kumbe flavy ametalikiana miaka 3 iliyopita!?? Anyway mtu ambaye anaweza kunipa mawasiliano ya flaviana matata, kuna laki Moja yake hapa. Msisitizo nahitaji mawasiliano tu siyo kunikuwadia,nitamtongoza mwenyewe na nitaoana naye tukiafikiana! Laki Moja ipo hapa mwenye mawasiliano ya flavy...
Aseme sasa ili tumseme mumewe. Ukishakuwa public figure everything about u becomes public property.Mmmh mbona hanzungumzii labda alimkuta mumewe anatafunwa on bed[emoji848][emoji848]
Mambo ya ugasho yametamalaki kwa wanaume
Ndoa moja ya Taasisi iliyojaa unafiki mkubwa sana.Yaani sijui kwa nini watu kwenye ndoa waki achana wanawake ndio hulalamika, ila wanaume kimya na unaweza kuta hawana kosa hata kidogo ila wameamua kuya hifadhi.
Tena kwenye lile group lao..Wee usinambie shost..alikwiba mume ya mutu[emoji16][emoji16]
Unamaanisha?[emoji23]Aisee kumbe flavy ametalikiana miaka 3 iliyopita!?? Anyway mtu ambaye anaweza kunipa mawasiliano ya flaviana matata, kuna laki Moja yake hapa. Msisitizo nahitaji mawasiliano tu siyo kunikuwadia,nitamtongoza mwenyewe na nitaoana naye tukiafikiana! Laki Moja ipo hapa mwenye mawasiliano ya flavy...
Vile nitakavyoipata mm hiyo number ndivyo na ww utaipata hiyo laki. Mm ndo nimeahidi hiyo laki, huna haja ya kuwa na wasiwasi maana hiyo number km unayo ipo tu kwenye simu lkn haikuingizii chochote ila Leo itakupatia laki. Njoo pm km kweli unayo!Mi nanayo namba ake....hiyo laki naipataje?
Nipo serious mkuu..
Sure mkuu, huo ukatili wanaosema wanafanyiwa sjui ukoje, I wish wawe wanauelezea sio kusema tu "ukatili ".Kilanga tu. Unakuta huo anaita ukatili ni mume wake kumind kila akimkuta na wanaume wamekaa lounge wanapiga story na yeye kamuacha mumewe home pekee yake.
witnessjNipo serious mkuu..
Ujue mimi mzee wangu kwenye familia ni mkubwa mara nyingi huletewaga haya matatizo ya kifamilia au hata ya mtaani. Unakuta kuna binti ana mlalamikia mumewe wee, mzee huwaga anamwacha na kumwambia aje na mumewe sasa mwanaume akianza kusimulia, yaani unaona kabisa mwanamke ana kosa na yy mwisho wa siku ana kubali.Wapo wanawake ndoa ikivunjika wanapiga kimya wanaume ndo wanalalamika.
Kisaikolojia mlalamishi ni mawili aidha anajitetea ili asilaumiwe ila anajua kosa lake au alikuwa akimkosea mwenzake kwa makusudi bila kujali sasa mwenzake kaamua kuchukua hatua yeye anapaniki maana hakujiandaa kuachwa.
Kipindi anamuoa nilishangaa sana Flavian sio mwanamke wa kuoa, ni wa kupita nae tu Ila kumweka ndani nilistaajabu sanaHuyu hakuwa material ya kuolewa na MASSAWE kwani alishatumika sana na wale promoters wake!! Kuolewa ilikuwa kutoa GUNDU basi!!! Huyu aliyekuwa mumewe anaendelea na maisha yake huko Marekani; aliwahi kuishi Seattle nadhani sasa anaweza kuwa Atlanta.
Hawa models mara zote ni high class prostitutes!!
Hakika kabisaa.Hata ndoa za mtaani nyingi hazidumu ni vile tu hazipo kwa spotlight.
Kuna haja ya wanaume kupewa mafunzo kama wanavyosisitizwa wanawake.
Na kuna haja ya watu kuacha kuoana ili tu kuonekana wameolewa na kuoa.
Mwisho ndoa ikiwa ngumu mnaachana tu, sio kila ndoa lazima idumu
Pichaaa zaidiii tunaombaaKatika mtandao wa kijamii wa Instagram, mwanamitindo, mwanaharakati ambae pia ni mfanyabiashara Flaviana Matata ameonekana kukiri ndoa yake ilikwishavunjika. Mara nyingi watu wamekua wakijiuliza kwanini haonekani na mume wake, wengine wakiuliza alipo mumewe.