Mwanamitindo nguli Flaviana Matata hatimae amekiri kutalikiana na aliyekuwa mume wake

Hoja nzuri sana. Hongera mama.
 

Sina haja ya malumbano na wewe kuhusu huyo Flaviana. Unamfahamu au umewahi kumsikia RUSSEL SIMMONS na uhusiano wake na huyo mama? Ndio maana nikasema hao ni high profile prostitutes camouflaging as models!!!
Mmezoea kudanganywa pale mnapoambiwa ukweli mnasema mnachafuliwa!!!!
 
Well said aisee Massawe anataka kukaa na mkewe wa enjoy mkewe anataka kuwa modal na kuzunguka hana hata mpango wa kuwa na familia
 
Naona babycare hujaipenda nitakuletea Ile Kali zaidi.
Wewe umetekwa kama ulivyosema mwenyewe, sasa walio kuteka WAMEKUFANYA VIBAYA na ndio maana ukasema mwenyewe bora mgao wa maji kuliko kutekana.
 
Wanawake wengi hupenda kuji victimize [emoji1787] hasa akijua Ana makosa

Jamaa aliemuoa hutokuja msikia Kama ni gentleman kweli kweli

Labda Kama ni dizaini za akina mama levo
 
Aliolewa na mchagga mmoja Deo Massawe ndoa nzuri kubwa hapa hapa Tanzania
Hii ilinipita Kwa kweli.

Ila hayo majina ya kina masawe wanapenda wanawake wazuri.. Ila wakishawaoa hawapendi kuwaona on spotlights hasa Kwa kutumia huo uzuri wao tu.
 
Hebu tuambie kidogo kuhusu huyu Russel Simoons mkuu ?
 
Kama hadi mimi sha kula huyu .mlitegemea ata dumu kweny ndoa
 

Kwani RUSSEL SIMMONS hatakiwi kuwa na mahusiano? Au yeye sio binadamu

Hebu acha wivu buana😅😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…