King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Hakikisha unamzidi mwanamke Akili na Fedha ,Akikuzidi hivyo vitu jua utaishi kwa mateso na suluhu ni kuachana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wazo kubwa sanaHakikisha unamzidi mwanamke Akili na Fedha ,Akikuzidi hivyo vitu jua utaishi kwa mateso na suluhu ni kuachana.
Naona huku ndo kutokujibu yaani umekaa kimyaaa?Huna IQ ya kunifunda. Jiheshimu
Maana reasoning yako wewe mwenyewe tu haikutoshi. Wenye akili timamu hawatoi ushauri kwa lugha zisizo na staha.
Tena ni aibu kukurupuka na maneno kibao bila kuchambua content.
Sitokujibu and am ignoring your contents.
Hujakutana na mwanamke mpumbavu wewe!!!Hakikisha unamzidi mwanamke Akili na Fedha ,Akikuzidi hivyo vitu jua utaishi kwa mateso na suluhu ni kuachana.
Unajua Flaviana wakati anaingia kwenye urembo alikuwa binti tu katoka shinyanga na ndoto zake za kuwa electrical engineer (kama sijakosea)
Unajua aliiweka ndoto zake pembeni baada ya kuona modelling inampeleka mbali na ikambidi aipambanie hadi kufika alipofika
Nina uhakika 100% Massawe wakati anaamua kumuoa alijua kabisa huyo ni beauty Queen tena akiwa katika peak ya career yake. Sidhani kama walijadiliana kuwa flavy aache shughuli zake ili awe home maker, Matter of fact Flavi alikiri kwenye kipindi cha mkasi kuwa jamaa anamsupport sana ndo maana ikawa rahisi kufunga ndoa.. so what's the point
Mnataka kumlaumu Flavy kwa kuwa Flavy au massawe kwa kuoa mke asiewezana nae au mjilaumu nyinyi kwa kuongelea issue pasipo kujua sababu
Ndiyo maana naogopa sana mtoto wangu wa like kuwa celebrity in future
Dina aliolewa lini?Na hawa n baadhi Yao wanaongoza
Kuvunja ndoa nying
Dinamarios anatanyaza efm
Joycekiria huyu alikua RfA
Hawa wote ndo ziliwashinda yani
I am not well versed with flavy story.
But judging from your analysis, huenda you kinda bias on your conclusion referring "Massawe alioa mke asiyewezana".
Kama Massawe alimkubali Flavy as a beauty queen to the extent of supporting her, maana yake tangu mwanzo jamaa alimpenda Flavy jinsi alivyo, alikuwa tayari kukabiliana na athari za kumpenda jinsi alivyo na pia alikuwa tayari kuwa pale kwa ajili ya Flavy.
Objectively speaking its illogical kuhitimisha kilichotokea huenda ni matokeo ya Massawe kutokubaliana na alichokubaliana nacho tangu mwanzo.
Vilevile kama Flavy hakuwa na pingamizi la kuwa anavyotaka, why would would she depart ili kuwa anavyotaka?
Kuna mawili, huenda Flavy amekuwa akitoa ushuhuda usio wa kweli au Mkuu kuna hitimisho lingine unalijua ila umetuficha makusudi.
I was not blaming anyone ila kuonesha hii issue kwa angle nyingine
Watu wanachukulia career ya Flavy kama ndio sababu bila hata kujua sababu husika. Hii ni sawa na kusema massawe hakuwa akijua anajiingiza kwenye nini from the start which is impossible
wengine wameenda mbali kuona kama flavy alitakiwa kuitupa career yake ili awe home maker which i don't consider as being fair to her, ni sawa na kutaka mtu aache PHD na career yake ili awe good wife. That's not fair
Dina alikuaga anakaa na nchakaliDina aliolewa lini?
Halafu kumbe Kiria alitangaza rfa!!
Una kumbuka ni mwaka gani ameanza ametoka shinyanya na kuanza mambo ya models maana naona watu wansmwita binti wakati ka umri kametia nanga tangu nianze kumsikia sio leoUnajua Flaviana wakati anaingia kwenye urembo alikuwa binti tu katoka shinyanga na ndoto zake za kuwa electrical engineer (kama sijakosea)
Unajua aliiweka ndoto zake pembeni baada ya kuona modelling inampeleka mbali na ikambidi aipambanie hadi kufika alipofika
Nina uhakika 100% Massawe wakati anaamua kumuoa alijua kabisa huyo ni beauty Queen tena akiwa katika peak ya career yake. Sidhani kama walijadiliana kuwa flavy aache shughuli zake ili awe home maker, Matter of fact Flavi alikiri kwenye kipindi cha mkasi kuwa jamaa anamsupport sana ndo maana ikawa rahisi kufunga ndoa.. so what's the point
Mnataka kumlaumu Flavy kwa kuwa Flavy au massawe kwa kuoa mke asiewezana nae au mjilaumu nyinyi kwa kuongelea issue pasipo kujua sababu
Na wanamitindo hawataki kuzaa eti watazeeka au mwonekano wao utabadilika ama unakuta mwili wameshaufanyia upasuaji mbalimbali wa plastic ili kulazimisha muonekano hayo ma surgery yanaweza kuathiri mfumo wa uzaziWachaga wana penda sana kupata watoto
Hahahahahahhah yani uchumba miaka 6 ndoa week 2? 😂😇😅Ndoa nyingi siku hizi zimekua hazidumu
Nina mtu wangu wa karibu alioa ndoa yake ilidumu wiki2 na nusu tuu, tena wanandoa walifahamiana kwa miaka6 na walikua marafiki wazuri tuu.
Flaviana analo lililomkuta jamani, hapa analaumiwa sababu tuu ya umaarufu wake.
Mshamba huyo kashazingua anatafta wafuasi wenzie 😂Tuache kuangalia mambo ya kujenga ndoa tuangalie mambo ya kuidhoofisha. Wewe haujitambui.
Kwanza umeolewa maana wanawake mkishaharibu mnataka na wenzenu waharibu ili muwe wengi mjisikie vizuri kuishi kinungayembe.....
Wewe umeolewa upo ndani ya ndoa if no then jua huwezi comment mazuri kuhusu ndoa coz ipo wazi wanawake ambao umri wa kuchumbiwa umewatupa mkono, au ambao mshaharibu mazingira ya kuwa na vigezo vyakuwa mke wa mtu mnakuwa na kisirani na wanawake wenzenu ambao wapo katika nafasi nzuri kupata ndoa ili kuwashawishi waharibu wafeli kama ninyi!
Tatizo wachaga wengi wa huko mambele huwa machoko! Unakuta jamaa ana hela ila anapumuliwa kisogoni na wajuba au anakuwa mende😅!IFIKE MAHALA TUWE NA MAWAZO MAZURI PALE AMBAPO HATUNA SABABU YA KUMCHAFU MTU BILA USHAHIDI
Umeamua kumbebea bango na kumhukumu flavy kuwa mkosaji lakini hujatuambia
Huyo Massawe unayemtete unajua mambo yake ya ndani?
Hayo ya kutumika sana na promota wake umeyapimaje? Je, hadi kuamua kumuoa huyo Massawe yeye hakuwa anayajua?? Unaposema hakuwa wife material kwani Vigezo vyako vya mwanamke kuwa wife material kwako ndio vigezo vya kila mwanaume??
Unasema models mara zote ni highclass prostitutes, kwa hiyo prostitutes wote wa high class ni models🙄🙄
Katika kila mahusiano yanapovunjika mwanaume ndio huwa anatupiwa lawama aidha malaya au bahili au mnyanyasaji😅 ila mwanamke yeye always ata play innocent tu.Kumbuka Adele nae ni Mwanamke, mimi sija mzungumzia mtu bali nime izungumzia jinsia kiujumla, wewe fuatilia sana pindi wana ndoa wanapo achana, mara nyingi wanaume ndio tunaonekana tuna makosa,labda sababu ya ukimya wetu ndio unatufanya tuonekane tuna makosa.