Mwanamitindo nguli Flaviana Matata hatimae amekiri kutalikiana na aliyekuwa mume wake

Mwanamitindo nguli Flaviana Matata hatimae amekiri kutalikiana na aliyekuwa mume wake

Huna IQ ya kunifunda. Jiheshimu
Maana reasoning yako wewe mwenyewe tu haikutoshi. Wenye akili timamu hawatoi ushauri kwa lugha zisizo na staha.
Tena ni aibu kukurupuka na maneno kibao bila kuchambua content.
Sitokujibu and am ignoring your contents.
Naona huku ndo kutokujibu yaani umekaa kimyaaa?

anyway nisamehe kwa lugha ila content baki nayo maisha yako yoote
 
Bora ameamua kuweka wazi hv sasa, ila kulikuwa na stori ya huyo kijana ikapelekea waachane.
 
Unajua Flaviana wakati anaingia kwenye urembo alikuwa binti tu katoka shinyanga na ndoto zake za kuwa electrical engineer (kama sijakosea)

Unajua aliiweka ndoto zake pembeni baada ya kuona modelling inampeleka mbali na ikambidi aipambanie hadi kufika alipofika

Nina uhakika 100% Massawe wakati anaamua kumuoa alijua kabisa huyo ni beauty Queen tena akiwa katika peak ya career yake. Sidhani kama walijadiliana kuwa flavy aache shughuli zake ili awe home maker, Matter of fact Flavi alikiri kwenye kipindi cha mkasi kuwa jamaa anamsupport sana ndo maana ikawa rahisi kufunga ndoa.. so what's the point

Mnataka kumlaumu Flavy kwa kuwa Flavy au massawe kwa kuoa mke asiewezana nae au mjilaumu nyinyi kwa kuongelea issue pasipo kujua sababu

I am not well versed with flavy story.

But judging from your analysis, huenda you kinda bias on your conclusion referring "Massawe alioa mke asiyewezana".

Kama Massawe alimkubali Flavy as a beauty queen to the extent of supporting her, maana yake tangu mwanzo jamaa alimpenda Flavy jinsi alivyo, alikuwa tayari kukabiliana na athari za kumpenda jinsi alivyo na pia alikuwa tayari kuwa pale kwa ajili ya Flavy.

Objectively speaking its illogical kuhitimisha kilichotokea huenda ni matokeo ya Massawe kutokubaliana na alichokubaliana nacho tangu mwanzo.

Vilevile kama Flavy hakuwa na pingamizi la kuwa anavyotaka, why would would she depart ili kuwa anavyotaka?

Kuna mawili, huenda Flavy amekuwa akitoa ushuhuda usio wa kweli au Mkuu kuna hitimisho lingine unalijua ila umetuficha makusudi.
 
I am not well versed with flavy story.

But judging from your analysis, huenda you kinda bias on your conclusion referring "Massawe alioa mke asiyewezana".

Kama Massawe alimkubali Flavy as a beauty queen to the extent of supporting her, maana yake tangu mwanzo jamaa alimpenda Flavy jinsi alivyo, alikuwa tayari kukabiliana na athari za kumpenda jinsi alivyo na pia alikuwa tayari kuwa pale kwa ajili ya Flavy.

Objectively speaking its illogical kuhitimisha kilichotokea huenda ni matokeo ya Massawe kutokubaliana na alichokubaliana nacho tangu mwanzo.

Vilevile kama Flavy hakuwa na pingamizi la kuwa anavyotaka, why would would she depart ili kuwa anavyotaka?

Kuna mawili, huenda Flavy amekuwa akitoa ushuhuda usio wa kweli au Mkuu kuna hitimisho lingine unalijua ila umetuficha makusudi.

I was not blaming anyone ila kuonesha hii issue kwa angle nyingine

Watu wanachukulia career ya Flavy kama ndio sababu bila hata kujua sababu husika. Hii ni sawa na kusema massawe hakuwa akijua anajiingiza kwenye nini from the start which is impossible

wengine wameenda mbali kuona kama flavy alitakiwa kuitupa career yake ili awe home maker which i don't consider as being fair to her, ni sawa na kutaka mtu aache PHD na career yake ili awe good wife. That's not fair
 
I was not blaming anyone ila kuonesha hii issue kwa angle nyingine

Watu wanachukulia career ya Flavy kama ndio sababu bila hata kujua sababu husika. Hii ni sawa na kusema massawe hakuwa akijua anajiingiza kwenye nini from the start which is impossible

wengine wameenda mbali kuona kama flavy alitakiwa kuitupa career yake ili awe home maker which i don't consider as being fair to her, ni sawa na kutaka mtu aache PHD na career yake ili awe good wife. That's not fair

"Watu wanachukulia career ya Flavy kama ndio sababu bila hata kujua sababu husika"

Mkuu huku ni kutaka Watz wasiwe watz which is against your values 🤣...

Ni jadi yetu kutaka kudadavua mambo kwa uhakika wote bila kutaka kujua sabb husika ya jambo.

I guess it's not fair either kuonesha concern ya sisi kutotaka kujua sabb husika.
 
Unajua Flaviana wakati anaingia kwenye urembo alikuwa binti tu katoka shinyanga na ndoto zake za kuwa electrical engineer (kama sijakosea)

Unajua aliiweka ndoto zake pembeni baada ya kuona modelling inampeleka mbali na ikambidi aipambanie hadi kufika alipofika

Nina uhakika 100% Massawe wakati anaamua kumuoa alijua kabisa huyo ni beauty Queen tena akiwa katika peak ya career yake. Sidhani kama walijadiliana kuwa flavy aache shughuli zake ili awe home maker, Matter of fact Flavi alikiri kwenye kipindi cha mkasi kuwa jamaa anamsupport sana ndo maana ikawa rahisi kufunga ndoa.. so what's the point

Mnataka kumlaumu Flavy kwa kuwa Flavy au massawe kwa kuoa mke asiewezana nae au mjilaumu nyinyi kwa kuongelea issue pasipo kujua sababu
Una kumbuka ni mwaka gani ameanza ametoka shinyanya na kuanza mambo ya models maana naona watu wansmwita binti wakati ka umri kametia nanga tangu nianze kumsikia sio leo
 
huyu demu anakoboana hivyo ni ngumu kukaa kwenye ndoa na mwanaume, siku hizi wana genge lao wanafanyaga house party weekend humo ndani wanakoboana hatari pia wananafndisha mabinti wadogo kukoboana kwa gia ya kujifanya mafeminist
 
Wachaga wana penda sana kupata watoto
Na wanamitindo hawataki kuzaa eti watazeeka au mwonekano wao utabadilika ama unakuta mwili wameshaufanyia upasuaji mbalimbali wa plastic ili kulazimisha muonekano hayo ma surgery yanaweza kuathiri mfumo wa uzazi
 
Ndoa nyingi siku hizi zimekua hazidumu

Nina mtu wangu wa karibu alioa ndoa yake ilidumu wiki2 na nusu tuu, tena wanandoa walifahamiana kwa miaka6 na walikua marafiki wazuri tuu.

Flaviana analo lililomkuta jamani, hapa analaumiwa sababu tuu ya umaarufu wake.
Hahahahahahhah yani uchumba miaka 6 ndoa week 2? 😂😇😅

Ndio maana huwa nasisitiza probation ni muhimu aisee! Yale mambo ya kukutania Karambezi na kulalana hotelini weekend halafu kila mtu anaendelea na maisha yake unafiki ni mwingi sana.

Kaeni ndani pamoja hata miezi 3 tu mnalala na kuamka muone kama mtawezana kabla hata hamjatambulishana makwenu😅
 
Tuache kuangalia mambo ya kujenga ndoa tuangalie mambo ya kuidhoofisha. Wewe haujitambui.

Kwanza umeolewa maana wanawake mkishaharibu mnataka na wenzenu waharibu ili muwe wengi mjisikie vizuri kuishi kinungayembe.....


Wewe umeolewa upo ndani ya ndoa if no then jua huwezi comment mazuri kuhusu ndoa coz ipo wazi wanawake ambao umri wa kuchumbiwa umewatupa mkono, au ambao mshaharibu mazingira ya kuwa na vigezo vyakuwa mke wa mtu mnakuwa na kisirani na wanawake wenzenu ambao wapo katika nafasi nzuri kupata ndoa ili kuwashawishi waharibu wafeli kama ninyi!
Mshamba huyo kashazingua anatafta wafuasi wenzie 😂
 
IFIKE MAHALA TUWE NA MAWAZO MAZURI PALE AMBAPO HATUNA SABABU YA KUMCHAFU MTU BILA USHAHIDI

Umeamua kumbebea bango na kumhukumu flavy kuwa mkosaji lakini hujatuambia

Huyo Massawe unayemtete unajua mambo yake ya ndani?

Hayo ya kutumika sana na promota wake umeyapimaje? Je, hadi kuamua kumuoa huyo Massawe yeye hakuwa anayajua?? Unaposema hakuwa wife material kwani Vigezo vyako vya mwanamke kuwa wife material kwako ndio vigezo vya kila mwanaume??

Unasema models mara zote ni highclass prostitutes, kwa hiyo prostitutes wote wa high class ni models🙄🙄
Tatizo wachaga wengi wa huko mambele huwa machoko! Unakuta jamaa ana hela ila anapumuliwa kisogoni na wajuba au anakuwa mende😅!

Mke akijua lazma mtemane tu..
 
Kumbuka Adele nae ni Mwanamke, mimi sija mzungumzia mtu bali nime izungumzia jinsia kiujumla, wewe fuatilia sana pindi wana ndoa wanapo achana, mara nyingi wanaume ndio tunaonekana tuna makosa,labda sababu ya ukimya wetu ndio unatufanya tuonekane tuna makosa.
Katika kila mahusiano yanapovunjika mwanaume ndio huwa anatupiwa lawama aidha malaya au bahili au mnyanyasaji😅 ila mwanamke yeye always ata play innocent tu.

Huenda hata alifumaniwa au alikuwa jeuri hilo hawezi kulisema kamwe.Atatengeneza mazingira aonekane yeye ndio alifanyiwa ubaya. 😂😂😂 Hao ndio wanawake na wanaume tulivyo maboya una buy cheap lies unajiingiza humo!
 
Back
Top Bottom