Mwanamitindo nguli Flaviana Matata hatimae amekiri kutalikiana na aliyekuwa mume wake

Mwanamitindo nguli Flaviana Matata hatimae amekiri kutalikiana na aliyekuwa mume wake

Wazo la kipuuzi kabisa hili....
ndoa inatunzwa na mwanamke ilo ni swala la nature, tamaduni na imani ndo maana mke anaolewa mume anaoa.
2.swala la ndoa si lazima idumu ndio huo upumbavu wenyewe kama si lazima kwanini msiishi tuu bila ndoa?? Tatizo wanawake mmesahau sehemu yenu kwa kisingizio cha usawa
Haya mwerevu.... huu ushauri kafunde wanao wa kike
 
Kuoa wanawake wanaojiita wanaharakati ni tatizo sana maana ujuwaji mwingi sana.
Na hawa n baadhi Yao wanaongoza
Kuvunja ndoa nying

Dinamarios anatanyaza efm
Joycekiria huyu alikua RfA

Hawa wote ndo ziliwashinda yani
 
W


Wote wanaumia...... ila kuna wengi wa wale wanaoumia na kuishia kuongea; na wale wanaoumia na kuishia kujiua na kuua kwa gunia2 za mkaa
Sasa wote ngoma droo,rejea tukio lililotokea mwaka huu la Grace Munishi,aliyemchoma jamaa ndani ya nyumba
 
ndoa zina kanuni constant milele,hakuna namna inaweza kubadilisha hiyo asili.

watu maarufu na wenye kipato huwa wanajichanganya na kuja na kanuni nyingine kwenye ndoa zao,wanapoteza kimoja wapo.

umeolewa usiku uko kwenye event za kibiashara na watu wengine.
umeolewa jamaa anakula peke yake mgahawani au home peke yake.
umeolewa watoto na mume wanahudumiwa na wasaidizi wa kazi.

kuwa mke wa mtu ni fani nyingine ambayo inahitaji muda maalum kwenye maisha ya mwanamke sio sehem tu ya muda wake.
Nimesoma Mara tatu ili nielewe
Asante sana kwakuniongezea
 
ndoa zina kanuni constant milele,hakuna namna inaweza kubadilisha hiyo asili.

watu maarufu na wenye kipato huwa wanajichanganya na kuja na kanuni nyingine kwenye ndoa zao,wanapoteza kimoja wapo.

umeolewa usiku uko kwenye event za kibiashara na watu wengine.
umeolewa jamaa anakula peke yake mgahawani au home peke yake.
umeolewa watoto na mume wanahudumiwa na wasaidizi wa kazi.

kuwa mke wa mtu ni fani nyingine ambayo inahitaji muda maalum kwenye maisha ya mwanamke sio sehem tu ya muda wake.
Ndiyo maana naogopa sana mtoto wangu wa like kuwa celebrity in future
 
Katika mtandao wa kijamii wa Instagram, mwanamitindo, mwanaharakati ambae pia ni mfanyabiashara Flaviana Matata ameonekana kukiri ndoa yake ilikwishavunjika. Mara nyingi watu wamekua wakijiuliza kwanini haonekani na mume wake, wengine wakiuliza alipo mumewe.

Ni wazi kwamba ndoa nyingi za mastar ulimwenguni hua hazidumu, hivi tatizo hua ni nini haswa??

Kwa upande wa huyu mlimbwende wetu Flaviana Matata, je kuishi mbali na mume muda mrefu ndo kulipelekea ndoa kuvunjika??

Huyo mume wake yupo wapi kwa Sasa?? Je amekwishaoa?

View attachment 2014211

View attachment 2014209
Nani anataka pisi ambayo haitaki kuzaa
 
Sasa mchaga anataka. Mtoto... Na huyo kimbau nae anataka kutembea mwendo wa madoido mpk career yake ya kuyumba jukwaani iishe sasa unadhani Kuna kitaendelea. By the way si nilisikiaga kuwa AY alikuwa anapiga kipindi akiwa ndoani??? Hawa viumbe wakishakuwa maarufu basi.... Ndoa zinawashinda... Maana nasikia hata xtina shusho nae ndoa yake chali sema ndo wanafanya siri[emoji41][emoji41]
 
Hivi wazee wetu waliwezaje kuishi kwenye ndoa moja tu maisha yao yote tena kwa mke/mume wa kuchaguliwa?
Siku hizi ukifikisha miaka 5 kwenye ndoa inabidi ujipongeze kwa kuchepuka kidogo.
 
Back
Top Bottom