Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya mwerevu.... huu ushauri kafunde wanao wa kikeWazo la kipuuzi kabisa hili....
ndoa inatunzwa na mwanamke ilo ni swala la nature, tamaduni na imani ndo maana mke anaolewa mume anaoa.
2.swala la ndoa si lazima idumu ndio huo upumbavu wenyewe kama si lazima kwanini msiishi tuu bila ndoa?? Tatizo wanawake mmesahau sehemu yenu kwa kisingizio cha usawa
Salam kakaHongera zake.
Ni bora kuishi kwa furaha baada ya talaka kutoka ndoa isiyo na furaha, kuliko kuishi katika ndoa isiyo na furaha kwa sababu ya kuogopa watakachosema watu.
kabisa mkuuSi ndio hapo sasa!! Its like watu wanachukulia experience za failure zao wanamuunganisha na Flavy humo humo.
Na hawa n baadhi Yao wanaongozaKuoa wanawake wanaojiita wanaharakati ni tatizo sana maana ujuwaji mwingi sana.
Mkuu mim kamwe siwez kukutukania sababu sinaga mdomo wa matusi, kwa hiyo wewe endelea kuporomosha matusi labda ndo kitu pekee unachokijuaChora 7 nikupunguze hasira mjumbe.
Ndo nimeanza na wewe!!Haya mwerevu.... huu ushauri kafunde wanao wa kike
Joyce Kiria ni lini ametangaza RFA?Na hawa n baadhi Yao wanaongoza
Kuvunja ndoa nying
Dinamarios anatanyaza efm
Joycekiria huyu alikua RfA
Hawa wote ndo ziliwashinda yani
Sasa wote ngoma droo,rejea tukio lililotokea mwaka huu la Grace Munishi,aliyemchoma jamaa ndani ya nyumbaW
Wote wanaumia...... ila kuna wengi wa wale wanaoumia na kuishia kuongea; na wale wanaoumia na kuishia kujiua na kuua kwa gunia2 za mkaa
Punguza shobo,chora 7 fastaMkuu mim kamwe siwez kukutukania sababu sinaga mdomo wa matusi, kwa hiyo wewe endelea kuporomosha matusi labda ndo kitu pekee unachokijua
N Kati ya [emoji93] TV na RfA moja ya hzoJoyce Kiria ni lini ametangaza RFA?
Kifupi hajawahi kifanya kazi Sahara Media,alikuwa mtangazaji wa EATV kipindi cha WanawakeN Kati ya [emoji93] TV na RfA moja ya hzo
Nimesoma Mara tatu ili nielewendoa zina kanuni constant milele,hakuna namna inaweza kubadilisha hiyo asili.
watu maarufu na wenye kipato huwa wanajichanganya na kuja na kanuni nyingine kwenye ndoa zao,wanapoteza kimoja wapo.
umeolewa usiku uko kwenye event za kibiashara na watu wengine.
umeolewa jamaa anakula peke yake mgahawani au home peke yake.
umeolewa watoto na mume wanahudumiwa na wasaidizi wa kazi.
kuwa mke wa mtu ni fani nyingine ambayo inahitaji muda maalum kwenye maisha ya mwanamke sio sehem tu ya muda wake.
Ndiyo maana naogopa sana mtoto wangu wa like kuwa celebrity in futurendoa zina kanuni constant milele,hakuna namna inaweza kubadilisha hiyo asili.
watu maarufu na wenye kipato huwa wanajichanganya na kuja na kanuni nyingine kwenye ndoa zao,wanapoteza kimoja wapo.
umeolewa usiku uko kwenye event za kibiashara na watu wengine.
umeolewa jamaa anakula peke yake mgahawani au home peke yake.
umeolewa watoto na mume wanahudumiwa na wasaidizi wa kazi.
kuwa mke wa mtu ni fani nyingine ambayo inahitaji muda maalum kwenye maisha ya mwanamke sio sehem tu ya muda wake.
Nani anataka pisi ambayo haitaki kuzaaKatika mtandao wa kijamii wa Instagram, mwanamitindo, mwanaharakati ambae pia ni mfanyabiashara Flaviana Matata ameonekana kukiri ndoa yake ilikwishavunjika. Mara nyingi watu wamekua wakijiuliza kwanini haonekani na mume wake, wengine wakiuliza alipo mumewe.
Ni wazi kwamba ndoa nyingi za mastar ulimwenguni hua hazidumu, hivi tatizo hua ni nini haswa??
Kwa upande wa huyu mlimbwende wetu Flaviana Matata, je kuishi mbali na mume muda mrefu ndo kulipelekea ndoa kuvunjika??
Huyo mume wake yupo wapi kwa Sasa?? Je amekwishaoa?
View attachment 2014211
View attachment 2014209
Ata hyo Dina ni lini aliolewa?Joyce Kiria ni lini ametangaza RFA?
Jamaa atakuwa amechanga desa,Dina amezaa na Ncha Kali na hakuwahi kuolewaAta hyo Dina ni lini aliolewa?
Huna IQ ya kunifunda. JiheshimuNdo nimeanza na wewe!!