Mwanamke agoma kufua kitambaa cha mkononi cha mmewe

Mwanamke agoma kufua kitambaa cha mkononi cha mmewe

Habari ndugu zangu,

Rafiki yangu kaja kuniomba ushauri ameenda kumtembelea mchumba wake jijini Dar es salaam .

Jamaa angu kafika kaugua mafua makali akawa anamekea kitambaa chake cha mkononi kamasi hali ambayo mchumba wake alimtamkia hatoweza kukifua hicho kitambaa atafua mwenyewe jamaa alimueleza sisi ni wapenzi unashindwaje kufua kitambaa changu cha mafua na unajua sisi tutaishi mda mrefu je siku mwenzio mtu kati yetu akijinyea kwa sababu ya ugonjwa itakuaje kitambaa cha mafua tu kinakutoa imani mwanamke alimjibu am sory bby ila sintoweza kukifua.

Wakuuu naombeni mnishauri nimshauri jamaa yangu kama huyu anastahili kuwa mke asante
nimeishi USA 3 yrs kitambaa kama kinatumika mara 1 tu unatupa. kipindi hiki cha covid cc tzee bado ni masikini sana.
 
nimeishi USA 3 yrs kitambaa kama kinatumika mara 1 tu unatupa. kipindi hiki cha covid cc tzee bado ni masikini sana.
usilete mazingira ya marekani tanzania ya viwanda
 
Kila binadamu ana mapungufu yake

Hata wewe kuna moja ambalo mke wako akionekana anakuvumilia walimwengu watamshangaa hasa mimi wifi mtu.

Kila mmoja anapata wa kufanana nae, huyo aliyeleta uzi hajapata wa kufanana nae, akipata wa kufanana nae atafua na wala haitaleta shida.

Na wewe utapata wa kufanana nae (ambaye itabidi hadi umfulie)

Ndivyo ilivyo, Mungu anatuletea yule ambaye mimi nitakamilisha mapungufu yake na yeye atakamilisha mapungufu yangu.

Kinyume na hapo, ndio kunakuwa na maswali yasiyoisha kwa pande zote mbili, migogoro isiyoisha, lakini pia kila mmoja atakuwa anamuangalia mwenzie kwa jicho la tofauti.
Kisa ni wa kufanana nae ndio umpe kitambaa kina makamasi mtoto wa mwenzako afue mauchafu ya pua?!

Hapana hiyo haipo sawa.
 
Kisa ni wa kufanana nae ndio umpe kitambaa kina makamasi mtoto wa mwenzako afue mauchafu ya pua?!

Hapana hiyo haipo sawa.
ukuuuu acha kuleta ustarabu kwenye mapenzi
 
Acha kukompliketi kiivo,, mwanaume kufua leso tu ndio unaleta ubeberu ivo!!
 
Na nyie tupumzishe bwana afue leso yake mambo ya mafua na ya badae yanahusiana vipi binafsi nna kinyaa ila undernormal circumstances nafanya mfano kama mgonjwa ntakusaidia ila ukiwa mzima hapana
Kuna siku tuko mahala rafiki yangu aliumwa akaanza kutapika nami kuona anatapika nkaanza kutapika ila nilijikaza hivohivo nkamsaidia
 
mkuuuu kwani mwanamke akimfulia shida iko wapi mbona mimi sioni shida
Mimi binafsi sipendi mtu anifulie kitambaa changu chenye mafua. Unawezaje kuwa comfortable mtu akufulie mafua yako? Ihali unaweza kujifulia mwenyewe?
Halafu eti unalalamika loh
 
Mimi binafsi sipendi mtu anifulie kitambaa changu chenye mafua. Unawezaje kuwa comfortable mtu akufulie mafua yako? Ihali unaweza kujifulia mwenyewe?
Halafu eti unalalamika loh
hahahaha mkuuu hamjui mapenzi nyie mpenzi wako ni zaidi ya rafiki yako
 
Huyo mwanaume anayetaka kufuliwa hadi kitambaa cha kamasi nae amezidi
 
Back
Top Bottom