tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 21,329
- 28,063
DaaahHongera kwa Serikali ya awamu ya sita.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DaaahHongera kwa Serikali ya awamu ya sita.
🤣🤣🤣🙌Au fuso [emoji1]
Ova
Safi sanaNimpongeze mmiliki wa vyombo hivi vya usafiri kwa kuweka mtabibu ndani ya vyombo vyao, hili ni la mfano hata kwa vyombo vingine, imagine, haya yangetokea katika usafiri wa mabasi yetu, yasiyo hata na kisanduku cha huduma ya kwanza ingekuwaje?, lakini pia niwashukuru akina mama kwani mara nyingi linapotokea suala la aina hii popote hulitatua kwa haraka.
Kwa hyo angeitwa Bahari au Mawimbi au sio mkulungwa?Itakuwa mawimbi ya Bahari yalimchefua, hongerenii wote mliosaidia
Kabisaa😅Bakhresa lingependeza zaidi
Asante kwa niabaAna uzazi mzuri uchungu Dk na kuzaa hongera kwake.. Hongera waliomsaidia.
Tunaruhusiwa kupongeza pia.Hii hongera ileee.
Ccy bora mwendokasi je ingekua Genge la Washashi😂😂😂😂🤣🤣🤣 ...ushukuru hujazaliwa kwenye mwendokas....ungeitwa Mwendokasi girl😘😘😘😘
Yani aiseh jina kama kichwa cha habariUdwanzi wamempa mtoto lijina likubwa mno
🤣🤣🤣🤣🤸🤸🤸Ccy bora mwendokasi je ingekua Genge la Washashi😂😂😂😂