Mwanamke akiingia peponi, wanaume wote hatuna dhambi

Mwanamke akiingia peponi, wanaume wote hatuna dhambi

Kama na wao ni wanawake au wasichana jibu ni ndio hapo.

Unataka awe mnafiki kwakua umeongelea damu yake, ikija swala la kusema ukweli tuweke undugu pembeni.
Haijalishi ni Mama au ni Bibi kama ni nyoka ni nyoka tu.

Msema kweli hapewi laana.
umemaliza mkuu
 
Nimejaribu kuwaza sana mpaka nimefikia kusema hivyo bhasi nina uthibitisho kuhusiana nahili Mwanamke vs mwaume
Tuanze na


MAUMBILE
Mwanamke
Kaumbwa na viungo vyote lakini hajaridhika, kapewa kope anaona hazitoshi kaamua kuongeza za kwake za bandia aonekane mzuri, kapewa nywele asilia na za kuvutia ila kaona ni mbaya kaamua kusuka rasta awe kama mzungu, kapewa kucha kaamua kuweka za kwake ziwe ndefu zaidi kama nsyuka matokeo yake anashindwa kula kwa mkono na kushika vitu baadhi, kapewa umbile zuri kaamua kuongeza kwa kufanya plastic surgery, kapewa rangi nzuri kaamua kwenda kununua uweupe na make up juu avutie kama mzungu, kapewa hips nzuri kaamua aongeze za kwake anazozipenda, kapewa cha kukalia kizuri kaamua aongeze kalio awe anakaa juu juu

Mwanaume
Kapewa maumbile ya siri na muumba wake kaamua kwenda kuongeza anavotaka yeye, kapewa kifua na misuli mizuri kaamua kupaka poda aonekane kama John Cena

UAMINIFU
Mwanamke
Ni mtu ambae anaongozwa na hisia saa yoyote anabadilika ni kama mfano wa upepo haeleweki anavumia upande upi kiufupi sio mwaminifu
Mwanaume
Asilimia kubwa ya wanaume ni waaminifu

MAVAZI
Mwanamke
Asilimia kubwa kwa sasa wanawake ndio wanaongoza kwa kuvaa mavazi ambayo ni ya aibu na hayana mfano wadada wacheza chura, wanapiga picha wakiwa nusu uchi wengine uchi kabisaa

Mwanaume
Asilimia kubwa wanaume wanavaa vuzuri na kiheshima hawapigi picha wakiwa uchi ni mara chache sana kukuta mwanaume kapiga picha akiwa uchi

MTINDO WA MAISHA
Wanawake
Wengi wanafake maisha hawaishi kwenye uhalisia wenyewe anataka amiliki Iphone 13pro na hana hela ya vocha, atataka aonekane anakula vyakula vya bei ghali wakati kwao kipato hakiruhusu

Mwanaume
Wengi wana ishi katika uhalisia

Nimalizie hapo kama utakuwa na wazo lolote la kumtetea mwanamke shusha fact yako na sio kujibu kwa mihemko
Ahsante🙏

Haya yapo katika asili, Na ndivyo walivyoumbwa, ukiwajulia Na ukaujua utaratibu WA ki Mungu Ni watu wa maana Sana!
 
Kwani funguo za milango ya peponi na motoni anazo nani?
 
Mwanamme hahesabiwi dhambi?!

Tuanze na hapo...

Wote ni vile vile...

Wahuni walioharibika!
 
Mwanamme hahesabiwi dhambi?!

Tuanze na hapo...

Wote ni vile vile...

Wahuni walioharibika!
Nakataa.
Iko hivi mwanaume anahesabiwa dhambi pia ila mzani wa dhambi kwa vyvyote vile mzani wa dhambi utaelemea kwa mwanamke
 
Wanawake watazingua peponi kutokana na udhaifu wao wa kiasili.

Kimsingi mtu huhesabiwa haki na hudaiwa Jambo kulingana na alivyo
 
Back
Top Bottom