Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heheh kama hivyo basi uzinzi itakuwa sio dhambi.Una hati hati ya kupata tez dume
Kwamba ?Mwanamke atakunyima huku atakupa kule
Jirani unaweza vumilia kwa muda gani?We acha TU jirani🤦
Ilikuwaga mwaka naweza vumilia,but now nikipewa Asubuhi navumilia mchana usiku nataka jirani.Anaetaka kichaa Cha kujitakia nani🙄Jirani unaweza vumilia kwa muda gani?
Nimechukua notes jirani...Ilikuwaga mwaka naweza vumilia,but now nikipewa Asubuhi navumilia mchana usiku nataka jirani.Anaetaka kichaa Cha kujitakia nani🙄
🚴🚴🚴🚴Nimechukua notes jirani...
Nani kwani?🤣Huyo huyo kaka [emoji23]
MandongaKwamba ?