Heheh kama hivyo basi uzinzi itakuwa sio dhambi.Una hati hati ya kupata tez dume
Kwamba ?Mwanamke atakunyima huku atakupa kule
Jirani unaweza vumilia kwa muda gani?We acha TU jirani🤦
Ilikuwaga mwaka naweza vumilia,but now nikipewa Asubuhi navumilia mchana usiku nataka jirani.Anaetaka kichaa Cha kujitakia nani🙄Jirani unaweza vumilia kwa muda gani?
Nimechukua notes jirani...Ilikuwaga mwaka naweza vumilia,but now nikipewa Asubuhi navumilia mchana usiku nataka jirani.Anaetaka kichaa Cha kujitakia nani🙄
🚴🚴🚴🚴Nimechukua notes jirani...
Nani kwani?🤣Huyo huyo kaka [emoji23]
MandongaKwamba ?