Mwanamke akikosa "attention" anachanganyikiwa, kuchanganyikiwa kunamfanya apatikane kirahisi

Hao wapo ndio nakubali ila hio inaweza kusababishwa na some life experiences kama hardship na vitu zingine,ila at her relexing mode akiwa hana stress ,mkuu lazima atapata hisia hizo coz its something wanapenda,women waanapenda sana attentions .
It's true. By default mode every woman succumb to flattery. Hata kama anaonyesha hsjali ila deepdown bado atapenda kusifiwa. Coz it's in their DNA
 
Utakuta mtu anajipost twitter na Caption " instagram saw it first" wanawake ni majangili basi tu[emoji31][emoji31][emoji1787][emoji1787]
 
This looks like plausible deniability
 
See the emojis Ooh My God (kwa sauti ya Heinsenberg)[emoji1787][emoji1787].. i find it funny
 
Usifanye urafiki na wanawake...eti mdada fulani ni mshikaji wangu. Kwangu never. Ukiwa karibu nami nature yangu kama mwanaume lazima ifuate mkondo...
 
Hayo ndio makosa wanayoyafanyaga nice guys
Zamani nilikua hivyo. I was that guy ambae mtu yoyote anaweza kumkimbilia ili kupata faraja. Sikuwahi kupata faida yoyote ya mimi kua na urafiki na Ke. Kikubwa wengi walinipenda coz I was good in advising...niwashauri kuhusu Bwana zao😅
Hata rafiki wa kiume ni hivyo hivyo matatizo yao hua wanaona mimi ndio mtatuzi.

Nikajiwekea mipaka..Sitaki urafiki tena Ke. Ndio maana simu yangu ina namba chache sana za Ke. Nikihifadhi namba yako kama wewe sio ndugu yangu basi jua tu soon or later nature yangu kama mwanaume lazima ifuate mkondo...
 
Dah! One time baadhi ya wanawake sijui wanapenda kuitwa waajabu
Yaani mtu utafute hele uumpe
Ufanye jitihada sijui afike kileleni
Huangaike uumpe attention
Umtafute humtongoze
Na hapo bado kazi ya kuutafuta ufalme wa Mungu mbinguni hujaikamilisha
Lazima uchoke[emoji38]
 
😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…