Mwanamke akikosa "attention" anachanganyikiwa, kuchanganyikiwa kunamfanya apatikane kirahisi

Mwanamke akikosa "attention" anachanganyikiwa, kuchanganyikiwa kunamfanya apatikane kirahisi

Nimesoma tu mpaka hapo uliposema unaacha kumtafuta mpaka akutafute, story yako iba ukakasi unamuachaje mwanamke akitongozwa ndiyo unajifanya mtu wake bado hapo unasema sio mzuri ila mahusiano yatakusumbua sana yani ishu ndogo ume prove huwezi kuzihandle itakuchukua muda sana kufanya vitu kiume aiseh
First of all most, mkuu nielekeze kufanya vitu kiume unafanyaje ?...alafu ni kweli ni wakawaida mkuu ila nlidhani tunaweza kuvibe and all that. Alafu next time read the whole thing na upunguze kuwa judgmental if that's the thing you can do and lastly although you came out very negative about the situation there is something positive about it and thats what i wanted so its working either way. Thank you man.
 
There ain't The One pal.
I'm totally flabbergasted by your comment pal.
It means there is another two or three embodied with your body.
Even though it is hard to clarify it mate.

Do you feel comfortable with that situation Gemini pal?​
 
Afadhali wewe umesema ukweli, Wanawake wenzio wote wamekataa kua hawapo hivyo wakati it's well known worldwide kua wapo hivyo. That's Hypocrisy.
Wanawake wote duniani wana
utoto ndani yao hata kama atakua na 45yrs deep down bado ana utoto. Na hili pia pisi kali za humu zinakataa😅😅
Ngoja niwaite waje kukushushua
Alayna Dawlia QueenDeby umukagame whitehorse Kapeace Hellenah Katriel Strawbella Zuhuraz
mawardat sophy27 Donatila
Ahahaha nakataaaa. Kama Nina mtu wangu, kwanini nikivaa nimependeza, nitembee barabarani nisitongozwe, nianze kuwaza ooh kwanini sijaitwa. Hii inawezekana Kweli???. Attention naitaka kutoka kwa babe wangu, nikikosa hapo lazima niweweseke na kujiuliza anampa nani. Lakini mtu Baki, weee thubutuuu
 
Hata ukisoma replies zote kwenye huu uzi humu ndani Kuna wanaume wameleta shobo kwa mademu
Alafu mi ndo yule mwanaume ambae sina shobo na madem napita zangu
 
Hata ukisoma replies zote kwenye huu uzi humu ndani Kuna wanaume wameleta shobo kwa mademu
Alafu mi ndo yule mwanaume ambae sina shobo na madem napita zangu
Siku nikilia kisa mwanamke au kujipendekeza kwake mniue. Mimi nawachek chek tu majukwaani humu mara nimekumiss, sijakuona siku nyingii, rafiki angu nk. Upuuzi tu.
 
Ahahaha nakataaaa. Kama Nina mtu wangu, kwanini nikivaa nimependeza, nitembee barabarani nisitongozwe, nianze kuwaza ooh kwanini sijaitwa. Hii inawezekana Kweli???. Attention naitaka kutoka kwa babe wangu, nikikosa hapo lazima niweweseke na kujiuliza anampa nani. Lakini mtu Baki, weee thubutuuu
Kila Ke nyuma ya I'D ni pisi kali ya kishua, so sikushangai kuongea haya keyboard warrior😅😅
Kiboko ya magirl kama wewe hua ni mimi
 
But authority ninayokataa kwamba hutakiwi kumpatia ni ile ya kumfanya awe Dominant halafu mume awe Submissive
Aina hii ya authority ya kuwa dominat sio kwamba ndio aina ya authority ambayo mwanamke anaitaka ?

Au kuna aina nyingine ya authority mwanamke anaypitaka mbali na ile ya yeye kuwa na ndevu dhidi ya mumewe ?

By the way nikuombe radhi kwa kureply after siku nyingi.
 
Siku nikilia kisa mwanamke au kujipendekeza kwake mniue. Mimi nawachek chek tu majukwaani humu mara nimekumiss, sijakuona siku nyingii, rafiki angu nk. Upuuzi tu.
Weeee, unataka kutudanganya, si ndiyo? [emoji1787]
 
Kila Ke nyuma ya I'D ni pisi kali ya kishua, so sikushangai kuongea haya keyboard warrior[emoji28][emoji28]
Kiboko ya magirl kama wewe hua ni mimi
[emoji28][emoji28] Mimi sijasema km wa kishua... Nimeongelea kuhusiana na mada husika. Na ukweli ndiyo huo,, kwnn ww hutaki kuukubali jmn?
 
Weeee, unataka kutudanganya, si ndiyo? [emoji1787]
Upo Vizuri kwa kubadiri I'd. You're Joan now??😅

Mm siwezi kulia kisa mwanamke, ushaniona humu nalalamikia mwanamke??
 
Upo Vizuri kwa kubadiri I'd. You're Joan now??[emoji28]

Mm siwezi kulia kisa mwanamke, ushaniona humu nalalamikia mwanamke??
[emoji23][emoji23][emoji23] acha tuu mkuu, nabadili kama zote. Sawa sawa, endelea kushikilia hapo hapo.
 
Nione how gaidi you're. Si unajifanya mbabe
[emoji4] nimesemea ukwelii. Attention zikiwepo acha ziwepo. Lkn sio Kwa kuzitafuta zikikosekana. Lbd km Niko single [emoji13]
 
Aina hii ya authority ya kuwa dominat sio kwamba ndio aina ya authority ambayo mwanamke anaitaka ?
Au kuna aina nyingine ya authority mwanamke anaypitaka mbali na ile ya yeye kuwa na ndevu dhidi ya mumewe ?
Authority ya kua mwenye sauti kwenye familia au kua kama mwanaume ndio hua wanaitaka. Ndio maana utasikia mwanamke anasema kama ningekua mm ni mwanaume basi ningekula mademu wengi sana.. Sijawahi kusikia Mwanaume anasema kama angekua yeye ni mwanamke.

Ndio maana wanawake huva nguo za kiume just kua Kama mwanaume..mkeo atavaa nguo zako ila wewe hutavaa gauni zake coz huna haja/matamanio na jinsia yake

Mwanamke inabidi apewe Authority ya kusimama kama mama wa ntumba tu na afanye yale yampasayo. Na kama ni juu yako basi afanye yale yampasayo kama mke. Na si kumuacha yeye ndio awe mwenye sauti kwako na kwenye famili.

Ukimpatia hiyo tu basi atakudharau na kutafuta mwingine ambae atakua mbabe kwake. Women they're kinda Conquerers
By the way nikuombe radhi kwa kureply after siku nyingi.
Haina haja ya kuomba radhi mate
 
Huu uzi ni ukweli 100%.
Kuna workshop fulani niliwahi kufanya kazi, sehemu ambayo watu walitembeza vitu mbalimbali kuuza. Kuna manzi moja kama 22yrs alikuwa anauza juisi mida ya mchana kila siku.
Nimecheka Eti ukimuona kama celebrity yeye atakuona shabiki🤣🤣🤣🤣
Ila hujapata tu anaejielewa,ukimpata huyu hutahitaji kuprove you are a man,yeye mwenyewe atajua nafasi yake kwako!
 
Back
Top Bottom