Mwanamke akikosa "attention" anachanganyikiwa, kuchanganyikiwa kunamfanya apatikane kirahisi

Mwanamke akikosa "attention" anachanganyikiwa, kuchanganyikiwa kunamfanya apatikane kirahisi

True 100% ukiwashobokea unakuwa fala na utapata tabu siku ukitaka kumtongoza Ile real

Wanawake Wana Tabia Moja wanataka uanzishe conversation, kuwatania, kuwaita kila mara, kuwapigia simu hata meseji kuwatumia. Mbaya zaidi ukijenga mazoea nao wanakuchukulia fala ishu ni ugumu mwanzo mwisho.
[emoji848][emoji848][emoji28] true saying
 
Sasa kama wanapenda kuwa hivyo maana yake watampenda pia mwanamume atakayewapa hiyo authority.

Na kama watampenda mwanaume atakayewapa hiyo authority maana yake sisi inatakiwa tubehave katika namna ya kuwapa wao authority ili tuwawin

Sasa kwa nini inakuwa kinyume chake yaani hatuambiwi kwamba mwqnamke ukitaka kumwin akupende basi muache akutawale yaani umpe authority,badala yake tunaambiwa kwqmba mwanamke ili akupende na umwin inatakiwa usimpe authorityjuu yako ?

Unaweza kufafanua hapa inakuwaje kuwaje ?
Umeshaambiwa mwanamke Yuko complexity, Mwanamke Hawezi kumpenda mwanaume ambaye anampa authority ya kumtawala never, mahusiano yenu lazima yataishia njiani tu otherwise as a man ukubali kuishi ktk mateso ya kuonekana mwanaume bwege
 
Sasa kama wanapenda kuwa hivyo maana yake watampenda pia mwanamume atakayewapa hiyo authority.

Na kama watampenda mwanaume atakayewapa hiyo authority maana yake sisi inatakiwa tubehave katika namna ya kuwapa wao authority ili tuwawin

Sasa kwa nini inakuwa kinyume chake yaani hatuambiwi kwamba mwqnamke ukitaka kumwin akupende basi muache akutawale yaani umpe authority,badala yake tunaambiwa kwqmba mwanamke ili akupende na umwin inatakiwa usimpe authorityjuu yako ?

Unaweza kufafanua hapa inakuwaje kuwaje?
Sijui alikujibu Nini !? Ila Wanawake the way walivyo ktk maisha Yao ni viumbe ambavyo vinapenda kuishi Kwa wasi wasi , Yaani hupaswi kumfanya aweze kukutabiria kesho Yako kuanzia mahusiano mpaka maisha Yako yote yalivyo
 
Hahhaha wanawake bwana.

Ukiwa mtu ambaye huna time na vitu vidogo wanaweza kukuona hauko romantik.

Imagine akivaa hereni umsifie hata kama yuko kawaida,akivaa shanga umsifie hata kama yupo kawwida.

Yaani hiyo inaonesha kwwmba wanawake mindset zao wanavaa au wanafanya vitu ili wasifiwe,hawafanyi vitu kwa ajili yao wenywwe,wanakuwa bado ni watumwa.

Hata kwenye tendo la ndoa wwnawakewengi mindset zao wanafanya tendo kwa ajili ya waume ndio maana wanaweza kukunyima hilo tendo kama adhabu.

Mimi nadhani hizi mindset wanawake waziwache ila nadhani ni mindset wamejengewa tokea wanazaliwa so ni vigumu sana kuziwacha.

Huwezi kuta mwwnaume anamlalamikia mkewe kwamba hajamsifia kama kapendeza.
[emoji848][emoji848][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Well, kila mtu atakuambia hivyo. But I assure you nikiwa nawe in 2days nitagundua kils kitu kukuhusu. Na hata kama haupo hivyo itakua ajili ya umri na majukumu uliyonayo ndio unaona vitu hivyo havina maana kwako but deepdown vipo ndani yako hata kama you don't feel it. Unajua hua tunakua miili na Experience tu ila roho zetu zinabaki vile vile.... So unatakiwa upate the one who will scratch your floor and reveal the dark side of yours [emoji6]
Wanawake wote wapo hivyo , usimsikilize ana bisha tu Kwa kuwa ana ego ya kuto onekana dhaifu .. but hakuna mwanamke asiye penda tension
 
Uko sahihi mzee ila hili linaendaga na level of confidence ya wanawake tofauti. Kuna ambao wako so confident hawa hawaitaji approval yeye akivaa vizuri akapendeza anaji feel freshi tu the only attention she needs ni toka kwa mwanaume anaevutiwa nae ila kuna wengine wana dress to impress!
Asilimia 90 Wana dress to impress hata kama pia sio mkali katk hiyo sekta lakini lazima awe na hiyo Hali ya kutaka tension, Amini kwamba
 
Nyie ndio wale wanawake wa " nakuja ghetto lkn hatutafanya chochote" maneno yenu hayaendani na matendo mliyokusudia.
Hakuna mwanamke asiyependa attention, hasa ya wanaume. Mwanamke anajiremba kwa sababu kubwa mbili;
1. Kushindana na wanawake wenzie, na
2. Kupata attention ya wanaume, wengine wana force kwa kutafuta sababu ya kuinama au kunyoosha mikono juu wakizuga wanaseti nywele kumbe wanataka kuonesha matiti.
Eti Kuna wanao kataa ajabu sana [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Usikariri maisha!!![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] sie tunaojielewa hatuvai kupendeza ili tushindane na wanawake wenzetu , pia kuvutia wanaume is not the main issue,ukijua kuwa unatakiwa kujipenda basi utahakikisha unavaa vizuri unapendeza you look smart and clean that's all,siwezi mm kukaa rough eti kisa nikipendeza ntaonekana nataka kuwa impress wanaume No never!Aiseee ktk umri huu hapana hizo sababu zako zipo lkn we are not the same(women).
Mada ni Pana sana haijalenga kwenye mavazi tu pekee , kama ume muelewa muandishi vyema na huo ndio ukweli

Kuna wengine wanatumia sauti , and the likes
 
Ndivyo walivyo; wachache wanaweza kubadilika, waliobaki watakuwa hivyo siku zote.
Hawajawahi kubadilika wako hivyo always trust me. Nime shakutana na mpaka wa mama watu wazima wakiwa Wana lalamika kuwa watu wao (wanaume ) Wana watesa

Mwanamke usimpe tension sana Alisha kuwa wako , kama utampa tension mpe pale unapo hitaji kumla na hilo liendane na respond positive utakayo kuwa unaiona toka kwake akionyesha 0 respond kausha , Huwa Ina mtesa sana
 
Wanawake wote wapo hivyo , usimsikilize ana bisha tu Kwa kuwa ana ego ya kuto onekana dhaifu .. but hakuna mwanamke asiye penda tension
Wanaume wa Jf ninwatu wa ajabu sana asee, wanaukataa ukweli pengine wapo radhi kusaliti jinsia zao ili tu wapendwe na Wanawake 😅
They're so Blunt and stupid
 

Huyu mwanadada kwa jina anajulikana kama ''Shailene Diann Woodlay'' ni American Actress amezaliwa Nov 15, 1991. Huku akijizolea umaarufu mkubwa na public acclaim ndani ya Romantic Drama Film ya THE FAULT IN OUR STARS mwaka 2014 huku akiportray kama Cancer Patient.

''One of the segment pic from The Fault In Our Stars Film''​

View attachment 2265451
Ahsante kwa kunikumbusha. Nilisahau wapi nilimuona huyu kumbe ilikua kwenye muvi hiii. Thanks pal kwa hili
 
🤣 🤣 what? Why do u like being sad? Kuna ile thread yako unapost sad quotes. Can u pls smile more for no reason 🤣
I love pain coz pain does remind me that the Joy you gave me was real
FB_IMG_16544939347920798.jpg
 
Back
Top Bottom