Mwanamke akikosa "attention" anachanganyikiwa, kuchanganyikiwa kunamfanya apatikane kirahisi

Mwanamke akikosa "attention" anachanganyikiwa, kuchanganyikiwa kunamfanya apatikane kirahisi

She really deserve to have all of mine from me coz I promised to love the maiden with all of mine and I won't give up on her.
Si rahisi kabisa, Upande wangu mimi
Yani ndo hapo mkuu ujue perception za watu zilivyo tofauti kabisa!! This is not how interpreted the story at all! I thought the master was a "God", not a human being!! You're not here to
serve another human being, not in that sense. She is not your master, she is not your purpose, you need to learn to love yourself, you're as valuable as you think she is
 
Uzi murua sana huu, hongera sana brother maana kuna mambo mengi nimejifunza.
Ila kuna jambo namimi kidogo nichangie, mimi kiujumla huwa c muongeaji sana huwa najihisi comfotable napokuwa peke yangu kuliko kujichanganya na watu hiyo ni tabia yangu natural na siwez ibadilisha. Na pia huwa sina time na mtu huwa nipo bize na my own business.

Kuna kipindi alitokea manzi mmoja jirani ni mzuri sana pisi kali ya kwenda sasa yule manzi alitokea kushobokewa sana na watu kitaa halafu mimi kama kawaida yangu sikuwa na time nae bac dem akawa anajiuliza sana why mimi simshobokei na salamu simpi bac akawa ananiangalia sana bac siku moja akajiingiza kwenye 18 zangu sikulaza dam nikamtongoza bac yule dem alifurah sana bac akanipenda balaa kila wakat cm na anataka nimsindikize kila pahali bac bwana kwa bahati mbaya namimi nikatokea kumuelewa yule dem nikajikuta nimeacha ile misingi yangu,

Bwanawee sasa yule manzi baada ya kugundua nishanasa bac kibao kikageuka akaanza kunipuuzia, cm apokei wala anitafut mwisho wa siku akanidump na pia akahama mkoa aisee niliumia sana na nlijua ni wapi nimekosea, kwahivyo mtoa mada upo sahihi 98% .

Sasa tatizo lingine linalonisumbua kwasasa ni kwamba nimekuwa bad boy kupitiliza yani nimekuwa kauzu sana kiac ambacho hata kutongoza mwanamke naona kama najishusha kwa upande mwingine naona pia ni tatzo yani nimekuwa serious muda wote kiac ambacho naogopwa na jamii nimkuwa sichek wala kuzungumza sana na watu, kiac ambacho wanawake wa hapa home napokaa wameanza kunijadili why awajawahi niona na mwanamke kokote iwe nyumbani au mtaani, kiukweli napenda kuzichakata hizi mbususu ila kumtongoza mwanamke naona kama najishusha hapo ndio tatzo lilipo ebu nipeni ushaur?
Tongoza asee [emoji28]
 
Ajiepushae na dhambi ya uongo Huwa hasifii.
 
Hail Vinci

I hope i am correct but not 100% because i do not seek absolution Pal

Many Girls !

Yes they are attention seekers because they want to be “recognized and praised”

They want to stand “out of the crowd”

While few girls ‘love the attention' but they ‘don't like too much of it'

& Few girls believe in Seeking Respect not attention because the prior one lasts longer.!

Everyone is different in their own way.

Good day Mate
18 Chic Short Layered Hairstyles for Women - PoPular Haircuts.jpg
 
Hapa kitaa kna manzi jirani ( nilivohamia hya mazingira alikuw kasafir ko amerud kanikuta japo yeye ni mwenyeji), ni mzur afu anajikubali san mwanzo hta salamu alikuw anakausha sasa namm nkamkaushia,
naanza kuona sahv anafosi mazoea hiv afu muda mwing Kam ananiangalia kwa kujiiba hiv afu m najikuta Kam sielew lolote hivi

Ngoja niendelee kuusoma mchezo man dalili naziona afu nachekea tumboni [emoji23][emoji23] hawa wazur ukiwazingatia Sana wanakudharau.
 
Hail Vinci

I hope i am correct but not 100% because i do not seek absolution Pal

Many Girls !

Yes they are attention seekers because they want to be “recognized and praised”

They want to stand “out of the crowd”

While few girls ‘love the attention' but they ‘don't like too much of it'
Naam ndio nilichosema mbona they like attention from you ila ukiwapa attention to much of it they disvalue you. Utaishia kuzalauliwa nao so inabidi usiwe predictable, Usisomeke.

& Few girls believe in Seeking Respect not attention because the prior one lasts longer.!

Everyone is different in their own way.

Good day Mate
Absolute, I concur
Huyu mwanamke sijui nilimuona wapi.. sikumbuki
 
Au ukute umetupia umependeza unatoka nje miluz mingi, unasifiwa mpaka kero afu mume wako ndani hajakusifia, yaani inaboaaa[emoji21][emoji21]
Wapo wengi kumbe. Hivi mwanaume asiyekusifia unamfanyaje? [emoji1751][emoji1751]
 
Absolute, I concur

Huyu mwanamke sijui nilimuona wapi.. sikumbuki

Huyu mwanadada kwa jina anajulikana kama ''Shailene Diann Woodlay'' ni American Actress amezaliwa Nov 15, 1991. Huku akijizolea umaarufu mkubwa na public acclaim ndani ya Romantic Drama Film ya THE FAULT IN OUR STARS mwaka 2014 huku akiportray kama Cancer Patient.

''One of the segment pic from The Fault In Our Stars Film''​

The Fault in Our Stars Aesthetic(1).png
 
Back
Top Bottom