Mwanamke akikosa "attention" anachanganyikiwa, kuchanganyikiwa kunamfanya apatikane kirahisi

Mwanamke akikosa "attention" anachanganyikiwa, kuchanganyikiwa kunamfanya apatikane kirahisi

Nimecheka
Eti ukimuona kama celebrity yeye atakuona shabiki🤣🤣🤣🤣
Ila hujapata tu anaejielewa,ukimpata huyu hutahitaji kuprove you are a man,yeye mwenyewe atajua nafasi yake kwako!
Ni swala la muda tu.
 
Hii ni 100% kweli...

Nilipokuwa A level nilikuwa mkimya, wadada wakawa wanakasirika. Kuna mmoja akajitosa kuja kujibebisha livelive.

Mwingine alijishobokesha ila bado nikamlia ngumu, akaamua kuniandikia ujumbe mrefu wa manung'uniko kwenye cover la counterbook langu.

Kuna mwingine nae kama kawaida sikumpa attetion, akaamua kuchukua simu yangu na kuisave namba yake kwenye simu yangu na pia akachukua namba yangu. Siku mbili zikapita sijamtafuta, akaamua kunitafuta mwenyewe.

Kiukweli nishasahau hadi kutongoza, hii tabia yangu ya kutowapa attention imekuwa ikinipatia warembo kila kukicha.
 
Nakumbuka zamani nilikuwa fala sana daah kila nikikumbuka najiona fala kuoita maelezo fala wa kiwamgo cha SGR[emoji2]

Wakati naanza kazi nilipanga nyumba fulani hivi. Wapangaji tuko watatu hao wengine ni wanawake.,mwanaume peke yangu.

Mmoja kati ya hao wapangaji ni mdada tu japo alinizidi umri ila alikuwa anaita sana na mzigo kafungashia sana tu toto la kipare.

Basi bwana nilikuwa na mind michakato yangu ,mimi salamu tu,huyo room kwangu.

Kuna siku yule dada akaanza onesha kutaka attention na mimi siku notice hicho kitu sababu ya ufala[emoji15]

Akaanza akipika chapati jikoni kwake naletewa kukataa siwezi daaah.

Mara apendezi kweli na kujipitisha kwangu.

Kuka siku eti akaanza tabia ya kuja chajia simu room kwangu eti kwake swichi imeungua (niligundua baada kuwa muongo) basi kusa mimi sina time nae nikawa namwachia funguo za room halafu mimi naseoa job (anapajua) na mwambia nipitishie funguo ukimaliza.

Mara agonge usiku[emoji2]

Ikapita miaka mingi na baada ya kuwa mtaalamu wa hio tasnia kuna siku nikawa na reflect back yule dada alikuwa anamaanisha nini!? Bila shaka alikuwa anataka nimgonge (zingatia ni mpare[emoji4] huwa wanawashwa sana down there).

Basi nikajiona fala fursa adimu niliikosa

Alikuja kuhama kwenda masomoni baada ya miaka 3 kurudi amekongoloka sio yeye yule alikuwa anaita

Maisha bana.
 
Ngoja na me nitoe my confession.

Nikiwa ndio naanza form one katika shule fulani hivi ya boarding nilikutana na bro fulani nae alikuwa ni mgeni pale shule. Basi room tuliyokuwa tunakaa tulikuwa wageni wote yaanicnew comer.

Katika stories mbili tatu huyu bro alikuwa smart sana nakumbuka aliniambia wanangu katika maisha haya kuwa kauzu usitabirike kabisa kuwa na mambo yako tu.
Basi nikiwa ndio nipo form one hata sketi sijui basi nikaapply hiyo kitu na for sure ilikuwa inaendana na haiba yangu.
Duh basi wanafunzi wa kike nilikuwa sibongi nao kabisa. Hata girlfriend niliodate nao shule nilitongoza mmoja tu hao wengine nilikuta wanakuja kwangu ila sikuwapa kipaumbele hadi leo.
First lover tulikuwa mikondo tofauti alikuwa hajui ya ndani kunihusu kabisa
Nakumbuka nikiwa form two ndio alikuja kujua ya kuwa me ninabonda mitihani kinyama. Alibaki mdomo wazi baada ya tokeo kubandikwa.

Nilimaliza ile shule huku nikijulikana kwa walimu wanne tu nao kijuu juu walikuwa wanaonaga maksi zangu ila muhuni hawamjui.
Advance nilisoma mpk namaliza sijawahi ongea na mtoto yeyote wa kike. (nina sababu zangu na iliniepusha na mengi).
Chuo sikuwa naeleweka mambo yangu kbsa.
By the way nilipanga nitoke na clean sheet kabisa yaani nisidate na mwanamke yeyote kwa miaka yote ya chuo.
Ah nikajikuta kuna mdada wa huko uchagani ninamkula kimasihara. Tulizoeana kiduchu. Kiujumla mimi hall za chuo nilikuww sibadilishi seat ya kukaa. Nilikuwa nakaaga palepale na walikuwa wanaheshimu sana. So huyo mchaga alikuwa anakujaga kukaa na me. Karibia kufunga nikamuambia kesho njoo geto akaja.
Nikamuambia vua nguo akavua. Lala akalala. Nikampanda. Baadae akaja juu. Akakalia. Kanogewa akasema hivi utakuja kunisaliti? Nikachekaaa. Nikamkalia buyu.
Nyie mnasemaga wachaga wabovu kitandani. Sio kwa yule alikuwa anajituma huku me rohoni nacheka.
Mwingine ni hostel mate. Mtoto wa mbeya.
Me na yeye ni salamu tu. Bado siku mbili niondoke nirudi home. Akashangaa namuita getho anipangie nguo. Akanipangia. nikamuambia leo nalala kwako. Sawa akajibu. Wakati ananipangia nguo nashangaa ananiletea singlendi mpya. Nikambikiri usiku ule. Akaanza lalamika ohh nilikuwa nakupenda kitambo ila huna habari oh we handsome (kimoyomoyo nasema handsome wa nyoko).
Nikakaaga kimya hadi leo.

Nikiwa field nilikuwa busy muda wa mapumziko me na earphone .kuna mwanamke fulani hivi alikuwa anatamani kuniingilia lakini sikumruhusu kabisa. Of course nilimkatili kihisia. Siwezi date na kila mtu bhna.
siku ya kuagwa kuna vidada vinataka namba yangu.
Sikutaka kuharibu kazi na heshima angu h kozi nilijiwekea mipaka watu gani nitadate nao maishani. (wake za watu me siwezi hata iweje)
Kamoja kakanitongoza oh kananipenda me sijibu kitu. Kananiuliza maswali mengiiiii me sijibu. Nilivomaliza field kakataka kuja nilikopanga. Hako kakaja. Paao sebuleni kakanikalia.

Kalikuwa kabikra afu kazuri hatari. Niko nako hadi leo. Ni pisi kali kuliko zote nimepata date. Ila hakaishi kunidodosa lakini ugumu nakawekea hadi leo.
Kuna siku kanasema ulivyokuwa pale field nisingekuwa makini rafiki angu angeniwahi.
Moyoni nacheeeka.
Mkesha wa pasaka kuna kadada kako mbele yangu ile wengine wanapiga makofi mixer vigelegele. By the way me nikiwaga church nakuwaga kimya naimbaga kimoyomoyo. Yule mwanamke akshangaa afu akawa anafosi na me nipige makofi na ninese kucheza kama wao. Me hata sereact chochote. Muda wa kutoka hanioni.
Kesho yake Pasaka kaja kukaa nilipokaa. Nikaona hii kero. Nikamfukuza hakatoki. Kuna muda nikakapima. Nikatabasamu kiduchu na kupiga kofi moja. Kakafurahii weee. Nje tunatoka kakawa kanajitambulisha wee kanauliza jina langu. Nikakaambia. Kakasema nitakupataje sasa. Simu ninayo ila nikachukua kijiti nikaandikia namba chini. Nikaondoka. Baadaye kakani txt.

MTOA MADA UKO SAHIHI 100%.
UKIACHANA NA HII KUWA NA PRIVACY inasaidia hata kwa maisha binafsi sana ukiachana na kuvutia wanawake ila hata life la kawaida inasaidia pakubwa.

Sipendagi mtu mwenye maneno mengi mimi.
Mama angu mwenyewe huwa anaongea sana sipendagi kabsa. Ongea kidogo maongezi yaishe.
Mwamba una maisha simple sana, yaani uwezi pata stress hata siku moja kwa style hii.
 
Mwamba una maisha simple Sana, yaani uwezi pata stress hata siku moja kwa style hii.
Mkuu nilijaribu kuchange kutokana na mazingira nikiwa advance level kwa kuwa ni uboyzini ila nilipata tabu sana kujifanya ni mchangamfu. Nilichokipata duh. Ila chuo nilirudi uhalisia.
 
Kuna namba yangu moja niliweka dp picha ya demu ... Asee wasichana wanapitia changamoto sana ..simu muda wote inaita nikiwasha data mambo ni balaa
Mitandao ya kijamii kwa sasa imekua msaada mkubwa sana kwao.

Hawezi ikosa mtandaoni japo kama kitaa kuna mtu anamuadmire basi maumivu ni palepale.

Hiyo kitu kwa sasa ipo sana mashuleni, hawa wa kitaa wanajipoza mtandaoni akipost tu mijitu 100+ tayari iko inbox inachombeza.
 
Ukitaka kuinjoi raha ya mwanamke just don't care and be Mkimya tu. Unaweza hisi una dawa ya kuwavuta😅
Bosss iki kitu mi ndo nnacho nashindwa kabisa kumshobokea mademu na asili yangu ni mkimya ila uwa nashangaa wanajileta wanataka kunizoea sana na kunifahamu kiundani na vitu vyangu maana wanakuwa hawajui vitu vingi kunihusu na hii unitokea kila mazingira ninayokuwepo kwa muda mrefu kuanzia shule nilizosoma na vyuo lazima nipate mademu wanaonitania mume😀😀
 
Huu uzi ni ukweli 100%.
Kuna workshop fulani niliwahi kufanya kazi, sehemu ambayo watu walitembeza vitu mbalimbali kuuza. Kuna manzi moja kama 22yrs alikuwa anauza juisi mida ya mchana kila siku.
Yule manzi alikuwa mzuri wa sura, umbo, sauti, na kila siku alipendeza tofauti, mtu muongeaji na wa kujichanganya na watu. Kwa kuwa pale workshop wafanyakazi wengi tulikuwa wanaume tena bachelors, wanawake walivalia namna ambavyo waliamini watateka attention ya wanaume ili kurahisisha biashara na udangaji.
Ikawa kila yule manzi muuza juisi anapofika masela wanachanganyikiwa balaa, wataanza kumwita kwa jina, kila mmoja anataka kuwa wa kwanza kuhudumiwa juisi, mwingine hata change hadai, kila mtu anataka amsemeshe yaani shobo mwanzo mwisho.

Lakini Mimi nilimuona wa kawaida tu, wala sikuwahi kupata hamu ya kununua juisi yake. Baada ya muda alishtuka watu wote pale workshop walishawahi kununua juisi kwake na kumshobokea isipokuwa Mimi tu(wengine hawakugundua).
Mara siku moja baada ya kuuzia wengine akaja sehemu nilipokuwa;
Yeye: Kaka mambo?
Mimi: Shwari,
Yeye: juisi?
Mimi: Asante.
Ikawa kila siku lazima ajipitishe mbele yangu kunisalimia na kuuliza kama nahitaji juisi lakini tofauti na salamu pamoja na asante ya kukataaa juisi sikuwa na story ya pili na yeye. Kilichomvuruga zaidi mara kibao amewahi kunikuta na wanawake wengine. Ilifika mahali akimaliza kuuza juisi anakaa sehemu ya mbali kidogo ananipiga chabo halafu kama ana mawazo.

Wanawake ni viumbe wa ajabu sana, ukiwaheshimu wanakudharau na ukiwadharau wanakuheshimu. Hata mkeo ukimuona kama celebrity yeye atakuona kama shabiki. Kanuni ni kuwachokonoa self esteem. Bila kubabaishwa na kiwango chake cha uzuri, mchukulie kama vile .......... Then utaona response yake kwako.
Hii kitu mbaya mi mwenyewe na tabia hii hadi kuna mademu uwa wananiwaza kinoma 😀😀demu wanamwita ita jina lake ila mhuni sijawahi mwita wala kumpigisha stories hadi namhurumia anavyoniangalia kwa mawazo 😀😀sema ukitaka akuote siku mwite jina lake ghafla tu atafurahi uyo 😀😀
 
Ni kweli kabisa ulichoongea mkuu. Lakini kabla ya yote hii picha ya pili ni wakati jofrey aliposhikiwa panga na arya, hapo alikuwepo na sasa na butchers boy na namaria. Me ni mpenzi mkubwa wa GOT. Twende kwenye mada

Wakati nipo form 6 alikuwepo demu mmoja ambae kiukweli alikua mzuri na wanafunzi wengi wakipita lazima wamsalimie na kutaka kuzungumza nae mawili matatu. Yule demu alikua mkali sana kwa biology na alikua PCB wakati mimi nilikua PCM. Kiukweli alikua kwa somo la bio yuko vizuri sana na mimi nilikua niko vizuri kwenye Math na Physics, so matokeo yakitoka ye huko anaongeza kwa Bio halafu mimi naongoza kwa physics na math. Kwa vile nilikua bize sana kwenye masomo sikua hata na stori nae na kuna siku tukapangwa group moja pale skuli kwa somo la chemistry but mimi nlipoona nipo group nae nikamuomba mwalimu nitolewe. Kumbe yeye akilini mwake anaona najiona sana, na mimi akilini mwangu nahisi kwamba mwanamke mzuri kila mwanafunzi anamtaka mimi wa nini, bora nijipinde tun na masomo. Tumeendelea hivo mpaka sometime huwaambia rafiki zangu me mbona niko tofauti na wanafunzi wengine au kwakua kaka angu ananisomesha physics nimekuwa hodari, kaka angu anajuulikana sana pale skuli kwa sababu aliwahi kupiga A ya physics. Siku hiyo nimetulia lakini karibia na mitihani ya mwisho wa mwaka uvumilivu ukamshinda, akenda kutafuta suala gumu la simple harmonic motion akanielete na kuniomba samahani kama atanikera lakini nimsaidie, kusema ukweli hakutaka nimsaidie maana ilo suali lilikua gumu kwake na yeye sio mtu physics, sijui alilenga nishindwe au vipi. Na mimi hiyo nafasi sikuichezea maana nlimwambia mimi sikariri formula ikabidi nimpige pindi la SHM kuanzia mwanzo hadi mwisho na baadae nkasolve suali lake than nikamuomba awe ananisaidia chemistry kwenye tropic ya organic chemistry. Tukaendelea na stori na mpaka tumegraduate tukawa tuko pamoja, siku moja moja nikawa napewa tunda fresh maana alikua anaogopa sana mimba, tuliachana yeye alipoenda kusoma uturuki na mimi nikakomaa hapa vyuo vya tanzania. Hatujaonana mpaka leo

Kuna kesi pia baada ya kua sina habari na demu mwisho nikala tunda iliwahi kunitokezea chuo.
Nakumbuka wakati naanza kazi katika serikali pia iliwahi kunitokea kwa demu fulani ambae sikua na habari nae ila yeye sikuwahi kumla kwa sababu nliona itaharibu ishu za kazi na ukizingatia hata mkuu wa kitengo nae alikua akimfuatilia ila mimi sikua na habari nae
Mademu uwa wanapenda mwanaume wa tofauti na wote 😀😀yaani unique
 
Bosss iki kitu mi ndo nnacho nashindwa kabisa kumshobokea mademu na asili yangu ni mkimya ila uwa nashangaa wanajileta wanataka kunizoea sana na kunifahamu kiundani na vitu vyangu maana wanakuwa hawajui vitu vingi kunihusu na hii unitokea kila mazingira ninayokuwepo kwa muda mrefu kuanzia shule nilizosoma na vyuo lazima nipate mademu wanaonitania mume😀😀
Ndio ilivyo usipowashobokea wanashoboka... Ukishoboka wanakupotezea.
 
Nakumbuka zamani nilikuwa fala sana daah kila nikikumbuka najiona fala kuoita maelezo fala wa kiwamgo cha SGR[emoji2]

Wakati naanza kazi nilipanga nyumba fulani hivi. Wapangaji tuko watatu hao wengine ni wanawake.,mwanaume peke yangu.

Mmoja kati ya hao wapangaji ni mdada tu japo alinizidi umri ila alikuwa anaita sana na mzigo kafungashia sana tu toto la kipare.

Basi bwana nilikuwa na mind michakato yangu ,mimi salamu tu,huyo room kwangu.

Kuna siku yule dada akaanza onesha kutaka attention na mimi siku notice hicho kitu sababu ya ufala[emoji15]

Akaanza akipika chapati jikoni kwake naletewa kukataa siwezi daaah.

Mara apendezi kweli na kujipitisha kwangu.

Kuka siku eti akaanza tabia ya kuja chajia simu room kwangu eti kwake swichi imeungua (niligundua baada kuwa muongo) basi kusa mimi sina time nae nikawa namwachia funguo za room halafu mimi naseoa job (anapajua) na mwambia nipitishie funguo ukimaliza.

Mara agonge usiku[emoji2]

Ikapita miaka mingi na baada ya kuwa mtaalamu wa hio tasnia kuna siku nikawa na reflect back yule dada alikuwa anamaanisha nini!? Bila shaka alikuwa anataka nimgonge (zingatia ni mpare[emoji4] huwa wanawashwa sana down there).

Basi nikajiona fala fursa adimu niliikosa

Alikuja kuhama kwenda masomoni baada ya miaka 3 kurudi amekongoloka sio yeye yule alikuwa anaita

Maisha bana.
Ukafeli kutimiza?? Unazingua akishoboka usipomtimizia akitakacho anakudharau na kukuona bwege. Usichague mnofu bwashee, wewe tafuna tu ilimradi umejileta mbele yako
 
Hii ni ukwel mtupu,yan usipotoa attention basi utaonekana unadharau na maringo kinoma yan.
 
Hii ni ukwel mtupu,yan usipotoa attention basi utaonekana unadharau na maringo kinoma yan.
Hizi tuhuma zinanikumba sana , mademu usipo washobokea wanaanza kusema unajiona mara unaringa ila mimi huwa sijali kama demu simjui ni mikausho mikali
 
Back
Top Bottom