Mwanamke akikosa "attention" anachanganyikiwa, kuchanganyikiwa kunamfanya apatikane kirahisi

Mwanamke akikosa "attention" anachanganyikiwa, kuchanganyikiwa kunamfanya apatikane kirahisi

Huu uzi ni ukweli mtupu niliwahi kalia kimya demu wawili takribani wiki 2 hivi wenyewe wakanitafuta na kupiga simu juu nilichogundua hawa watu sio wakuwapa attention saaaaaana
 
Huu uzi ni ukweli mtupu niliwahi kalia kimya demu wawili takribani wiki 2 hivi wenyewe wakanitafuta na kupiga simu juu nilichogundua hawa watu sio wakuwapa attention saaaaaana
karv Ukiwanyima attention inawatesa sana moyoni, ni wadhaifu sana kwenye eneo hili.
 
Huu uzi ni ukweli mtupu niliwahi kalia kimya demu wawili takribani wiki 2 hivi wenyewe wakanitafuta na kupiga simu juu nilichogundua hawa watu sio wakuwapa attention saaaaaana
Kuna manzi nlikuwa nimemuelewa na ye alilijua hilo, akaanza kunata. Nikaamua kuachana naye no sms no call. J4 ya week hii tumekutana sehemu ya kazi ananiambia sikuhizi najishaua sana.

Jana tumekutana tena, nlikuwa na rafiki yangu kazini, kampa hi rafiki yangu mie akanipita kama hanijui. Muda wa breakfast anaanza kupitisha pitisha mikono uson kama vile mi ni kipofu nafanyiwa majaribio ya kuona, nika assume hakuna kitu, nikachukua vitafuno vyangu nikasogea pembeni, busy muda wote na simu. Akaondoka zake, narudi amekaa kwenye kiti changu ofisin ,nikamtaka asimame aondoke[emoji23][emoji23] eti ananiangalia usoni, Mimi muda huo sura kavu, mmeru wa watu akasimama akaondoka zake.
 
Kuna manzi nlikuwa nimemuelewa na ye alilijua hilo, akaanza kunata. Nikaamua kuachana naye no sms no call. J4 ya week hii tumekutana sehemu ya kazi ananiambia sikuhizi najishaua sana.

Jana tumekutana tena, nlikuwa na rafiki yangu kazini, kampa hi rafiki yangu mie akanipita kama hanijui. Muda wa breakfast anaanza kupitisha pitisha mikono uson kama vile mi ni kipofu nafanyiwa majaribio ya kuona, nika assume hakuna kitu, nikachukua vitafuno vyangu nikasogea pembeni, busy muda wote na simu. Akaondoka zake, narudi amekaa kwenye kiti changu ofisin ,nikamtaka asimame aondoke[emoji23][emoji23] eti ananiangalia usoni, Mimi muda huo sura kavu, mmeru wa watu akasimama akaondoka zake.
Hapo amani anazidi kukosa yeye. Yaani ile kumsalimia rafiki yako tu ni kukukomoa. Mimi kuna mmoja nilimpenda baada ya kuanza Marengo nikaanza kumpotezea hata simu zake sometimes nikawa sipokei akaanza kuniambia naringa kitu ambacho sikuwahi kutarajia kama atakuja kuniambia kwajinsi alivyukuwa anaringa
 
Pole sanaaa.
Mwanaume wa kweli hupotezea Mazima ishu za namna hiyo, chief ukitaka haya maisha uishi bila stress jifunze pia namna ya kuacha wale wasioendana na wewe waende bila ugomvi wala maumivu.

Ilitokea 10 years,nilipenda kupita maelezo,pia visenti nilikuwa navyo,nilijitahidi kutunza kulingana na uwezo wangu,Ila alinichukulia poa sanaaa.
Huwa napata nafasi ya kupata busara za wazee,nikashilikisha hii ishu,nikaambiwa kijana usiumie,hapo hujapoteza,bali umewekeza,ACHANA NAE KISTAARABU.

Kweli nikafuata ushauri kibishii,sikumtafuta na nikaji-disconect nae totally. Maisha yakaendelea,after one week,alikuja na kelele nyiiingi,ooh umenitenga,au ndio umeniachaa?!
Nikamwambia,nina maisha mengine kwa sasaa kwahiyo endelea na huyo unaempa attention.

Now nimeoa,ila hajawahi nisahau kwenye maisha yake,sitaki nisema sanaaa eneo hilo Ila namuelewa vilivyo mtoa mada, chief muache aende, wazuri bado wapo weengi, naamini utapata mzuri na mwema kuliko huyo,usiruhusu tamaa/kisasi kiondoe UTU WEMA ULIONDANI YAKO.
Nimeona niseme kitu, hope utaipokea positive.
Exactly yaani don't force friendship, company au relationship utaumia Sana ukitumia nguvu nyiiingi na kupoteza mali .....
 
Hapa kitaa kna manzi jirani ( nilivohamia hya mazingira alikuw kasafir ko amerud kanikuta japo yeye ni mwenyeji), ni mzur afu anajikubali san mwanzo hta salamu alikuw anakausha sasa namm nkamkaushia,
naanza kuona sahv anafosi mazoea hiv afu muda mwing Kam ananiangalia kwa kujiiba hiv afu m najikuta Kam sielew lolote hivi

Ngoja niendelee kuusoma mchezo man dalili naziona afu nachekea tumboni [emoji23][emoji23] hawa wazur ukiwazingatia Sana wanakudharau.
Mmefikia wapi hadi sasa tunaomba mrejesho
 
Ni kweli kabisa ulichoongea mkuu. Lakini kabla ya yote hii picha ya pili ni wakati jofrey aliposhikiwa panga na arya, hapo alikuwepo na sasa na butchers boy na namaria. Me ni mpenzi mkubwa wa GOT. Twende kwenye mada

Wakati nipo form 6 alikuwepo demu mmoja ambae kiukweli alikua mzuri na wanafunzi wengi wakipita lazima wamsalimie na kutaka kuzungumza nae mawili matatu. Yule demu alikua mkali sana kwa biology na alikua PCB wakati mimi nilikua PCM. Kiukweli alikua kwa somo la bio yuko vizuri sana na mimi nilikua niko vizuri kwenye Math na Physics, so matokeo yakitoka ye huko anaongeza kwa Bio halafu mimi naongoza kwa physics na math. Kwa vile nilikua bize sana kwenye masomo sikua hata na stori nae na kuna siku tukapangwa group moja pale skuli kwa somo la chemistry but mimi nlipoona nipo group nae nikamuomba mwalimu nitolewe. Kumbe yeye akilini mwake anaona najiona sana, na mimi akilini mwangu nahisi kwamba mwanamke mzuri kila mwanafunzi anamtaka mimi wa nini, bora nijipinde tun na masomo. Tumeendelea hivo mpaka sometime huwaambia rafiki zangu me mbona niko tofauti na wanafunzi wengine au kwakua kaka angu ananisomesha physics nimekuwa hodari, kaka angu anajuulikana sana pale skuli kwa sababu aliwahi kupiga A ya physics. Siku hiyo nimetulia lakini karibia na mitihani ya mwisho wa mwaka uvumilivu ukamshinda, akenda kutafuta suala gumu la simple harmonic motion akanielete na kuniomba samahani kama atanikera lakini nimsaidie, kusema ukweli hakutaka nimsaidie maana ilo suali lilikua gumu kwake na yeye sio mtu physics, sijui alilenga nishindwe au vipi. Na mimi hiyo nafasi sikuichezea maana nlimwambia mimi sikariri formula ikabidi nimpige pindi la SHM kuanzia mwanzo hadi mwisho na baadae nkasolve suali lake than nikamuomba awe ananisaidia chemistry kwenye tropic ya organic chemistry. Tukaendelea na stori na mpaka tumegraduate tukawa tuko pamoja, siku moja moja nikawa napewa tunda fresh maana alikua anaogopa sana mimba, tuliachana yeye alipoenda kusoma uturuki na mimi nikakomaa hapa vyuo vya tanzania. Hatujaonana mpaka leo

Kuna kesi pia baada ya kua sina habari na demu mwisho nikala tunda iliwahi kunitokezea chuo.
Nakumbuka wakati naanza kazi katika serikali pia iliwahi kunitokea kwa demu fulani ambae sikua na habari nae ila yeye sikuwahi kumla kwa sababu nliona itaharibu ishu za kazi na ukizingatia hata mkuu wa kitengo nae alikua akimfuatilia ila mimi sikua na habari nae
Sasa mkuu topic ya organic chemistry ndo ilikuwa rahisi kuliko topics zote ktk kemia, na hili ni tatizo la vijana wengi wa PCM sijui mlikuwa mnafeli wapi. Mnasolve vitu vigumu vya physics na pure halafu mnashindwa organic ambayo ni maji kabisa, we kama unataka kuamini tupia hata swali la convertion hapa uone, nikupe options kulingana na number of steps.
 
Sasa mkuu topic ya organic chemistry ndo ilikuwa rahisi kuliko topics zote ktk kemia, na hili ni tatizo la vijana wengi wa PCM sijui mlikuwa mnafeli wapi. Mnasolve vitu vigumu vya physics na pure halafu mnashindwa organic ambayo ni maji kabisa, we kama unataka kuamini tupia hata swali la convertion hapa uone, nikupe options kulingana na number of steps.
Mliosoma mna mbwembwe nyie
 
Ukiwashobokea sana hawa wenzetu wanakuona fala, Ukitaka kuWin mioyo yao. Wewe Care, then Don't care. They'll start to care about you, to know why you donte care anymore.

Hii haifanyi kazi kwa kila mwanamke, kuna wengine Smart, Confident and Intelligent. They don't need your approval. So wasomaji muwe makini to know when to shoot and when not to.
Hii kanuni ilinifanya ni win sana mademu wakali wakati sina hata hela.

Wale waliokuwa wanashinda wanawachekea waliishia kuwa washika Pembe tu
 
Ngoja na me nitoe my confession.

Nikiwa ndio naanza form one katika shule fulani hivi ya boarding nilikutana na bro fulani nae alikuwa ni mgeni pale shule. Basi room tuliyokuwa tunakaa tulikuwa wageni wote yaanicnew comer.

Katika stories mbili tatu huyu bro alikuwa smart sana nakumbuka aliniambia wanangu katika maisha haya kuwa kauzu usitabirike kabisa kuwa na mambo yako tu.
Basi nikiwa ndio nipo form one hata sketi sijui basi nikaapply hiyo kitu na for sure ilikuwa inaendana na haiba yangu.
Duh basi wanafunzi wa kike nilikuwa sibongi nao kabisa. Hata girlfriend niliodate nao shule nilitongoza mmoja tu hao wengine nilikuta wanakuja kwangu ila sikuwapa kipaumbele hadi leo.
First lover tulikuwa mikondo tofauti alikuwa hajui ya ndani kunihusu kabisa
Nakumbuka nikiwa form two ndio alikuja kujua ya kuwa me ninabonda mitihani kinyama. Alibaki mdomo wazi baada ya tokeo kubandikwa.

Nilimaliza ile shule huku nikijulikana kwa walimu wanne tu nao kijuu juu walikuwa wanaonaga maksi zangu ila muhuni hawamjui.
Advance nilisoma mpk namaliza sijawahi ongea na mtoto yeyote wa kike. (nina sababu zangu na iliniepusha na mengi).
Chuo sikuwa naeleweka mambo yangu kbsa.
By the way nilipanga nitoke na clean sheet kabisa yaani nisidate na mwanamke yeyote kwa miaka yote ya chuo.
Ah nikajikuta kuna mdada wa huko uchagani ninamkula kimasihara. Tulizoeana kiduchu. Kiujumla mimi hall za chuo nilikuww sibadilishi seat ya kukaa. Nilikuwa nakaaga palepale na walikuwa wanaheshimu sana. So huyo mchaga alikuwa anakujaga kukaa na me. Karibia kufunga nikamuambia kesho njoo geto akaja.
Nikamuambia vua nguo akavua. Lala akalala. Nikampanda. Baadae akaja juu. Akakalia. Kanogewa akasema hivi utakuja kunisaliti? Nikachekaaa. Nikamkalia buyu.
Nyie mnasemaga wachaga wabovu kitandani. Sio kwa yule alikuwa anajituma huku me rohoni nacheka.
Mwingine ni hostel mate. Mtoto wa mbeya.
Me na yeye ni salamu tu. Bado siku mbili niondoke nirudi home. Akashangaa namuita getho anipangie nguo. Akanipangia. nikamuambia leo nalala kwako. Sawa akajibu. Wakati ananipangia nguo nashangaa ananiletea singlendi mpya. Nikambikiri usiku ule. Akaanza lalamika ohh nilikuwa nakupenda kitambo ila huna habari oh we handsome (kimoyomoyo nasema handsome wa nyoko).
Nikakaaga kimya hadi leo.

Nikiwa field nilikuwa busy muda wa mapumziko me na earphone .kuna mwanamke fulani hivi alikuwa anatamani kuniingilia lakini sikumruhusu kabisa. Of course nilimkatili kihisia. Siwezi date na kila mtu bhna.
siku ya kuagwa kuna vidada vinataka namba yangu.
Sikutaka kuharibu kazi na heshima angu h kozi nilijiwekea mipaka watu gani nitadate nao maishani. (wake za watu me siwezi hata iweje)
Kamoja kakanitongoza oh kananipenda me sijibu kitu. Kananiuliza maswali mengiiiii me sijibu. Nilivomaliza field kakataka kuja nilikopanga. Hako kakaja. Paao sebuleni kakanikalia.

Kalikuwa kabikra afu kazuri hatari. Niko nako hadi leo. Ni pisi kali kuliko zote nimepata date. Ila hakaishi kunidodosa lakini ugumu nakawekea hadi leo.
Kuna siku kanasema ulivyokuwa pale field nisingekuwa makini rafiki angu angeniwahi.
Moyoni nacheeeka.
Mkesha wa pasaka kuna kadada kako mbele yangu ile wengine wanapiga makofi mixer vigelegele. By the way me nikiwaga church nakuwaga kimya naimbaga kimoyomoyo. Yule mwanamke akshangaa afu akawa anafosi na me nipige makofi na ninese kucheza kama wao. Me hata sereact chochote. Muda wa kutoka hanioni.
Kesho yake Pasaka kaja kukaa nilipokaa. Nikaona hii kero. Nikamfukuza hakatoki. Kuna muda nikakapima. Nikatabasamu kiduchu na kupiga kofi moja. Kakafurahii weee. Nje tunatoka kakawa kanajitambulisha wee kanauliza jina langu. Nikakaambia. Kakasema nitakupataje sasa. Simu ninayo ila nikachukua kijiti nikaandikia namba chini. Nikaondoka. Baadaye kakani txt.

MTOA MADA UKO SAHIHI 100%.
UKIACHANA NA HII KUWA NA PRIVACY inasaidia hata kwa maisha binafsi sana ukiachana na kuvutia wanawake ila hata life la kawaida inasaidia pakubwa.

Sipendagi mtu mwenye maneno mengi mimi.
Mama angu mwenyewe huwa anaongea sana sipendagi kabsa. Ongea kidogo maongezi yaishe.
Yaani wewe ni kama mimi tu tofauti yangu na wewe mimi sikula hata mmoja. Dawa yao ni kuwa kauzu na kuwaburuza masomo magumu magumu mfano physics miaka yote, NECTA napo ni kuwaburuza unakuwa wa kwanza shule nzima na kuweka historia ambayo mpaka sasa haijavunjwa, chuo napo mwendo ule ule.

Hadi wengine wakawa wananitongoza kwa maneno serious na kwa vitendo na ishara ila nikawapiga chini wote. Nikaanza kula mademu baadae kidogo japo siyo wengi, nadhani nilijiepusha na mengi kutokula mademu na kutokuwa na shobo nao hata chembe.

Hao ndo dawa yao ni ukauzu na kuwa na miakili tu, watakuja wenyewe kama mvua, lakini ukiwatongoza ndo eti wanakuchenga dah 😂🤣, Kwa sasa nakawinda kabinti fulani hivi najua siku ya sikukuu nitakakula tu, nikiona kananifaa naishi nako hako hako.
 
Naona tunafanana kiasi mimi hua mkimya kiasi hua naona aibu kuongea mbele za watu so mara nyingi nakua mwenyewe tu siongei pa bila sababu ya msingi japo kua watu nikiwa nao naongea kama nimekula pilipili. Halafu ni mtu fulani gaidi hivi yaani hakuna mwanamke anaweza kunibabaisha hisia zangu eti nianze kujipendekeza kwake zamani nilijua labda nina psychological problem ajili ya swala hili yaani nipende usinipende utajijua yaani sijali lolote kuhusu wanawake na sikuwahi tongoza maishani mwangu. Nikakutana na mbabe humuhumu mbona napata tabu sana🤣🤣 kweli hata uwe mjanja kuna mjanja zaidi yako...Yaani nisipoona hata comment yake nachanganyikiwa😞 Hata siamini kama ni gaidi mimi nimekua hivi, you know to how it hurts to love someone ambae hutakujampata eeh

Binafsi ili uwe na ukaribu nami basi usiwe muongeaji sana coz sipendi fujo au maneno mengi. Sipend mtu ajue mambo yangu never hata hapo kwenye paragraph najisikia vibaya kueleza hayo niliyoandika... Napenda sana kua mtu kaksi ila sura yagu hua inanifelisha maana muda wote niko kama nataka kucheka/natabasam. Sijawahi kua Serious usoni hata siku moja labda nikowa napiga picha tu..Hii inasababisha watu kunizoea haraka ila najiweka mbali nao coz sitaki kujuana juana na Watu.

Kuna faida nyingi sana maishani ukiwa si mtu wa kuongea na kuzoeana na watu hovyohovyo
We utakuwa pacha wangu itabidi tujuane aisee..
 
Yaani wewe ni kama mimi tu tofauti yangu na wewe mimi sikula hata mmoja. Dawa yao ni kuwa kauzu na kuwaburuza masomo magumu magumu mfano physics miaka yote, NECTA napo ni kuwaburuza unakuwa wa kwanza shule nzima na kuweka historia ambayo mpaka sasa haijavunjwa, chuo napo mwendo ule ule.

Hadi wengine wakawa wananitongoza kwa maneno serious na kwa vitendo na ishara ila nikawapiga chini wote. Nikaanza kula mademu baadae kidogo japo siyo wengi, nadhani nilijiepusha na mengi kutokula mademu na kutokuwa na shobo nao hata chembe.

Hao ndo dawa yao ni ukauzu na kuwa na miakili tu, watakuja wenyewe kama mvua, lakini ukiwatongoza ndo eti wanakuchenga dah [emoji23][emoji1787], Kwa sasa nakawinda kabinti fulani hivi najua siku ya sikukuu nitakakula tu, nikiona kananifaa naishi nako hako hako.
nikiona kananifaa naishi nako hako hako

Epuka kuwa na option moja ya mwanamke
 
Biblia imeandika hivi baada ya kosa pale eden ambapo kila mmoja alipewa adhabu yake. Kwa wanaume inaeleweka ila wanawake kuzaa kwa uchungu na tamaa zake zitamuelekea mumewe nae atamtawala. "
Hiyo tamaa ndio attraction kuelekea mwanaume.
Sijajua upande wa. Waislamu huko.
Msimbishie mtoa mad

Biblia imeandika hivi baada ya kosa pale eden ambapo kila mmoja alipewa adhabu yake. Kwa wanaume inaeleweka ila wanawake kuzaa kwa uchungu na tamaa zake zitamuelekea mumewe nae atamtawala. "
Hiyo tamaa ndio attraction kuelekea mwanaume.
Sijajua upande wa. Waislamu huko.
Msimbishie mtoa mada
Eva kitendo cha kufanya maamuzi na nyoka bila kumshirikisha mumewe ni hali ya kutaka kuwa ndo kichwa wa familia, Mungu akamwambia "hiyo tamaa yako(ya kuwa kiongozi/kichwa) itakuwa/atapewa mumeo naye atakutawala( Mwanzo 3:16)
 
nikiona kananifaa naishi nako hako hako

Epuka kuwa na option moja ya mwanamke
Muda wa kuwa na wanawake wawili sina aisee nitajigawaje, labda wengine wawe rafiki wa kawaida tu ili mwenzao akizingua tu natafuta rafiki mmoja ndo awe mbadala.
 
Hilo siyo haramu kisichotakiwa ni kumuingia kinyume na maumbile. Ila tumeruhusiwa kuwaingilia wake tunavyopenda wakafananishwa na "Konde (Shamba)" tuwaingilie tunavyopenda kwa maana ya style, akae juu, abinuke alale kiubavu haina shida ils haramu kumuingilia kwenye tupu ya nyuma.
Yes, imeandikwa "wake zenu ni kama konde zenu, basi ziendeeni konde zenu mpendavyo..." Qur'an 2:223, hiyo ni Al-Baqarah
 
Yaani wewe ni kama mimi tu tofauti yangu na wewe mimi sikula hata mmoja. Dawa yao ni kuwa kauzu na kuwaburuza masomo magumu magumu mfano physics miaka yote, NECTA napo ni kuwaburuza unakuwa wa kwanza shule nzima na kuweka historia ambayo mpaka sasa haijavunjwa, chuo napo mwendo ule ule.

Hadi wengine wakawa wananitongoza kwa maneno serious na kwa vitendo na ishara ila nikawapiga chini wote. Nikaanza kula mademu baadae kidogo japo siyo wengi, nadhani nilijiepusha na mengi kutokula mademu na kutokuwa na shobo nao hata chembe.

Hao ndo dawa yao ni ukauzu na kuwa na miakili tu, watakuja wenyewe kama mvua, lakini ukiwatongoza ndo eti wanakuchenga dah 😂🤣, Kwa sasa nakawinda kabinti fulani hivi najua siku ya sikukuu nitakakula tu, nikiona kananifaa naishi nako hako hako.
Tupe mrejesho mkuu kama ulikakula
 
Back
Top Bottom