Sirdirashy
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 3,243
- 3,047
sasa kama huna msaada unauliza ya nini?" si ufunge kinywa chako....... unajichetua na maswali ya mtego nikwambie mazuri wakati kiuhalisia ni mabaya hapana kwa kweli......''Maisha yanasemaje kipenzi changu'' nitakujibu maisha yanataka hela na sina hela embu nitumie laki 5 hapo mar moja......
hao uwasemao wewe wanajifunza kupiga mizinga, wataalam halisi hawapigi mizinga kwenye msg au sim. Mzinga unapigwa live bila kupepesa macho .... utatoa tu penda usipende!
Sasa mnataka tuwaombe hela kina nani?
Awaaapi sitoi chezea mimi labda wasukuma hela yangu ina macho na inachugua mifuko ukila ujue tunakula wote hivi upati kwanza it wont easy kujua kama nina pesa ambayo haiko kwenye mzunguko.
Wanaume karibuni kwenye chama cha rugumya association tumewachoka na vibomu.
sasa kama huna msaada unauliza ya nini?" si ufunge kinywa chako....... unajichetua na maswali ya mtego nikwambie mazuri wakati kiuhalisia ni mabaya hapana kwa kweli......''Maisha yanasemaje kipenzi changu'' nitakujibu maisha yanataka hela na sina hela embu nitumie laki 5 hapo mar moja......
Khantwe hujamwelewa , yaani baada ya kulalamika maisha magumu ukiuliza zaidi unaombwa msaada. akikuambia maisha magumu ishia hapo....sema tu pole ndio kawaida au ndio ukubwa.
Uko sawa kabisa
Mwanaume wa ukweli lazima upigwe mzinga na mkeo,mchepuko,mpenzi. Sasa usipopigwa mzinga utasimulia nini ofisini,kijiweni,baa mmh
acha ubahili wewe hiyo laki nikitoa elfu 50 yakusuka 50 nanunulia watu wote saluni soda na chips labda we hujui mambo wewe
Dah kweli wewe Dr. Mchunguzi ......Kweli kabisa hili lipo....Hasa mimi nnatabia ya kuuliza BABIIII NIKUAMBIE KITU ?? Naogea huku natabasamu nikiwa namshika shika nywele mara shavu...hahahahaha
haha sasa hivi ukitaga kumpiga mzinga ustumie sms piga simu kabisaaaa au live
lazima uwajibike katika matatizo yangu pia mume akiwa bahili mwanzo wa uhusiano hata huko mbele ni shiiida
Hiyo kitu ipo kwaajili ya hiyo kazi....unaweza kudhani unamkomesha mtu kumbe unajikomesha wewe
Wanaochunwaga wanasemaga??? Thubut itabaki siri yako, tena unaonekana wewe ushachunwa na kupigwa mizinga sana hadi mepata experience uliyoielezea. Poleeee ndio uanamume...
Hii sms yako unamaanisha au unatania? sielewi.sasa kama huna msaada unauliza ya nini?" si ufunge kinywa chako....... unajichetua na maswali ya mtego nikwambie mazuri wakati kiuhalisia ni mabaya hapana kwa kweli......''Maisha yanasemaje kipenzi changu'' nitakujibu maisha yanataka hela na sina hela embu nitumie laki 5 hapo mar moja......