Mwanamke akikujibu SMS yako hivi acha haraka sana kuchat nae


Mmh ww kweli mchaga mm nawaogopa nyinyi napesa zangu mbuzi nikiona hii title ya chaga mm hata kusalimia si salimii atleast useme 50,000 mmmh laki tano
 
Haaa sasa akisema maisha magum ndo nimpe hela? Labda kama nimeiokota
 
hao uwasemao wewe wanajifunza kupiga mizinga, wataalam halisi hawapigi mizinga kwenye msg au sim. Mzinga unapigwa live bila kupepesa macho .... utatoa tu penda usipende!

Awaaapi sitoi chezea mimi labda wasukuma hela yangu ina macho na inachugua mifuko ukila ujue tunakula wote hivi upati kwanza it wont easy kujua kama nina pesa ambayo haiko kwenye mzunguko.
Wanaume karibuni kwenye chama cha rugumya association tumewachoka na vibomu.
 


Wanaochunwaga wanasemaga??? Thubut itabaki siri yako, tena unaonekana wewe ushachunwa na kupigwa mizinga sana hadi mepata experience uliyoielezea. Poleeee ndio uanamume...
 

Utajibiwa kirahisi sana, hela upate wapi mpenzi wangu labda wakina kimei na beno nduro wanajua silikoeleke au kama vipi muulize M-pesa au tigo pesa wenda wakajua zilipoenda.
 
Khantwe hujamwelewa , yaani baada ya kulalamika maisha magumu ukiuliza zaidi unaombwa msaada. akikuambia maisha magumu ishia hapo....sema tu pole ndio kawaida au ndio ukubwa.

Nooo demu wako akikuomba pesa kW style io we mpeee tuu, yaezakuwa ww mume ndo hujajua kumtunza koz kam demu unamtunza pesa anapewa hafikirii mizinga ya kisenge kwako kam hio at day1
 
Last edited by a moderator:
Jamani eh...
ngojeni nikopi nakupest msg zangu za whatsapp za jana...

Najua mhusika yupo hapa (naomba anisamehe)

Mimi: How is your day?

Demu: Bad

Mimi: Nini mbaya?

Demu: Nafikiria pa kupata laki sita mdogo wangu arudi shule


Kilichoendelea ni siri yetu...
 
Mwanaume wa ukweli lazima upigwe mzinga na mkeo,mchepuko,mpenzi. Sasa usipopigwa mzinga utasimulia nini ofisini,kijiweni,baa mmh

Ucha ushamba domo zege wewe km una mandazi mdomoni huna ujanja. Umega kisera na pesa akatafute akikopeshwa andaiwa ndiyo nyie mnatemwa pesa ikiyumba.
 
acha ubahili wewe hiyo laki nikitoa elfu 50 yakusuka 50 nanunulia watu wote saluni soda na chips labda we hujui mambo wewe

Kwangu unaliwa pesa utasikia ata harufu yake. Labda utaanbulia kiti moto na rifti ya gari ukiuliza unapewa njia za kyzitafuta.
 
Demu akishakuwa na mizinga ya sijala baby nimeishiwa salio baby,hafai namkataa fasta ni low class chick mwingine anakopa gari mafuta umuwekee wewe . Huwezi kukaa na mtu anaombaomba kama hana wazazi madem tamaa tamaa ata ukiswitch kwenye serious relationship wanasumbua hadi ndugu zake atataka utunze .
 
Dah kweli wewe Dr. Mchunguzi ......Kweli kabisa hili lipo....Hasa mimi nnatabia ya kuuliza BABIIII NIKUAMBIE KITU ?? Naogea huku natabasamu nikiwa namshika shika nywele mara shavu...hahahahaha

Wewe ukikutana na mimi utajuta make utaambulia utamu wa dudu, ukiondoka utazuga kuchukia after time utalimiss unajuja tena labda mke wangu naye ananunuliwa vitu pesa ya kazi gani.
 
Wanaochunwaga wanasemaga??? Thubut itabaki siri yako, tena unaonekana wewe ushachunwa na kupigwa mizinga sana hadi mepata experience uliyoielezea. Poleeee ndio uanamume...

Mwenzenu ana wiki mbili sasa anaomba elfu 50 anajifanya kununa nikakausha jana kamisi dudu kaja mwenyewe kaambulia kitimoto tu.
 
Hii sms yako unamaanisha au unatania? sielewi.
Ila, Aaa Pole mungu atakusaidia yatanyooka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…