Mwanamke akikujibu SMS yako hivi acha haraka sana kuchat nae

Mwanamke akikujibu SMS yako hivi acha haraka sana kuchat nae

Utajibiwa kirahisi sana, hela upate wapi mpenzi wangu labda wakina kimei na beno nduro wanajua silikoeleke au kama vipi muulize M-pesa au tigo pesa wenda wakajua zilipoenda.

ungekuwa boyfriend wangu nakuchukua siku natoa list hiyo utanunua tu
 
ni kutokana na ugumu wa maisha ndo maana wamekuwa na kelele nyingi zisizo na maana hao na wengine ni ubinafsi na uchoyo uliopo ndani ya mioyo yao mbona mababu zetu walikuwa wanatoa pesa kwa mabibi zetu na wengine waliikuwa wanachuma makatapela na kuwapa?
Ndo basi tena watatuhudumia mpaka mwisho wa ulimwengu kama upo.Sijui kwanini wanakwepa majukumu.
 
nami sijazungumizia hiyo michepuko yenu nazungumizia mke uliyenaye na si vinginevyo inaelekea mkuu hujanielewa wewe
usidandie comment ya mtu bila kuelewa anamaanisha nini\?
Mungu hajasema tuhudumie vimada au michepuko politely tunawaita gfs....tuna jukumu la kuhudumia wake na watoto wetu vimada ni optional!!!!
 
Jamani eh...
ngojeni nikopi nakupest msg zangu za whatsapp za jana...

Najua mhusika yupo hapa (naomba anisamehe)

Mimi: How is your day?

Demu: Bad

Mimi: Nini mbaya?

Demu: Nafikiria pa kupata laki sita mdogo wangu arudi shule


Kilichoendelea ni siri yetu...

Ngoja nimuite grafani11 ye alisema hua hashindwi kusaidia mwanamke kuanzia laki 5 kwenda juu aje amsaidie demu wako Tuko
 
Last edited by a moderator:
Hhhhhaaa lionee umeogopa kuibiwaaa huyooo nitaamini vipi ulimpaaa wewwe

Ndo ivo... wasi wasi wangu ni siku akiniambia vits yangu imekwama bandarini zinahitajika m 4 kuitoa... nitaitoa but kiroho kitauma aisee...
 
Demu akishakuwa na mizinga ya sijala baby nimeishiwa salio baby,hafai namkataa fasta ni low class chick mwingine anakopa gari mafuta umuwekee wewe . Huwezi kukaa na mtu anaombaomba kama hana wazazi madem tamaa tamaa ata ukiswitch kwenye serious relationship wanasumbua hadi ndugu zake atataka utunze .
mizinga inakatisha sana tamaa,huwezi kujua huyu serious kwenye relationship au not,mizinga ikizidi hata siku akiwa na tatizo serious unaweza kuchukulia utani,but kama demu hapigi mizinga akiwa na tatizo unaelewa unaweza kumtoa,sasa sugu la mizinga utalisaidia vipi
 
Ndo ivo... wasi wasi wangu ni siku akiniambia vits yangu imekwama bandarini zinahitajika m 4 kuitoa... nitaitoa but kiroho kitauma aisee...

Teh na ndio huko anakoelekeaaa we utanipa majibu
 
Teh na ndio huko anakoelekeaaa we utanipa majibu

Unajua hali haiwi mbaya kama ukijau we ndo mdau namba moja wa kufaidi... ila huku kutenganishwa na maili elfu 10..
Inakuwa ngumu kweli
 
nami sijazungumizia hiyo michepuko yenu nazungumizia mke uliyenaye na si vinginevyo inaelekea mkuu hujanielewa wewe
usidandie comment ya mtu bila kuelewa anamaanisha nini\?

nidandie comment yako ili iweje??!! hapa tunazungumzia michepuko....hamna mjinga humu kila mtu anajua kugharamia mkewe na familia yake.....ila vimada michepuko kugharamia ni option
 
Back
Top Bottom