Kwa umri wako sawa.Yes I believe in it coz whenever I tell my woman Lovie Lady, she goes crazy and I can feel it in her tone. My world without her is nothing. I loved her so much[emoji3590][emoji257][emoji3590]
Ndo ukweli....kama humpendi unaona anakupigia makelele tu
daah pole kipenzi ndo wanaume walivyoAcha tu, wanaume sio wa kuwaamini sana shouga anakusifia akiwa anataka jambo lake
Yes I believe in it coz whenever I tell my woman Lovie Lady, she goes crazy and I can feel it in her tone. My world without her is nothing. I loved her so much[emoji3590][emoji257][emoji3590]
daah pole kipenzi ndo wanaume walivyo
[emoji1]ndo maana tunakuwa mguu nje mguu ndani[emoji23][emoji23][emoji23] Tutafika kwa kuchoka sana
[emoji1]ndo maana tunakuwa mguu nje mguu ndani
ila hapa nilipo shouga angu najiona nimenasa kabisaKabisa shouga, akizingua unatoa mguu unachapa lapa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haha umri wangu unaingiaje katika maswala ya mahusiano mkuu?🤔Kwa umri wako sawa.
Mbona ni kawaida palipo na mapenzi ya kweli mkuu.? Love is all about intensive feelings of caring, protection and creativity. Mfanye akupendae ajivunie kila anapokuwa pembeni yako na anapokuwa mbali haishi kukuwaza sawa mkuu?fyddell kumbe mfuko kutoboka kama kawa😂
Basi uko nae kwa lengo lako fulani na si kujenga uhusiano imara. Kwako naona hakuna yale mapenzi ya mkigombana mnanuniana hata wiki then mnajikuta mnamissisana alafu kila mmoja anatafuta sababu ya kurudisha ukaribu😀Kabisa shouga, akizingua unatoa mguu unachapa lapa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwasababu unampemda kutoka moyoniila hapa nilipo shouga angu najiona nimenasa kabisa
A'm in love rafiki yako😊Kumekucha
Na unase vizuri, changamoto zipo kwenye mahusiano na zisikufanye unasuke wakati njia za kukabiliana nazo zipo. Unapoona moyo wako upo shikilia hapohapo the rest will justify themselves sawa mamii?😊ila hapa nilipo shouga angu najiona nimenasa kabisa
haki nampenda sana Don wanguKwasababu unampemda kutoka moyoni
thnx brotherNa unase vizuri, changamoto zipo kwenye mahusiano na zisikufanye unasuke wakati njia za kukabiliana nazo zipo. Unapoona moyo wako upo shikilia hapohapo the rest will justify themselves sawa mamii?[emoji4]
A'm in love rafiki yako[emoji4]
There's this girl called Lovie Lady, her laugh makes me smile and her eyes are my favorite color. The way she talks gives me butterflies[emoji3059][emoji2956][emoji3059]
You know what rafiki yangu Hornet?
The best thing about her.....
She's MINE[emoji817][emoji3590][emoji182][emoji3590]
Basi uko nae kwa lengo lako fulani na si kujenga uhusiano imara. Kwako naona hakuna yale mapenzi ya mkigombana mnanuniana hata wiki then mnajikuta mnamissisana alafu kila mmoja anatafuta sababu ya kurudisha ukaribu[emoji3]
Kwa style hiyo ya "Akizingua unatoa mguu unachapa lapa" hautadumu kwenye mahusiano na utabaki kurukaruka mwisho wa siku unakuja kushtuka it's too late for your wedding bells to heard[emoji1][emoji1]
Je ulishaongea nae kuhusu mustakabali wa mahusiano yenu? Kama ulishafanya hivyo na hana majibu ya kueleweka ni bora kumweleza ukweli kuwa hauko radhi kuwa kwenye mahusiano yasiyo na malengo. Sasa unaposema akizingua tu unachapa lapa meaning bado ujampenda bali unamsikilizia ili umpende. Sijui umenielewa hapo?[emoji23][emoji23][emoji23] ko km haeleweki niendelee kukaa naye?