Je ulishaongea nae kuhusu mustakabali wa mahusiano yenu? Kama ulishafanya hivyo na hana majibu ya kueleweka ni bora kumweleza ukweli kuwa hauko radhi kuwa kwenye mahusiano yasiyo na malengo. Sasa unaposema akizingua tu unachapa lapa meaning bado ujampenda bali unamsikilizia ili umpende. Sijui umenielewa hapo?
[emoji23][emoji23][emoji23] ko km haeleweki niendelee kukaa naye?
Sio huyo uliyenae tena?😄 Jaribu kurekebisha kwanza😊Kaka una moto wa mapenzi wewe [emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa nitafata ushauri wako, ngoja nianze kumtafuta huyo wa kupendana naye kwanza [emoji12]
[emoji38][emoji38]Kaka una moto wa mapenzi wewe [emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa nitafata ushauri wako, ngoja nianze kumtafuta huyo wa kupendana naye kwanza [emoji12]
Sawa Ila kwa kudra za Mungu na si kwakutaka binadamu wakati njia yetu tunajaribu kujijenga na kuwa imara zaidi. Kama waliweza mababu na mabibi zetu mpaka tunakuwa wakubwa hivi wako pamoja itashindikana vipi though tumezungukwa na viroboto vingi? By the God's grace yote yanawezekana😊fyddell na Lovie Lady mtaachana tu
I love to hear such a word from you😊. Ukiona wenzako wanapendana uwe na wivu wa uhusiano wako na mtu wako uwe kama wao. Lazima tutengeneze upendo kwa watu wote, ni mbaya na inaumiza unaposikia rafiki yako kashindwana na mwenzake kwasababu zisizo na mashiko. Je walijaribu kutafuta muafaka? Ila kama wameshindwana kwasababu ambazo ni genuine, ambazo sitakuja kumharm mmoja wapo ni bora kujiepusha mapema.haki nampenda sana Don wangu
Kabisaa mkuuMbona ni kawaida palipo na mapenzi ya kweli mkuu.? Love is all about intensive feelings of caring, protection and creativity. Mfanye akupendae ajivunie kila anapokuwa pembeni yako na anapokuwa mbali haishi kukuwaza sawa mkuu?
Haha The patriot man mwenyewe anatestify hiki kitu[emoji1]
Sio huyo uliyenae tena?[emoji1] Jaribu kurekebisha kwanza[emoji4]
Haha sio Moto Bali mapenzi yalisetiwa na Mungu mwenyewe kwaajili yetu. Bila mapenzi dunia haitakuwa sawa, tatizo ni pale unapompata ambaye sio sahihi yaani hamko katika Kariba moja.[emoji1][emoji1]
Sawa Ila kwa kudra za Mungu na si kwakutaka binadamu wakati njia yetu tunajaribu kujijenga na kuwa imara zaidi. Kama waliweza mababu na mabibi zetu mpaka tunakuwa wakubwa hivi wako pamoja itashindikana vipi though tumezungukwa na viroboto vingi? By the God's grace yote yanawezekana[emoji4]
[emoji38][emoji38]
fyddell na Lovie Lady mtaachana tu
Uzuri wako hua mnatukanana ndio mnapatana halafu unamsikilizia na yeye ana kusikilizia baadae mtapata hatma yenu tu
[emoji1787]vyombo vitakuja bdae chukua kwanza mafunzoShouga napewa kitchen party bila vyombo mwenzio [emoji23][emoji23][emoji23]
umeanza lini wivu lakini shouga anguNAKAZIA [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakazia tena🤣🤣🤣NAKAZIA [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787]vyombo vitakuja bdae chukua kwanza mafunzo
umeanza lini wivu lakini shouga angu
Nakazia tena[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eeeeeh nyie tenaYes I believe in it coz whenever I tell my woman Lovie Lady, she goes crazy and I can feel it in her tone. My world without her is nothing. I love her so much❤️🌹❤️
Kwani hamkupeana number za wasap😁😁?I'm trying all this time to open our conver but it doesn't. I don't know what happens with my PM. It just keeps "CONNECTING"
MIssing you so much my queen😍❤️😍😍😍🌹