Mwanamke akikupenda kweli, ukimsifia anafurahi

tena masuala ya mapenzi ukichomekea na chingereza kunakua na kauzito hivi kama hiyo uliyoandika mwanzo
Umeonae Ila kanionya niliweka Mambo public hata yeye atashiriki kwenye huo mlogo😂😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kungwi umeweza haya nipe vyombo sasa nikatulie kwa bwana
Kwanza embu fikiria jinsi mlivyoanza na mashamsham na shemela kipindi kike, kwa siku simu + sms haziishi mapaka zakuulizana "UNAKULA NINI MCHANA HUU" 😄😄 Alafu unataka kuchapa lapa kwa viishu vidogo dogo ambavyo mkikaa nusu saa tu mmevimaliza, kumbatio + kisses kibao Kama ndio mnaanza😊
 
Mxiewwwww!! Afu na hili baridi unataka anikaze nani?!

Mrs Kwevo song lake jipya la honey ka paste kwa wahindi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha hilo baridi la mkoa gani kwanza tuanzie hapo🤣🤣
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wacha weee

Kungwi umeweza, umeweza teeeenaaa!!

Endelea kutoa kitchen party, mwali wako niko hapa sitoki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…