Mwanamke akikupenda raha, pamoja na kumcheat kaninunulia perfume ya 170,000/=

Hii kiboko asee, Mademu wengine waongo waongo, anakuambia nimeenda sunrise beach resort na sister kumbe yuko na mshikaji.
Sio tu yuko na mshikaji bali ukuni wa mchizi uko jikoni unapashwa joto wakati amepokelea simu yake akiwa kifuani kwako!
 
Wewe huyo manzi atakuwa mbovu, mbaya,amekuzid umri,mgonjwa..
Shauri yako
 
She is matured, akili kubwa.
 
Mkuu unakula hela za wanaume wenzako, kuna boya linamtunza huyo manzi ila halipendwi unapendwa wewe hivyo basi mmehongwa wote.
 
Hapo imaanisha kaliwa na njemba yenye hela na imempa pesa ya maana. Hasira zake zimeisha na ili kuridhisha nafsi yake juu ya kuliwa kwake asijione msaliti ndio kakuletea hiyo zawadi.

Kwa kifupi unajipulizia manukato yaliyotakana na kulalwa mpenzi wako.
 
Wanawake wengine cjui wanafeli wapiii,
Yani ukosewe, uchuniwe bado msamaha uombe wewe woiiiiii
 
Na yeye anakucheat ila tofauti haujamfumania
 
Wanawake wengi kuliko wanaume tambua hilo.
 
Kama hajapiga stata uendelee, bas umejikaanga na mafuta yako.
 
Jiulize kakuunulia yeye au umenunuliwa na mwanaume mwenzio alafu unakenua...πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…