AKILI KIJIKO
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 405
- 589
Mtoa mada amezungumza kilichomo akilini mwake tu Wala hajafanya utafiti wa kina
Amesema mpaka mwanamke kucheat inahusisha mambo mengi lakini hujadadavua tuelewe
Umezungumzia male perspective tu, maelekezo yaha hayajahusisha female perspective
Hivi unajua sio Kila mwanamke anayecheat anafanikiwa kuenjoy wapo wanaojutia kucheat pengine alidhani akicheat atapata furaha na matokeo yake anagundua alifanya makosa makubwa na hiyo guilt inamtafuna hatakama mmewake hajamfuma.
Wanaume tunapenda kujihesabia haki
Tunajiona tunahaki ya kucheat
Amesema mpaka mwanamke kucheat inahusisha mambo mengi lakini hujadadavua tuelewe
Umezungumzia male perspective tu, maelekezo yaha hayajahusisha female perspective
Hivi unajua sio Kila mwanamke anayecheat anafanikiwa kuenjoy wapo wanaojutia kucheat pengine alidhani akicheat atapata furaha na matokeo yake anagundua alifanya makosa makubwa na hiyo guilt inamtafuna hatakama mmewake hajamfuma.
Wanaume tunapenda kujihesabia haki
Tunajiona tunahaki ya kucheat