sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,639
- 5,767
Say something...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Say something...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuruka ruka kwa maharage ndio kuiva kwakeNi vema mwanamke akatulia tu asubiri maelekezo, mambo ya kuruka ruka na kujifanya gwiji hayafai
Jmn mna uhakika?Washamba Sana yaan[emoji4]
Umwage aende kwa mwingine, mambo ya vicoba kausha damuWife materil hana mbwembwe kitandani ila haya mabanzoka ni kuifinyia kwa ndani mauno kama feni
Nakuona😎😎😛, kungwi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nipooo mama mtumishiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakuona[emoji41][emoji41][emoji14], kungwi
Nshasema huko juu.Say something...
Hata nikisikia kojo letu lileee nituliee tuu ......nisubiri maelekezo kutoka juu 😳😳😳😳😳Hasa akiwa mtu unamalengo nae, yani inatoa imani sana. Unawaza kua hunenda ni amekubuhu na anauzoefu sana, huenda ndo hufanya na wengine hivyo, taflani.
Ni vema mwanamke akatulia tu asubiri maelekezo, mambo ya kuruka ruka na kujifanya gwiji hayafai
Hahahahahahaha, wewe mama utaniua. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tutulie ili tuonekane magogo [emoji2960]
Sawa tutatulia wakuu.
Lakini wenzako kina Sheby wanataka tupande dirishani tuidondokee
Hahaa na tunaacha utundu, mwendo wa gogo na kusoma gazeti tu😀😀Mtoa mada apuuzwe,
Alichosema sio msimamo wa chama,
Hatujamtuma hayo maneno kajitungia[emoji1]
Wanatuvuruga😀Sijui wanachokitaka jmn
Sasa kaeni na mwenzenu huyo mmkanye anawaharibia wote😀Msimsikilize huyo jitumeni kunako 6×6
Na ndio maana tumemchana. Huo ni mtazamo wake sio wa chama 😅Sasa kaeni na mwenzenu huyo mmkanye anawaharibia wote😀
Mtoeni kabisa kwenye chama huyo😀Na ndio maana tumemchana. Huo ni mtazamo wake sio wa chama 😅
Mipango ya kumfuta uanachama ndo inafanywa na mwenyekiti na katibu wetu 🤣Mtoeni kabisa kwenye chama huyo😀