Mwanamke akileta ujuaji kitandani anatia mashaka sana

Hasa akiwa mtu unamalengo nae, yani inatoa imani sana. Unawaza kua hunenda ni amekubuhu na anauzoefu sana, huenda ndo hufanya na wengine hivyo, taflani.

Ni vema mwanamke akatulia tu asubiri maelekezo, mambo ya kuruka ruka na kujifanya gwiji hayafai
Hata nikisikia kojo letu lileee nituliee tuu ......nisubiri maelekezo kutoka juu 😳😳😳😳😳
 
Tutulie ili tuonekane magogo [emoji2960]
Sawa tutatulia wakuu.

Lakini wenzako kina Sheby wanataka tupande dirishani tuidondokee
Hahahahahahaha, wewe mama utaniua. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Inategemeana,kama ni pisi tu ya kula mbususu acha ilete mbwembwe tu.
 
Haswaaaa..... Analyse aje atie neno[emoji1]
Naungana na Mzabzab hapo, na hata kama mwanamke sio fundi basi atleast awe mfuataji maelekezo vizuri. Ukimwambia Kaa hivi, geuka vile, sogea hapa, inama nk awe anatii 😅
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwahiyo hamtaki tena miuno ya paka chongo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…