Mwanamke akiniomba hela namchukia hapo hapo

We mwenyewe pesa unazo au huna?
 
Mwanamke ambae hanipi utamu asiniombe hela.
 
Na usipompa haelewi ananuna hasira kama kagombana na UKRAINE.
 
Mwanaume toa hela bwana usisubiri mpaka uombwe.Ukimhudumia huyo mmoja akipendeza tamaa za kuangalia huyu na huyu zinapungua kidogo.Wako kakauka uhudumii unaenda kumtamani Aisha aliyependezeshwa na mwanaume mwenzako.Kuna mtu kasema hapo juu maisha ni magumu muwe waelewa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sa na wewe wanawake wote watano wa kazi gani? Matatizo mengine mnajitafutiaga wenyewe..ukiweka mazingira ya kumla mbususu lazima utapigwa mizinga.
Mind you, sio wote hao ni wanawake wangu kuwa natiana nao nope, washikaji tu , Ila ndio hivyo
 
Kuna wale ambao ukiwaahid nitakupa kesho,ikifika tu asubuh wanaanza sms za kukumbushia as if wewe umesahau..huwa inakera pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…