Mwanamke akionesha dalili au tabia hizi achana naye


Namba tatu hapo nixhakutan nao zaid ya mar moja unawez kunipa sababu kwanini niachane nao
 
Ukiona mwanamke ana tattoo na anavaa vindala vya manyoya... Hakikisha unatumia Cndom...

Nasisitiza hakikisha unatumia Cndom.
 
Kuna Best yangu ana tabia 5 hapo ila ana bwana anampenda mpaka basi [emoji2] mtu akiwasikiliza nyie si atajikuta haishi..
Hayo msioyataka nyuma ya pazia mnawapenda hao wenye nayo
 
Hiyo no 4 so powah
 
Bora we umeona wapare tu, kiujumla Wanawake wote kanda ya kaskazini ni Jehanamu isipokuwa Wamasai tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
nakazia
kuna mmoja nliwahi kuwa nae..cku Moja alizinguana na baba ake wakatoleana maneno machafu,akapigiwa na uncle wake wakatoleana matusi ya nguoni..
Ckummaliza aseeee...nikajiona naingia gerezani.. ikabidi niweke silent nipite ivi...
 
Kuna mmoja huyo anajua line za wachezaji epl wote hata ukimuambia akutajie line up ya burnley anaijua hadi walioko sub,nikasema hapa ni pa kupima oil tu na kusepa
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…