DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Sawa mpenziHaha sijaguna kwa ubaya
sio kesi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mpenziHaha sijaguna kwa ubaya
Sawa mpenzi
sio kesi
Utajuaje Kama anaangalia porno? Vitu vingine vinaweza vikawa private zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28][emoji28][emoji28] mi naangaliaga jamani wala sio siri. Usitake kujua natazamaga nini loh ni balaaNishawai kunGalia history kwa laptop ya manzi Daaa yaani mpaka anatype ebony Blowjob
Or Demi bado unabisha Niku hack [emoji3][emoji3]
Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wee acha kufanansha degree na upuuzi khaaaah.Na wenye makalio makubwa ogopa sana wanajiamini kuliko hata mwanamke mwenye degree
Sent from my iPhone using JamiiForums
😂😂😂😂😂Mi kuna mmoja niliachana nae maana dah dem eti haogopi mkiwa mnaangalia horror movies. Kuna wale mkiwa mnaangalia movie kama hii kuna matukio anaogopa kuangalia anajificha nyuma ya mgongo wako au anakulalia mapajani anakwambia utanisimlia hapo nini kilitokea ila huyu wangu anakodoa tu macho watu wanatobolewa utumbo au ubongo na mazombie ye uso mkavu hafichi ata uso kwa mikono. Nikasema we kaolewe na majenerali wa vikundi vya waasi kongo huko ndo mnawezana
HatariAnaechomeka dela kwenye chupi kaa mbali nae kabisa
Mmmmmh! hatari sanaMapenzi huleta upofu na kupotoka, hata pale unapogundua mabaya unaassume atabadilika kumbe inakuwa makusudi ya Mungu kukuonesha
1. Mwanamke ambaye anapenda uanaharakati.
"Mimi sipendi mtu anyanyaswe, mimi hawawezi nifanyia hivyo.”
“Mimi mwanaume hanipigi kofi"
Katika maongezi ukisikia maneno hayo ogopa sana.
2. Mwanamke ambaye haogopi walezi au wazazi.
"Tangulia nitakukuta kama umeshanishtaki.”
“Nilimwambia mama kuwa atakayepokea barua na mahali/maali ataolewa yeye.Kwani mi ndo msichana pekee mwambie akamuoe dada kama mnampenda sana mwanaume huyu"
3. Mwanamke mwenye marafiki wa Kiume wengi zaid ya wanawake
“Mimi sipendagi kampani ya wanawake maana hatupendani"
Huyo Muogope
4. Mwanamke anayeshindwa kujali muda hana care yeyote na wewe. Unasimama sehemu masaa matatu kumsubiri yeye anadhani neno SORRY linafuta mateso ulosimama masaa yote.
Huyo muogope
5. Ukikutana na washikaji yeye akawa muongeaji na kutawala mazungumzo , ogopa sana huyo
6. Mwanamke mkienda out akatawala bili
“Mnauzaje hapa?”
“Wahudumu mbona mnakaa mbali?”
“Hesabu vizuri wasituibie chenji"
7. Mwananke anayekunywa kinywaji kigumu yaani Konyagi Bapa. Hatari
8. Mara Nyingi unamkuta kaunta na Bia moja anailamba lamba tu!
Ogopa.
Thank me later
Britannica
Huyu si ndo anafaa maana anasaidia kupunguza bajeti 😄Mwananke anayekunywa kinywaji kigumu yaani Konyagi Bapa. Hatari
kudadeki!!! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mi kuna mmoja niliachana nae maana dah dem eti haogopi mkiwa mnaangalia horror movies. Kuna wale mkiwa mnaangalia movie kama hii kuna matukio anaogopa kuangalia anajificha nyuma ya mgongo wako au anakulalia mapajani anakwambia utanisimlia hapo nini kilitokea ila huyu wangu anakodoa tu macho watu wanatobolewa utumbo au ubongo na mazombie ye uso mkavu hafichi ata uso kwa mikono. Nikasema we kaolewe na majenerali wa vikundi vya waasi kongo huko ndo mnawezana
Nimeifufua Tena kwa mara nyingine [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mi kuna mmoja niliachana nae maana dah dem eti haogopi mkiwa mnaangalia horror movies. Kuna wale mkiwa mnaangalia movie kama hii kuna matukio anaogopa kuangalia anajificha nyuma ya mgongo wako au anakulalia mapajani anakwambia utanisimlia hapo nini kilitokea ila huyu wangu anakodoa tu macho watu wanatobolewa utumbo au ubongo na mazombie ye uso mkavu hafichi ata uso kwa mikono. Nikasema we kaolewe na majenerali wa vikundi vya waasi kongo huko ndo mnawezana
Acha kunikumbusha ex wangu😀😀Nimeifufua Tena kwa mara nyingine [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We jamaa wewe[emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii comment niliwahi iscreenshot..Acha kunikumbusha ex wangu[emoji3][emoji3]
[emoji16][emoji16]Mi kuna mmoja niliachana nae maana dah dem eti haogopi mkiwa mnaangalia horror movies. Kuna wale mkiwa mnaangalia movie kama hii kuna matukio anaogopa kuangalia anajificha nyuma ya mgongo wako au anakulalia mapajani anakwambia utanisimlia hapo nini kilitokea ila huyu wangu anakodoa tu macho watu wanatobolewa utumbo au ubongo na mazombie ye uso mkavu hafichi ata uso kwa mikono. Nikasema we kaolewe na majenerali wa vikundi vya waasi kongo huko ndo mnawezana
Yep unahisi nilikuwa naota labda nikajipigiza kwenye ubao wa kitanda😀[emoji3][emoji3][emoji3] ,kwahiyo utahisi ulikua unaota unapigwa si kweli ama, nimecheka mnoo
Sent using Jamii Forums mobile app