El cholo First Born
Member
- Aug 19, 2019
- 93
- 90
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi kuna mmoja niliachana nae maana dah dem eti haogopi mkiwa mnaangalia horror movies. Kuna wale mkiwa mnaangalia movie kama hii kuna matukio anaogopa kuangalia anajificha nyuma ya mgongo wako au anakulalia mapajani anakwambia utanisimlia hapo nini kilitokea ila huyu wangu anakodoa tu macho watu wanatobolewa utumbo au ubongo na mazombie ye uso mkavu hafichi ata uso kwa mikono. Nikasema we kaolewe na majenerali wa vikundi vya waasi kongo huko ndo mnawezana
Nikuambie tu ukweli,, mimi mwanaume ambaye anafanya vyovyote anavyojisikia hata kama anakosea eti kwa sababu tu yeye ni mwanaume siwezani naye kwa kweli yaani ni heri nisiolewe kabisa maisha yangu yote kuliko kuolewa na mwanaume wa aina hiyo..
Karma
Nimesoma number moja tu na nimeruka kukujibu, hivi unataka mwanamke awe anakubali kunyanyaswa na kupigwa makofi? Hivi ni kama unasema mwanamke kupigwa na mumewe na kunyanyaswa ndio part and parcel ya mahusiano ya mwanamme na mwanamke?
Mwanamke anatakiwa kuenziwa na kupendwa. Na kupiga piga sio mapenzi.
We Akitaka kupiga Pumbu mpemtupe tips na sisi
Mwanaume akionesha dalili au tabia gani uachana naye?
Sisi ni waafrika hata ukitazama waafrika wanaoishi marekani utaona malalamiko ya wanaume wao ni similar na sisi tunaoishi afrika. Tamaduni zetu zinamtaka mwanamke kuwa msikivu na mtiifu kwa mume wake.... Hata linapotokea tatizo huyu mwanamke asithubutu kumletea mwanaume kiburi au jeuri bali amuwajibishe kwa hekima na upole sababu mwanamke kaletwa kwaajiri ya mwanaume si dhidi ya mwanaume.
Shida ni watoto wa kike wa miaka hii mnaleta ujuaji na uzungu mwingi kutaka kuishi kama hao wazungu wanavyoishi...... Hauwezi kujibizana na mimi kwa kunipandishia sauti hapo jua utaambulia kipigo au matusi sababu hiyo kwa mujibu wa tamaduni za afrika nzima bila kujali kabila ni utomvu wa nidhamu hata uende india, uende uarabuni uende china mwanamke haruhusiwi kumpandishia mwanaume sauti kwa namna yoyote anatakiwa kuongea kwa upole na utiifu na kumfanya huyu mwanaume ajirudi na kumpa attention.
Pia kuishi bila utaratibu leo mtoto wa kike anajiamulia tu kuishi anavyotaka lakini anasahau yupo afrika na tunaevaluate tofauti na wazungu, mfano, mtoto wa kike unaongozana na watoto wakiume na una miaka 22 au zaidi halafu unahisi upo sawa...... Wewe utakuwa na matatizo somewhere kichwani.......
Unaropoka ropoka hovyo jambo ambalo si sehemu ya tamaduni zetu waafrika......
Ntakupa mfano, kuna rafiki yangu wa kiume alienda na mchumba wake na akiwa na rafiki zake wawili wa kike kwao. Walipofika, wakiwa sebuleni, mojawapo kati ya wale mabinti ambao ni rafiki za huyu mke mtarajiwa alikuwa anaongea sana wakiwa wanatazama TV, baadae wakati wa utambulisho kijana alimuuliza kwa utani bibi yake mzaa baba, nani unahisi kati ya hawa ni mke mwenzako, bibi akamjibu kilugha kuwa ni mojawapo kati ya hao wawili.... Akamuuliza mbona huyu haujamchagua, akasema anaongea sana atatoa siri za ndoa nje huyo.....
Unaona sasa.... Kwamba tamaduni zetu hazitambui mwanamke anaeongea kama chiriku bila staha....
Tazama jamii za wahindi, waarabu na wachina ni jamii ambazo wanawake wao wapo kwenye culture yao na wanasimamia misingi ya culture yao.
Sisi wanaume wa kiafrika tunamtazama mwanamke kama kiumbe dhaifu sio duni narudia tena.... Kiumbe dhaifu sio duni......
Sent using Jamii Forums mobile app
True.... Halafu hiyo wanayoita kujiamini wala haijawahi kuwa mojawapo ya sifa ya kike.....
Raha ya mwanamke akugande whether unampatia pesa au yeye anakusapport kwa wakati huo.
Mwanamke akiwa anabembeleza pale unapokasirika huwa kuna kemikali inaitwa "unanimaliza mpenzi" huwa inaflow kwenye damu na ndio uchawi ulipo aisee unajisikia vizuri. Sema kuna maboya wakipata hii bahati huwa wanaitumia vibaya kutesa watoto wa watu..... Mwanaume unatakiwa kuwa na huruma na mtoto wa mwanaume mwenzio. Akikubembeleza unakamata huo mwili wake unamleta karibu unamla mate kama dakika 20 hivi kisha unamwambia usipende kunikwaza..... Kisha unampa hela halafu unamvalisha koti lako kama mpo nje kisha taratibu mnaanza kutembea mkielekea home huku mkipanga maisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi pia mwamaume hana haki ya kunipiga kwann unifanyie ambacho siwez kukufanyia yaan ukinipiga usitegemee kusema samahan cjui sorry..io itakua ni kesi ya kimataifa..
Sio kunipiga sasa wanaume wenye akili hawapigi mwanamkeKwa hiyo Kila unachofanyiwa na mwanaume nawe unataka ufanye.....mbona vingi anavyokufanyia mwanaume wewe Hauwezi mfanyia mwanaume?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilo sio tatizo
Na ili La kiporo ndo Zuri sanaKikawaida wanaume huwa hatunaga urafiki na jinsia ke exceptional ikiwekwa kwa mama mzazi pamoja na mdogo wa kike , ukiona jamaa ana urafiki na wewe na ukadumu bila kuhusisha mapenzi jua kuna mambo mawili huyo ni punga au amukuweka kiporo akisubiri mtego utiki akukule kimasihara .
☆E pluribus unum☆
Tatizo hamtaki kusikia ukweli bali mnataka kusikia maneno yatakayowafurahisha,, dunia ya leo wanawake mnaowataka hawapo huo ndiyo ukweli na kama wangekuwepo basi msingekuwa mnashinda humu mitandaoni kutwa kucha mkilalamika..
Mwanamke akijiamini sana pia ni Tatizo kakaHapa namba tatu(3) unafeli mjuba!!
Hao wanawake hawana yale mambo ya kugombana au kugombanisha watu, ni watu wanao kuwa huru sana hawafichi maovu yao kwa kujifanya wapo mbali na wanaume. Sio wanafiki.
I had one of them wakati huo nikiwa damu changa sana haitulii.
Sasa kaolewa ana familia yake, jamaa kapata mke kweli kweli.
Hawa wanajua wanaume tunavyo jisifu na kuwapondea wanawake wenzao wanaotoka na wanaume wengi ( hoochie ), kwa hivyo wao wanatoka na wachache wasidharauliwe na wajuba. Si wanasikia mastori wanapokaa na wanaume.
Wanaogopwa sana na wanaume wengi kutokana na kujiamini kwao.
Hawapendi maskendo ya kukusanya wenzie uliowatokea kuja kukuumbua au kukufanyia vurugu, unakuta huyu anakustua fulani nakuchana live umezingua unataka kutuchanganya kama watoto.
"Fulani alikuja tukapanga mmoja wetu akuite utukute wote tukushushue lakini mimi sipendelei makelele na kuaibishana kitaa hivyo ukiitwa na fulani mahali fulani usije. Nimekustua sababu nilikuelewa sana japo umezingua".
In short wanajiamini sana ndio maana umewaogopa na kuwapondea hao namba 3. Mwanaume hapendi mwanamke anaye jiamini sana, ndio sifa ya binadamu yeyote.
Bosi wako kazini akikuona unajiamini haumuogopi anakosa kuajiamini anaanza vita na wewe.
Angalizo: Hawa wanatakiwa wakiolewa waache kushinda na wanaume tofauti na ndugu au shemeji zake.
Utakuwa na Bumunda la maanaNamba 3,7,8 ndo namba zangu izo ila hakuniogopa kabisa na akanioa
Piga pumbu HaswaaaaKiburi cha mwanamke au maneno yake yanamalizwa kwa kumpa mgegedo heavy
No 3 inanihusu kwa hiyo mabaharia niogopeni, sitaki urafiki na wanawake japo nashirikiana nao kwa Mambo mengi hasa ya kibiashara na kijamii, napenda kuwa na marafiki wa kiume wale wenye mawazo chanya, sio wale wanaowaza ngono kila saa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke anayenyoa kiduku na kupaka breach. Ogopa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUwenye kunyoa kiduku nao ni shida kwa nini mkuu
haaaaa hutofautiani sana demu wangu nae kampani kubwa ni wanaume anadai eti wanawake wengi wana story za ajabu tuNo 3 inanihusu kwa hiyo mabaharia niogopeni, sitaki urafiki na wanawake japo nashirikiana nao kwa Mambo mengi hasa ya kibiashara na kijamii, napenda kuwa na marafiki wa kiume wale wenye mawazo chanya, sio wale wanaowaza ngono kila saa
Sent using Jamii Forums mobile app