Mwanamke akionesha dalili au tabia hizi achana naye

Mwanamke akionesha dalili au tabia hizi achana naye

mtupe tips na sisi
Mwanaume akionesha dalili au tabia gani uachana naye?
Swali zuri.

1. Akiwa hana heshima na wewe kwa kukutamkia maneno ya dharau na matusi na kejeli bila kuhofia.

2. Akiwa anakusikiliza wewe zaidi badala ya kukupa wewe muongozo.

3. Akiwa anakushawishi kufanya mambo ambayo in the future yanakuweka wewe matatani mfano kila unapopata ujauzito yeye anawaza kuutoa na anatishia kukuacha, anakurekodi picha za uchi, hana wivu na wewe hata ule wa kujificha.
4. Anakuruhusu uwaachie ndugu zako au ndugu zake kuingilia maisha yenu binafsi. Hii itakuja watafuna baadae mkianza familia.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mapenzi huleta upofu na kupotoka, hata pale unapogundua mabaya unaassume atabadilika kumbe inakuwa makusudi ya Mungu kukuonesha

1. Mwanamke ambaye anapenda uanaharakati.
"Mimi sipendi mtu anyanyaswe, mimi hawawezi nifanyia hivyo.”

“Mimi mwanaume hanipigi kofi"

Katika maongezi ukisikia maneno hayo ogopa sana.

Nimesoma number moja tu na nimeruka kukujibu, hivi unataka mwanamke awe anakubali kunyanyaswa na kupigwa makofi? Hivi ni kama unasema mwanamke kupigwa na mumewe na kunyanyaswa ndio part and parcel ya mahusiano ya mwanamme na mwanamke?

Mwanamke anatakiwa kuenziwa na kupendwa. Na kupiga piga sio mapenzi.
 
Ukifanya mambo ya kipuuzi kama dharau, kunipandishia sauti au kujibizana na mimi, kutokutimiza majukumu yako nakulabua vizuri tu kwasababu wazazi wako hawakukutoa upuuzi vema kichwani.

Sasa nisipokuadabisha nani atakae kunyoosha mpenzi.....?!

Kipigo cha kawaida tu situmii nguvu ni makofi tu ili ukae katika nafasi yako....

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpenz niko smart sana ila nikiteleza nikumbatie uniulize taratibu..
 
Sawa nimekuelewa ila naomba nikuulize kitu,, hayo yote uliyosema yanawahusu hadi wale wanawake ambao wanawasaidia waume zao majukumu yao yaani mfano mwanaume akilipia umeme mwanamke analipia maji mwanaume akilipia ada mwanamke analipia kodi hao nao yanawahusu hayo??
Sisi ni waafrika hata ukitazama waafrika wanaoishi marekani utaona malalamiko ya wanaume wao ni similar na sisi tunaoishi afrika. Tamaduni zetu zinamtaka mwanamke kuwa msikivu na mtiifu kwa mume wake.... Hata linapotokea tatizo huyu mwanamke asithubutu kumletea mwanaume kiburi au jeuri bali amuwajibishe kwa hekima na upole sababu mwanamke kaletwa kwaajiri ya mwanaume si dhidi ya mwanaume.

Shida ni watoto wa kike wa miaka hii mnaleta ujuaji na uzungu mwingi kutaka kuishi kama hao wazungu wanavyoishi...... Hauwezi kujibizana na mimi kwa kunipandishia sauti hapo jua utaambulia kipigo au matusi sababu hiyo kwa mujibu wa tamaduni za afrika nzima bila kujali kabila ni utomvu wa nidhamu hata uende india, uende uarabuni uende china mwanamke haruhusiwi kumpandishia mwanaume sauti kwa namna yoyote anatakiwa kuongea kwa upole na utiifu na kumfanya huyu mwanaume ajirudi na kumpa attention.

Pia kuishi bila utaratibu leo mtoto wa kike anajiamulia tu kuishi anavyotaka lakini anasahau yupo afrika na tunaevaluate tofauti na wazungu, mfano, mtoto wa kike unaongozana na watoto wakiume na una miaka 22 au zaidi halafu unahisi upo sawa...... Wewe utakuwa na matatizo somewhere kichwani.......

Unaropoka ropoka hovyo jambo ambalo si sehemu ya tamaduni zetu waafrika......

Ntakupa mfano, kuna rafiki yangu wa kiume alienda na mchumba wake na akiwa na rafiki zake wawili wa kike kwao. Walipofika, wakiwa sebuleni, mojawapo kati ya wale mabinti ambao ni rafiki za huyu mke mtarajiwa alikuwa anaongea sana wakiwa wanatazama TV, baadae wakati wa utambulisho kijana alimuuliza kwa utani bibi yake mzaa baba, nani unahisi kati ya hawa ni mke mwenzako, bibi akamjibu kilugha kuwa ni mojawapo kati ya hao wawili.... Akamuuliza mbona huyu haujamchagua, akasema anaongea sana atatoa siri za ndoa nje huyo.....

Unaona sasa.... Kwamba tamaduni zetu hazitambui mwanamke anaeongea kama chiriku bila staha....

Tazama jamii za wahindi, waarabu na wachina ni jamii ambazo wanawake wao wapo kwenye culture yao na wanasimamia misingi ya culture yao.

Sisi wanaume wa kiafrika tunamtazama mwanamke kama kiumbe dhaifu sio duni narudia tena.... Kiumbe dhaifu sio duni......


Sent using Jamii Forums mobile app

Karma
 
Oohh kwahiyo wewe unataka ukikosea mkeo akuambie kwa utaratibu,, ila mke akukosea wewe umpige au umtukane ??
Nikikosea anaeniweka sawa ni mwanamke wangu anaejiheshimu sababu ninakuwa nae katika mji wangu ni yeye pekee ndie anaweza nijulisha mapema sana kabla sijakosea nirekebishe wapi.

Ila ili niweze kumpa attention na kumsikiliza ni lazima awe ni mwanamke anaeniheshimu na kunitambua kuwa ni kichwa ch familia awe na adabu kwangu na ananisikiliza...... Hakuna mkate mgumu mbele ya chai.

Sasa uwe na viburi na dharau kwangu kisha utegemee nitakusikiliza thubutu yako.....

Sent using Jamii Forums mobile app

Karma
 
Nikuambie tu ukweli,, mimi mwanaume ambaye anafanya vyovyote anavyojisikia hata kama anakosea eti kwa sababu tu yeye ni mwanaume siwezani naye kwa kweli yaani ni heri nisiolewe kabisa maisha yangu yote kuliko kuolewa na mwanaume wa aina hiyo..
Na nyie m'mezidi kuchagua wanaume kwa kuangalia wanavaaje...... Hamnaga akili katika kuchagua....... Mkiumizwa mnatuweka group moja utadhani sisi tunafanana nao......

Kama wewe me si nilikutokea ukanipa cha mbavu, kesho ukishapigwa kitu ndio unaniona sasa ni mtu wakati mimi muda huo nimeshahamishia dish upande mwingine. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app

Karma
 
Ukifanya mambo ya kipuuzi kama dharau, kunipandishia sauti au kujibizana na mimi, kutokutimiza majukumu yako nakulabua vizuri tu kwasababu wazazi wako hawakukutoa upuuzi vema kichwani.

Sasa nisipokuadabisha nani atakae kunyoosha mpenzi.....?!

Kipigo cha kawaida tu situmii nguvu ni makofi tu ili ukae katika nafasi yako....

Sent using Jamii Forums mobile app

Ukiona unadharauliwa jiangalie wewe kwanza mara mbili mbili, halafu usijibiwe wewe ni nani kwani..hayo maisha yaliishia mwaka 90. Ss hvi maisha ni magumu bado upate na mwanaume anajiongelesha eti anakunyoosha kwa kipigo[emoji23][emoji23] tutanyooshana very well


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ukiwa na mwanamke, halafu ghafra anaanza kukwambia "fulani ananitongoza"
alarm ianze kulia kichwani mwako.
wewe jiulize ni wangapi wanamtongoza huwa hakwambii? Kwa nini huyu?

Ndugu ukiambiwa na demu mf "joni abanitongoza" basi hapo ni kama unaambiwa Ninakupenda lakini na joni nampenda.
 
Back
Top Bottom