Mwanamke akionesha dalili au tabia hizi achana naye

Mwanamke akionesha dalili au tabia hizi achana naye

Sema they're too smart upstairs.

Hawapelekeshwi hao Ila wanatunza familia sijapata ona.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna kitu..... Unatunzaje familia bila mwanaume around..... Au wewe ndio wale kutunza familia ni watoto wale waende choo basi.....?!

Mimi sijawahi kuona mwanamke ambae hajui kutunza familia isipokuwa hawa wamjini ambao wanatumia muda mwingi kufanya upuuzi watoto wanaachia mama zao waleee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa namba tatu(3) unafeli mjuba!!
Hao wanawake hawana yale mambo ya kugombana au kugombanisha watu, ni watu wanao kuwa huru sana hawafichi maovu yao kwa kujifanya wapo mbali na wanaume. Sio wanafiki.

I had one of them wakati huo nikiwa damu changa sana haitulii.
Sasa kaolewa ana familia yake, jamaa kapata mke kweli kweli.

Hawa wanajua wanaume tunavyo jisifu na kuwapondea wanawake wenzao wanaotoka na wanaume wengi ( hoochie ), kwa hivyo wao wanatoka na wachache wasidharauliwe na wajuba. Si wanasikia mastori wanapokaa na wanaume.

Wanaogopwa sana na wanaume wengi kutokana na kujiamini kwao.
Hawapendi maskendo ya kukusanya wenzie uliowatokea kuja kukuumbua au kukufanyia vurugu, unakuta huyu anakustua fulani nakuchana live umezingua unataka kutuchanganya kama watoto.
"Fulani alikuja tukapanga mmoja wetu akuite utukute wote tukushushue lakini mimi sipendelei makelele na kuaibishana kitaa hivyo ukiitwa na fulani mahali fulani usije. Nimekustua sababu nilikuelewa sana japo umezingua".

In short wanajiamini sana ndio maana umewaogopa na kuwapondea hao namba 3. Mwanaume hapendi mwanamke anaye jiamini sana, ndio sifa ya binadamu yeyote.
Bosi wako kazini akikuona unajiamini haumuogopi anakosa kuajiamini anaanza vita na wewe.

Angalizo: Hawa wanatakiwa wakiolewa waache kushinda na wanaume tofauti na ndugu au shemeji zake.
Umalaya tu kama umeshindwa kukaa na wanawake wenzio unafanya nini na wanaume....yaani unataka nambia marafiki wa kike wote wawe na matatizo?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio confidence in general sense.

Ila wanakua na attitude flan hv, like ukinizingua hata nikienda kusimama barabarani napata replacement yako.

Comprènde?

Sent using Jamii Forums mobile app
True.... Halafu hiyo wanayoita kujiamini wala haijawahi kuwa mojawapo ya sifa ya kike.....

Raha ya mwanamke akugande whether unampatia pesa au yeye anakusapport kwa wakati huo.

Mwanamke akiwa anabembeleza pale unapokasirika huwa kuna kemikali inaitwa "unanimaliza mpenzi" huwa inaflow kwenye damu na ndio uchawi ulipo aisee unajisikia vizuri. Sema kuna maboya wakipata hii bahati huwa wanaitumia vibaya kutesa watoto wa watu..... Mwanaume unatakiwa kuwa na huruma na mtoto wa mwanaume mwenzio. Akikubembeleza unakamata huo mwili wake unamleta karibu unamla mate kama dakika 20 hivi kisha unamwambia usipende kunikwaza..... Kisha unampa hela halafu unamvalisha koti lako kama mpo nje kisha taratibu mnaanza kutembea mkielekea home huku mkipanga maisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi pia mwamaume hana haki ya kunipiga kwann unifanyie ambacho siwez kukufanyia yaan ukinipiga usitegemee kusema samahan cjui sorry..io itakua ni kesi ya kimataifa..
Ukifanya mambo ya kipuuzi kama dharau, kunipandishia sauti au kujibizana na mimi, kutokutimiza majukumu yako nakulabua vizuri tu kwasababu wazazi wako hawakukutoa upuuzi vema kichwani.

Sasa nisipokuadabisha nani atakae kunyoosha mpenzi.....?!

Kipigo cha kawaida tu situmii nguvu ni makofi tu ili ukae katika nafasi yako....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hao maboya wanaochezea hizo bahati ndiyo wanafanya wanawake wengi tunabadilika,, hao maboya ndiyo wako wengi na ndiyo wanaowaponza wanaume wengine ambao siyo maboya..
True.... Halafu hiyo wanayoita kujiamini wala haijawahi kuwa mojawapo ya sifa ya kike.....

Raha ya mwanamke akugande whether unampatia pesa au yeye anakusapport kwa wakati huo.

Mwanamke akiwa anabembeleza pale unapokasirika huwa kuna kemikali inaitwa "unanimaliza mpenzi" huwa inaflow kwenye damu na ndio uchawi ulipo aisee unajisikia vizuri. Sema kuna maboya wakipata hii bahati huwa wanaitumia vibaya kutesa watoto wa watu..... Mwanaume unatakiwa kuwa na huruma na mtoto wa mwanaume mwenzio. Akikubembeleza unakamata huo mwili wake unamleta karibu unamla mate kama dakika 20 hivi kisha unamwambia usipende kunikwaza..... Kisha unampa hela halafu unamvalisha koti lako kama mpo nje kisha taratibu mnaanza kutembea mkielekea home huku mkipanga maisha.

Sent using Jamii Forums mobile app

Karma
 
Kwani na wewe ukikosea nani anakuadabisha?? Au wanaume kukosea ni haki yenu??
Ukifanya mambo ya kipuuzi kama dharau, kunipandishia sauti au kujibizana na mimi, kutokutimiza majukumu yako nakulabua vizuri tu kwasababu wazazi wako hawakukutoa upuuzi vema kichwani.

Sasa nisipokuadabisha nani atakae kunyoosha mpenzi.....?!

Kipigo cha kawaida tu situmii nguvu ni makofi tu ili ukae katika nafasi yako....

Sent using Jamii Forums mobile app

Karma
 
Utamaduni upi

Karma
Sisi ni waafrika hata ukitazama waafrika wanaoishi marekani utaona malalamiko ya wanaume wao ni similar na sisi tunaoishi afrika. Tamaduni zetu zinamtaka mwanamke kuwa msikivu na mtiifu kwa mume wake.... Hata linapotokea tatizo huyu mwanamke asithubutu kumletea mwanaume kiburi au jeuri bali amuwajibishe kwa hekima na upole sababu mwanamke kaletwa kwaajiri ya mwanaume si dhidi ya mwanaume.

Shida ni watoto wa kike wa miaka hii mnaleta ujuaji na uzungu mwingi kutaka kuishi kama hao wazungu wanavyoishi...... Hauwezi kujibizana na mimi kwa kunipandishia sauti hapo jua utaambulia kipigo au matusi sababu hiyo kwa mujibu wa tamaduni za afrika nzima bila kujali kabila ni utomvu wa nidhamu hata uende india, uende uarabuni uende china mwanamke haruhusiwi kumpandishia mwanaume sauti kwa namna yoyote anatakiwa kuongea kwa upole na utiifu na kumfanya huyu mwanaume ajirudi na kumpa attention.

Pia kuishi bila utaratibu leo mtoto wa kike anajiamulia tu kuishi anavyotaka lakini anasahau yupo afrika na tunaevaluate tofauti na wazungu, mfano, mtoto wa kike unaongozana na watoto wakiume na una miaka 22 au zaidi halafu unahisi upo sawa...... Wewe utakuwa na matatizo somewhere kichwani.......

Unaropoka ropoka hovyo jambo ambalo si sehemu ya tamaduni zetu waafrika......

Ntakupa mfano, kuna rafiki yangu wa kiume alienda na mchumba wake na akiwa na rafiki zake wawili wa kike kwao. Walipofika, wakiwa sebuleni, mojawapo kati ya wale mabinti ambao ni rafiki za huyu mke mtarajiwa alikuwa anaongea sana wakiwa wanatazama TV, baadae wakati wa utambulisho kijana alimuuliza kwa utani bibi yake mzaa baba, nani unahisi kati ya hawa ni mke mwenzako, bibi akamjibu kilugha kuwa ni mojawapo kati ya hao wawili.... Akamuuliza mbona huyu haujamchagua, akasema anaongea sana atatoa siri za ndoa nje huyo.....

Unaona sasa.... Kwamba tamaduni zetu hazitambui mwanamke anaeongea kama chiriku bila staha....

Tazama jamii za wahindi, waarabu na wachina ni jamii ambazo wanawake wao wapo kwenye culture yao na wanasimamia misingi ya culture yao.

Sisi wanaume wa kiafrika tunamtazama mwanamke kama kiumbe dhaifu sio duni narudia tena.... Kiumbe dhaifu sio duni......


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani na wewe ukikosea nani anakuadabisha?? Au wanaume kukosea ni haki yenu??

Karma
Nikikosea anaeniweka sawa ni mwanamke wangu anaejiheshimu sababu ninakuwa nae katika mji wangu ni yeye pekee ndie anaweza nijulisha mapema sana kabla sijakosea nirekebishe wapi.

Ila ili niweze kumpa attention na kumsikiliza ni lazima awe ni mwanamke anaeniheshimu na kunitambua kuwa ni kichwa ch familia awe na adabu kwangu na ananisikiliza...... Hakuna mkate mgumu mbele ya chai.

Sasa uwe na viburi na dharau kwangu kisha utegemee nitakusikiliza thubutu yako.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mtupe tips na sisi
Mwanaume akionesha dalili au tabia gani uachana naye?
 
Sasa hao maboya wanaochezea hizo bahati ndiyo wanafanya wanawake wengi tunabadilika,, hao maboya ndiyo wako wengi na ndiyo wanaowaponza wanaume wengine ambao siyo maboya..

Karma
Na nyie m'mezidi kuchagua wanaume kwa kuangalia wanavaaje...... Hamnaga akili katika kuchagua....... Mkiumizwa mnatuweka group moja utadhani sisi tunafanana nao......

Kama wewe me si nilikutokea ukanipa cha mbavu, kesho ukishapigwa kitu ndio unaniona sasa ni mtu wakati mimi muda huo nimeshahamishia dish upande mwingine. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom