Mwanamke akionesha dalili au tabia hizi achana naye

Mwanamke akionesha dalili au tabia hizi achana naye

Mi kuna mmoja niliachana nae maana dah dem eti haogopi mkiwa mnaangalia horror movies. Kuna wale mkiwa mnaangalia movie kama hii kuna matukio anaogopa kuangalia anajificha nyuma ya mgongo wako au anakulalia mapajani anakwambia utanisimlia hapo nini kilitokea ila huyu wangu anakodoa tu macho watu wanatobolewa utumbo au ubongo na mazombie ye uso mkavu hafichi ata uso kwa mikono. Nikasema we kaolewe na majenerali wa vikundi vya waasi kongo huko ndo mnawezana
Afiche uso wake ili iweje sasa wakati anajua fika kuwa movie yenyewe ni fiction!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ogopa sana mwanamke katika nguo zake ana Vijora pea zaidi ya 5 (kaa chonjo)

Ogopa sana mwanamke mvaa yale maviatu yenye manyoya manyoya mtaani (kaa mkao wa kula)

Ogopa sana mwanamke mpaka mikorogo,yani yeye hardhiki na rangi yake (usije sema hukuambiwa)

Ogopa sana mwanamke m'bandika kucha mikononi (daily) tena mikono yote (my dear my dear)

Ogopa sana mwanamke m'bandika kope ndefu kama ich mbili hivi machoni mwake (oh God)

Ogopa sana mwanamke mkichati anakuita my,my,my,my yani yeye ni my kila kitu (yethuu)

Ogopa sana mwanamke mpenda Uber,yani ukimuelekeza popote yeye anajua Uber tu sio daladala wala bajaji wala boda boda (ndugu yanguuuuu)

Ogopa sana mwanamke mtumia kilevi,iwe soft au Ngumu kumeza as long as ni kilevi (hatari fire)

Ogopa sana mwanamke yeye nguo zake kila siku ni suruali,taiti,skini,Hanaga gauni wala skirt (dear brother)
 
3. Mwanamke mwenye marafiki wa Kiume wengi zaid ya wanawake

“Mimi sipendagi kampani ya wanawake maana hatupendani"
Hapa namba tatu(3) unafeli mjuba!!
Hao wanawake hawana yale mambo ya kugombana au kugombanisha watu, ni watu wanao kuwa huru sana hawafichi maovu yao kwa kujifanya wapo mbali na wanaume. Sio wanafiki.

I had one of them wakati huo nikiwa damu changa sana haitulii.
Sasa kaolewa ana familia yake, jamaa kapata mke kweli kweli.

Hawa wanajua wanaume tunavyo jisifu na kuwapondea wanawake wenzao wanaotoka na wanaume wengi ( hoochie ), kwa hivyo wao wanatoka na wachache wasidharauliwe na wajuba. Si wanasikia mastori wanapokaa na wanaume.

Wanaogopwa sana na wanaume wengi kutokana na kujiamini kwao.
Hawapendi maskendo ya kukusanya wenzie uliowatokea kuja kukuumbua au kukufanyia vurugu, unakuta huyu anakustua fulani nakuchana live umezingua unataka kutuchanganya kama watoto.
"Fulani alikuja tukapanga mmoja wetu akuite utukute wote tukushushue lakini mimi sipendelei makelele na kuaibishana kitaa hivyo ukiitwa na fulani mahali fulani usije. Nimekustua sababu nilikuelewa sana japo umezingua".

In short wanajiamini sana ndio maana umewaogopa na kuwapondea hao namba 3. Mwanaume hapendi mwanamke anaye jiamini sana, ndio sifa ya binadamu yeyote.
Bosi wako kazini akikuona unajiamini haumuogopi anakosa kuajiamini anaanza vita na wewe.

Angalizo: Hawa wanatakiwa wakiolewa waache kushinda na wanaume tofauti na ndugu au shemeji zake.
 
Sina cha kukuambia zaidi ya, badilika.

Nishakutana na wadada wengi tu type kama wewe. Wanajiulzaga tu

"Hivi Nakosea wapi?"

hapa unakuta aliemwambia atamuoa kaachana nae hlf akapata kwengine akaoa kwa speed ya 5G...

Mnafata sana uzungu mkisahau wanaume wenu wapo Afrika.

Ponea yenu ni kupata mwanaume baridi tu.
Ukiwa tayari kuja na hoja utanambia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo hoja yako ni kwamba mwanamke anayekubali kupigwa na kunyanyaswa ndiye anayefaa kuolewa siyo ?? Jibu ndiyo au hapana ili tusipoteze muda maana naona unazunguka sana !!
Sina cha kukuambia zaidi ya, badilika.

Nishakutana na wadada wengi tu type kama wewe. Wanajiulzaga tu

"Hivi Nakosea wapi?"

hapa unakuta aliemwambia atamuoa kaachana nae hlf akapata kwengine akaoa kwa speed ya 5G...

Mnafata sana uzungu mkisahau wanaume wenu wapo Afrika.

Ponea yenu ni kupata mwanaume baridi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
No 3 inanihusu kwa hiyo mabaharia niogopeni, sitaki urafiki na wanawake japo nashirikiana nao kwa Mambo mengi hasa ya kibiashara na kijamii, napenda kuwa na marafiki wa kiume wale wenye mawazo chanya, sio wale wanaowaza ngono kila saa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kikawaida wanaume huwa hatunaga urafiki na jinsia ke exceptional ikiwekwa kwa mama mzazi pamoja na mdogo wa kike , ukiona jamaa ana urafiki na wewe na ukadumu bila kuhusisha mapenzi jua kuna mambo mawili huyo ni punga au amukuweka kiporo akisubiri mtego utiki akukule kimasihara .

☆E pluribus unum☆
 
Kiufupi hakuna mwanamke ambae si wa kuogopwa:
Mkimya - Muogope
Muongeaji - Muogope
Anaevaa wigi - Muogope
Anaevaa nguo ya kubana - Muogope
Anachonga nyusi - Muogope
Anaenyoa nyusi - Muogope
Anaenyoa kiduku - Mamaaaa muogope
Anaechora tattoo - Ohoo muogope
Anaependa pesa - Muogope
Asiyependa pesa - Muogope bana!
Ilimradi wote tuwaogope maana huwezi jua ni yupi yuko sawa na wala kule Eden Adam alipokuwa amelala Eva aliongea nini na Iblis [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

ᴱᵛᵉʳʸᵇᵒᵈʸ ˡᵒᵛᵉˢ ᵃ ᵇⁱᵍ⁻ᵗⁱᵗᵗʸ ʷᵒᵐᵃⁿ [emoji377]
[emoji23] kazi ipo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iseme sasa hiyo hoja yako,, maana tangu umeanza kuniquote hakuna cha maana ulichoandika zaidi ya personal attack tu eti oh hautaolewa mara badilika and bla bla bla..

Stop beating around the bush and go straight to your point,, kwamba mimi nakupinga sababu ya moja mbili tatu na siyo kuleta habari za kuulizia kuhusu personal issues ambazo hazikuhusu..
Unachofanya hapa ni kuniwekea maneno mdomoni. Hiyo ni hoja yako. Sio yangu.

Please, Try again.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Endelea kujidanganya, inategemea na msimamo wako, sio wanaume wote wanawaza ngono, na sio wanawake wote wanalika kirahisi/kimasihara
Kikawaida wanaume huwa hatunaga urafiki na jinsia ke exceptional ikiwekwa kwa mama mzazi pamoja na mdogo wa kike , ukiona jamaa ana urafiki na wewe na ukadumu bila kuhusisha mapenzi jua kuna mambo mawili huyo ni punga au amukuweka kiporo akisubiri mtego utiki akukule kimasihara .

☆E pluribus unum☆

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na mkae mbali haswa,, maana dunia ya leo hao wanawake mnaowataka hawapo labda muwaumbe wenyewe..
Waliotulia wapo Endapo Huyo Mwanaume naye akiwa ametulia na mpaka ukimwomba Mungu na uhalakati wa Mwanamke akiunza bila sababu Huyo atakuwa hafai na nitamshangaa
 
Back
Top Bottom