COBOL
Member
- Dec 21, 2013
- 98
- 222
Sidhani kama kuna sehemu nimekuambia "Hautaolewa"..
Is that your deepest fear?
Sent using Jamii Forums mobile app
Is that your deepest fear?
Iseme sasa hiyo hoja yako,, maana tangu umeanza kuniquote hakuna cha maana ulichoandika zaidi ya personal attack tu eti oh hautaolewa mara badilika and bla bla bla..
Stop beating around the bush and go straight to your point,, kwamba mimi nakupinga sababu ya moja mbili tatu na siyo kuleta habari za kuulizia kuhusu personal issues ambazo hazikuhusu..
Sent using Jamii Forums mobile app