Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Mtu analamba bia moja kuanzia saa kumi jioni mpaka saa sita usiku? 🤔Kwaiyo washikilie tatu tatu au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu analamba bia moja kuanzia saa kumi jioni mpaka saa sita usiku? 🤔Kwaiyo washikilie tatu tatu au?
Umeipata hiyo namba L
Mawindoni shost akinywa araka araka atajichanganya ashindwe kuchagua kwa akiliMtu analamba bia moja kuanzia saa kumi jioni mpaka saa sita usiku? 🤔
Ndio hivyo na ndio maana mleta mada akasema tuogope wa hivyo.Mawindoni shost akinywa araka araka atajichanganya ashindwe kuchagua kwa akili
Mwanamke mwenye kadi ya ccm anaingia kwenye kundi gani ?Mapenzi uleta upofu na kupotoka , hata pale unapogundua mabaya Una assume atabadilika , kumbe inakuwa makusudi ya Mungu kukuonesha
1.Mwanamke ambaye anapenda uanaharakati,
"Mimi sipendi mtu anyanyaswe, mimi hawawezi nifanyia hivyo, Mimi mwanaume anipigi kofi"
Katika maongezi ukasikia maneno hayo ogopa sana
2.Mwanamke ambaye aogopi walezi au wazazi
"Tangulia ntakukuta umeshanishtaki,Nilimwambia mama kuwa atakayepokea barua na mahali/maali ataolewa yeye, Kwani mi ndo msichana pekee mwambie akamuoe dada kama mnampenda Sana mwananume huyu"
3.Mwanamke mwenye marafiki wa Kiume wengi zaid ya wanawake
"mi sipendagi kampani ya wanawake maana hatupendani"
Huyo Muogope
4.Mwanamke anayeshindwa kujali Muda hana care yeyote na wewe unasimama sehem masaa matatu kumsubiri ye anadhani neno SORRY linafuta mateso ulosimama masaa yote, huyo muogope
5.Ukikutana na washikaji ye akawa muongeaji na kutawala mazungumzo , ogopa sana huyo
6.Mwanamke mkienda out akatawala bill, "mnauzaje hapa, wahudumu mbona mnakaa mbali,Hesabu vizuri wasituibie chenji"
7.Mwananke anayekunywa kinywaji kigumu yaan Konyagi Bapa, Hatari
8.Mara Nyingi unamkuta kaunta na Bia moja tu anailamba lamba tu ogopa.
Thank me later
Britannica
Unaogopa nini mwenzio anarusha nyavu baharini kwa utuliiivu kabisa anase samaki asije akatoka na uduvi tu 🤣 🤣 🤣Ndio hivyo na ndio maana mleta mada akasema tuogope wa hivyo.
Wewe una mawazo chanya au kupe ?No 3 inanihusu kwa hiyo mabaharia niogopeni, sitaki urafiki na wanawake japo nashirikiana nao kwa Mambo mengi hasa ya kibiashara na kijamii, napenda kuwa na marafiki wa kiume wale wenye mawazo chanya, sio wale wanaowaza ngono kila saa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna maeneo mengine ya bahari ukirusha nyavu mara kumbe kuna papa linakubeba wewe, nyavu zako na kamtumbwi kako. 😁Unaogopa nini mwenzio anarusha nyavu baharini kwa utuliiivu kabisa anase samaki asije akatoka na uduvi tu 🤣 🤣 🤣
Ndo tahadhari tunayochukua tunapokuwa tumerusha chamboKuna maeneo mengine ya bahari ukirusha nyavu mara kumbe kuna papa linakubeba wewe, nyavu zako na kamtumbwi kako. 😁
Haya bana 😂Ndo tahadhari tunayochukua tunapokuwa tumerusha chambo
Wana majanga yapi ?
Dah! Hawa ndo mkizinguana anategea umelala anakupiga na chupa ya soda kwenye ugoko ukishtuka anajifanya kasinzia hana habariHahahaha hahahaha hahahaha nimecheka sanaaaa, alitakiwa haolewe na kina General Qassem Soleiman.
Akaolewe uko Zaire na Burundi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mmoja Wa Kifaru duh alinipelekesha