Mwanamke akionesha dalili au tabia hizi achana naye

Mwanamke akionesha dalili au tabia hizi achana naye

Nimecheka sanaaa hii namba 6

6. Mwanamke mkienda out akatawala bili

“Mnauzaje hapa?”

“Wahudumu mbona mnakaa mbali?”

Hesabu vizuri wasituibie chenji"
 
Mapenzi huleta upofu na kupotoka, hata pale unapogundua mabaya unaassume atabadilika kumbe inakuwa makusudi ya Mungu kukuonesha

1. Mwanamke ambaye anapenda uanaharakati.
"Mimi sipendi mtu anyanyaswe, mimi hawawezi nifanyia hivyo.”

“Mimi mwanaume hanipigi kofi"

Katika maongezi ukisikia maneno hayo ogopa sana.

2. Mwanamke ambaye haogopi walezi au wazazi.

"Tangulia nitakukuta kama umeshanishtaki.”

“Nilimwambia mama kuwa atakayepokea barua na mahali/maali ataolewa yeye.Kwani mi ndo msichana pekee mwambie akamuoe dada kama mnampenda sana mwanaume huyu"

3. Mwanamke mwenye marafiki wa Kiume wengi zaid ya wanawake

“Mimi sipendagi kampani ya wanawake maana hatupendani"

Huyo Muogope

4. Mwanamke anayeshindwa kujali muda hana care yeyote na wewe. Unasimama sehemu masaa matatu kumsubiri yeye anadhani neno SORRY linafuta mateso ulosimama masaa yote.

Huyo muogope

5. Ukikutana na washikaji yeye akawa muongeaji na kutawala mazungumzo , ogopa sana huyo

6. Mwanamke mkienda out akatawala bili

“Mnauzaje hapa?”

“Wahudumu mbona mnakaa mbali?”

“Hesabu vizuri wasituibie chenji"

7. Mwananke anayekunywa kinywaji kigumu yaani Konyagi Bapa. Hatari

8. Mara Nyingi unamkuta kaunta na Bia moja anailamba lamba tu!

Ogopa.

Thank me later

Britannica
namba saba inanihusu,wa kwangu anakunywa K-VANT ila simuachi kwa vitu anavyonipa
 
Mabeberu hawaishi kutuwekea vikwazo jamani😀😀 mbona mnapangia mwanamke aishi vipi.Sasa sisi wa namba 3 kila siku unahisiwa wewe msalit
 
Aiseee sijui mengi hapo kwa undani ila nitafanya juu chini nijue
Mwanamke gani unajua kila kitu

Ligi zote za mpira unajua team mpaka za kina Brigham city ,Blackburn rovers fc za championship unajua mpaka first eleven statically data zote unazo unawajua mpaka premier league all time top scorer

Unajua karibia application zote kwenye simu za kubeti na unabeti Mara upo sportpesa ,betpawa,superbet etc yaani taafrani kwenye simu unakuta anayozo mpaka application za kufuatilia mpira Mara footmob ,Mara livescore dar aisee ,unakuta sio mpira tu wengine wanampaka application za PUGB



Mwanamke kila muvi unazijua iwe horror ,SciFi ,fantasy na wala huziogopi kabisa umekosa kabisa ile haiba ya kike yaani unaangalia mpaka series za witcher ,Messiah, strike back badaya ya kuangalia hizo love story za kikorea na hauko emotional kabisa haulii hovyo hauna machozi ya karibu


Unajua mpaka kiundani mgogoro wa Iran na united states mwanamke unajua kuichambua vzur brexit mwanamke unajua kiundani migogoro ya Arab middle east dah unachambua kabisa mafumbo yaliyopo kwenye picha ya polymath leornado da Vinci ile ya monalisa unajua mpaka myth ya shread of Turin dadekii na mambo kibao na makitu kitu mengine huko


Mwanamke unapenda boxing na unaicheza hadi karate unajua kila aina ya vifaa vya vita kila silahaa na zile ambazo ni common kwa vyombo vya ulinzi vya nchi yetu kama SMG ,SAR, daah ugundue nini unataka unitoe roho














Huo juu ulikuwa utani tu Mimi mwenyewe sjui mnatakiwa muweje mi na deal na pombe tu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halaf mbaya zaid unakuta anachangia kabisa like "kata kichwa huyoo" halaf linamalizia na kucheka "hahahahah, safi sana"

Huyoo akaolewe na boko haram tu.
Ahahhahahah
Hahahah. Mwanamke jasiri kama wanamume mi hamna aisee. Si ndo wale nyoka anaingia geto dem badala aogope akimbie nyumba unakuta kamuua amemfunga kamba kamning'iniza mlangoni au anakuwa anakurushia huyo nyoka kukutisha. Sasa hapa nani anakuwa mwanaume ndani ya nyumba
 
Back
Top Bottom