Mwanamke akionesha dalili au tabia hizi achana naye

Nimecheka sanaaa hii namba 6

6. Mwanamke mkienda out akatawala bili

“Mnauzaje hapa?”

“Wahudumu mbona mnakaa mbali?”

Hesabu vizuri wasituibie chenji"
 
namba saba inanihusu,wa kwangu anakunywa K-VANT ila simuachi kwa vitu anavyonipa
 
Mabeberu hawaishi kutuwekea vikwazo jamani😀😀 mbona mnapangia mwanamke aishi vipi.Sasa sisi wa namba 3 kila siku unahisiwa wewe msalit
 
Aiseee sijui mengi hapo kwa undani ila nitafanya juu chini nijue
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halaf mbaya zaid unakuta anachangia kabisa like "kata kichwa huyoo" halaf linamalizia na kucheka "hahahahah, safi sana"

Huyoo akaolewe na boko haram tu.
Ahahhahahah
Hahahah. Mwanamke jasiri kama wanamume mi hamna aisee. Si ndo wale nyoka anaingia geto dem badala aogope akimbie nyumba unakuta kamuua amemfunga kamba kamning'iniza mlangoni au anakuwa anakurushia huyo nyoka kukutisha. Sasa hapa nani anakuwa mwanaume ndani ya nyumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…