Mwanamke Akishaamua Kukuacha, Yamekwisha

Mwanamke Akishaamua Kukuacha, Yamekwisha

Na wenzio walisema hivyohivyo sasa hivi wapo humu kuandika nyuzi za kuomba ushaurii

Nasemaje kichaa anachekesha akiwa hatokei kwenu… omba lisikukute
Halafu ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu
Kama hujawai kuumizwa na mahusiano mpk ukatamani uingie chini ya ardhi trust me zamu yako itafika… na Kama ulishaumizwa basi hutoumizwa tena yakakuuma kama ya mwanzo
Biblia inasema “Upendo una nguvu kuliko mauti” usiwacheke wenzio ukawaona wapumbavu kulilia mahusiano

Watu wapo wengi ila hutompata kama huyo awe alikuwa mbaya ama mzurii
Kuumizwa na mahusiano kupo.

Kwa mfano, mpenzi wangu akiiba ATM card kwenda benki kutoa pesa zangu, hapo nitaumia.

Au aniibie hati ya kiwanja akauze na kutokomea.

Yaani niumie kisa ameondoka tu?!

Siyo kweli. Eti mazoea!

Sikatai wapo wanaoumizwa, ila ni wanaume dhaifu sana na ni wapumbavu tu.

Mwanaume kuendekeza hisia ni ujinga wa kishamba.

Nasema hivi, huyo mwanamke hakuna alichonacho ambacho wengine hawana. Wapo wengi tu wanamzidi kwa kila sifa aliyonayo.

Lazima ujue, kwa asilimia zaidi ya 90, mwanamke ni liability kwa mwanaume, yaani nikae kulilia liability!, si watanicheka watu.
 
...

Kaka yangu… acha kujidanganya. Acha kujipa matumaini yasiyokuwepo. Mwanamke akishaamua kukuacha, yamekwisha. Naomba nikueleze kitu—hawezi kurudi. Hawezi hata kusikiliza kilio chako.

Unajua ni kwanini?
Ni Kwa sababu hakukuacha leo. Hakukuacha jana. Alikuacha kitambo. Muda mrefu kabla hujagundua. Alianza kuondoka taratibu, polepole, hadi siku ile alipokusimamia kwa macho baridi macho makavu na kukuambia "hatuwezi kuendelea hivi." Lakini ukweli ni kwamba, siku hiyo ilikuwa mwisho kwa upande wako tu, kwa upande wake, ilikuwa ni hatua ya mwisho ya safari aliyokwishaianza mda sana .

Ulishawahi kuhisi yule mtu unayempenda anabadilika? Sauti yake ikawa baridi? Macho yake yakaacha kuwa na mwanga ule wa zamani? Mapenzi yake yakawa ni hisani badala ya hisia? Ndiyo, kaka yangu, haya yote yalikuwa ishara, lakini hukuwa tayari kuziona. Ukaziipuuza.

Nakuelewa kaka, inauma. Inauma kwa namna ambayo hutaweza kueleza kwa mtu yeyote. Ni kama kisu cha moto kinapita taratibu moyoni mwako, ukinyakua kila matumaini uliyokuwa nayo. Ni kama dunia imesimama, na wewe umetelekezwa ukiwa peke yako, ukiwauliza majirani na marafiki "Nilikosea wapi?" Lakini hakuna atakayekujibu.

Muda wa mwisho mlikuwa pamoja, uliona alivyokuwa tofauti. Hakukuchekea tena kwa furaha ile ya dhati ulioizoea. Alianza kukaa mbali. Alianza kukosa hamu ya kuwa na wewe. Kila ulipomgusa, aliinama pembeni. Kila ulipojaribu kumwambia "nakupenda," alijibu tu "Asante."

Na sasa amekwambia hadharani—yamekwisha. Mwisho.

Unataka umwambie nini ili abaki? Kwamba bado unampenda? Kwamba umebadilika? Kwamba utakuwa bora zaidi? Haijalishi, kaka. Haijalishi. Moyo wake umeshakufa ndani yako. Hisia zake zimezikwa. Huwezi kufufua mfu.

Labda amepata mwingine, mtu anayempa kile ulichoshindwa kumpa. Labda alishapata yote aliyohitaji kutoka kwako, na sasa huna maana tena. Au labda, amechoka tu, na hakuna unachoweza kufanya kumrudisha.

Inauma sana. Inavunja moyo. Inakufanya ujihisi mdogo, mnyonge, duni, asiye na thamani. Utabaki ukikumbuka sauti yake, harufu yake, mguso wake, kicheko chake
vyote vikitesa nafsi yako kwa kukukumbusha kuwa si vyako tena.

Lakini kaka… japo inauma, japo machozi yanakufunika macho, japo moyo unataka kupasuka, lazima ukubali. Huwezi kumbembeleza arudi. Huwezi kumlazimisha akupende tena. Mtu akikupoteza, usijipoteze na wewe pia.

Siku moja, utapona. Lakini kwa sasa, lia. Lia mpaka machozi yaishe. Umia mpaka uchoke. Lakini usirudi nyuma. Kwa sababu kilichokufa hakiwezi kufufuka.

Imekwisha. Mwisho. Piga moyo konde, maisha yanaendelea.

ibn kimweri.

Mwanamke akikuacha ujue wewe ni dhaifu. Utakuwa una character za bad boys. Ambao kimsingi hakuna mwanamke ambaye anawaelewa
 
Kuumizwa na mahusiano kupo.

Kwa mfano, mpenzi wangu akiiba ATM card kwenda benki kutoa pesa zangu, hapo nitaumia.

Au aniibie hati ya kiwanja akauze na kutokomea.

Yaani niumie kisa ameondoka tu?!

Siyo kweli. Eti mazoea!

Sikatai wapo wanaoumizwa, ila ni wanaume dhaifu sana na ni wapumbavu tu.

Mwanaume kuendekeza hisia ni ujinga wa kishamba.

Nasema hivi, huyo mwanamke hakuna alichonacho ambacho wengine hawana. Wapo wengi tu wanamzidi kwa kila sifa aliyonayo.

Lazima ujue, kwa asilimia zaidi ya 90, mwanamke ni liability kwa mwanaume, yaani nikae kulilia liability!, si watanicheka watu.
Hakuna wa kukucheka mkuu kwasababu kila mtu hupita huko
Nasemaje huyo mwanamke kuna alichonacho na wanawake wengine hawana ndio maana uka mtongoza

Kijana ndio maana una wanawake wawiliwawili unawapima na wewe unajua kuna mmoja ana vigezo uvitakavyo mwingine hana

So wanawake hawafanani.. mfanano wao upo kwenye mood swings but vinginee vyote hawafananii
Ndio maana kuna kubwa ndogo chuchu saa. 10 na chuchu saa 1… namba 8 na namba 27 mfupi kwa mrefu… mlokole kwa mtu wa club so we are deferent
 
...

Kaka yangu… acha kujidanganya. Acha kujipa matumaini yasiyokuwepo. Mwanamke akishaamua kukuacha, yamekwisha. Naomba nikueleze kitu—hawezi kurudi. Hawezi hata kusikiliza kilio chako.

Unajua ni kwanini?
Ni Kwa sababu hakukuacha leo. Hakukuacha jana. Alikuacha kitambo. Muda mrefu kabla hujagundua. Alianza kuondoka taratibu, polepole, hadi siku ile alipokusimamia kwa macho baridi macho makavu na kukuambia "hatuwezi kuendelea hivi." Lakini ukweli ni kwamba, siku hiyo ilikuwa mwisho kwa upande wako tu, kwa upande wake, ilikuwa ni hatua ya mwisho ya safari aliyokwishaianza mda sana .

Ulishawahi kuhisi yule mtu unayempenda anabadilika? Sauti yake ikawa baridi? Macho yake yakaacha kuwa na mwanga ule wa zamani? Mapenzi yake yakawa ni hisani badala ya hisia? Ndiyo, kaka yangu, haya yote yalikuwa ishara, lakini hukuwa tayari kuziona. Ukaziipuuza.

Nakuelewa kaka, inauma. Inauma kwa namna ambayo hutaweza kueleza kwa mtu yeyote. Ni kama kisu cha moto kinapita taratibu moyoni mwako, ukinyakua kila matumaini uliyokuwa nayo. Ni kama dunia imesimama, na wewe umetelekezwa ukiwa peke yako, ukiwauliza majirani na marafiki "Nilikosea wapi?" Lakini hakuna atakayekujibu.

Muda wa mwisho mlikuwa pamoja, uliona alivyokuwa tofauti. Hakukuchekea tena kwa furaha ile ya dhati ulioizoea. Alianza kukaa mbali. Alianza kukosa hamu ya kuwa na wewe. Kila ulipomgusa, aliinama pembeni. Kila ulipojaribu kumwambia "nakupenda," alijibu tu "Asante."

Na sasa amekwambia hadharani—yamekwisha. Mwisho.

Unataka umwambie nini ili abaki? Kwamba bado unampenda? Kwamba umebadilika? Kwamba utakuwa bora zaidi? Haijalishi, kaka. Haijalishi. Moyo wake umeshakufa ndani yako. Hisia zake zimezikwa. Huwezi kufufua mfu.

Labda amepata mwingine, mtu anayempa kile ulichoshindwa kumpa. Labda alishapata yote aliyohitaji kutoka kwako, na sasa huna maana tena. Au labda, amechoka tu, na hakuna unachoweza kufanya kumrudisha.

Inauma sana. Inavunja moyo. Inakufanya ujihisi mdogo, mnyonge, duni, asiye na thamani. Utabaki ukikumbuka sauti yake, harufu yake, mguso wake, kicheko chake
vyote vikitesa nafsi yako kwa kukukumbusha kuwa si vyako tena.

Lakini kaka… japo inauma, japo machozi yanakufunika macho, japo moyo unataka kupasuka, lazima ukubali. Huwezi kumbembeleza arudi. Huwezi kumlazimisha akupende tena. Mtu akikupoteza, usijipoteze na wewe pia.

Siku moja, utapona. Lakini kwa sasa, lia. Lia mpaka machozi yaishe. Umia mpaka uchoke. Lakini usirudi nyuma. Kwa sababu kilichokufa hakiwezi kufufuka.

Imekwisha. Mwisho. Piga moyo konde, maisha yanaendelea.

ibn kimweri.
Hizi ni nyakati za Mwisho,tumrudie Mungu

Hallelujah 🙏
 
Hakuna wa kukucheka mkuu kwasababu kila mtu hupita huko
Nasemaje huyo mwanamke kuna alichonacho na wanawake wengine hawana ndio maana uka mtongoza

Kijana ndio maana una wanawake wawiliwawili unawapima na wewe unajua kuna mmoja ana vigezo uvitakavyo mwingine hana

So wanawake hawafanani.. mfanano wao upo kwenye mood swings but vinginee vyote hawafananii
Ndio maana kuna kubwa ndogo chuchu saa. 10 na chuchu saa 1… namba 8 na namba 27 mfupi kwa mrefu… mlokole kwa mtu wa club so we are deferent
Ni kweli. We are different.

Mwanamke ndio anatakiwa aogope kunipoteza mimi.

Nitakupa ka mfano kamoja.

Mwalimu alimuuliza Mabula anataka kuwa nani, mabula akajibu kuwa anataka kuwa bilionea.

Mwalimu akamuuliza Mariamu anataka kuwa nani, mariamu akajibu anataka kuwa mke wa Mabula.

Watoto wote wawili walikuwa sahihi na ni watoto wenye akili kubwa sana.

Kwa hiyo unaweza kuona kuwa focus ya mwanaume haitakiwi kuwa mwanamke bali utajiri, focus ya mwanamke ndiyo inatakiwa kuwa mwanaume tajiri.

Mimi wanawake wananiwinda kwa sababu nina financial muscle.

Wote hao namba nane sijui chuchu saa sita ndoto zao ni kupata mwanaume tajiri.

Mwanaume akishaanza kulilia lilia wanawake ameshapoteza focus na ameshakuwa mpuuzi.
 
Ni kweli. We are different.

Mwanamke ndio anatakiwa aogope kunipoteza mimi.

Nitakupa ka mfano kamoja.

Mwalimu alimuuliza Mabula anataka kuwa nani, mabula akajibu kuwa anataka kuwa bilionea.

Mwalimu akamuuliza Mariamu anataka kuwa nani, mariamu akajibu anataka kuwa mke wa Mabula.

Watoto wote wawili walikuwa sahihi na watoto wenye akili kubwa sana.

Kwa hiyo unaweza kuona kuwa focus ya mwanaume haitakiwi kuwa mwanamke bali utajiri, focus ya mwanamke ndiyo inatakiwa kuwa mwanaume tajiri.

Mimi wanawake wananiwinda kwa sababu nina financial muscle.

Wote hao namba nane sijui chuchu saa sita ndoto zao ni kupata mwanaume tajiri.

Mwanaume akishaanza kulilia lilia wanawake ameshapoteza focus na ameshakuwa mpuuzi.
Mwanaume unatakiwa ufike level wanawake ndio wastruggle kukupata hapo ndio unakua mwanaume kamili ,
 
N
Ni kweli. We are different.

Mwanamke ndio anatakiwa aogope kunipoteza mimi.

Nitakupa ka mfano kamoja.

Mwalimu alimuuliza Mabula anataka kuwa nani, mabula akajibu kuwa anataka kuwa bilionea.

Mwalimu akamuuliza Mariamu anataka kuwa nani, mariamu akajibu anataka kuwa mke wa Mabula.

Watoto wote wawili walikuwa sahihi na ni watoto wenye akili kubwa sana.

Kwa hiyo unaweza kuona kuwa focus ya mwanaume haitakiwi kuwa mwanamke bali utajiri, focus ya mwanamke ndiyo inatakiwa kuwa mwanaume tajiri.

Mimi wanawake wananiwinda kwa sababu nina financial muscle.

Wote hao namba nane sijui chuchu saa sita ndoto zao ni kupata mwanaume tajiri.

Mwanaume akishaanza kulilia lilia wanawake ameshapoteza focus na ameshakuwa mpuuzi.
nimechok kuandika bhn… nitakurudia baadae
 
Mwanaume unatakiwa ufike level wanawake ndio wastruggle kukupata hapo ndio unakua mwanaume kamili ,
Sahihi kabisa.

Mwanamke akikuacha, shusha pumzi, angalia juu mbinguni shukuru Mungu amekuondolea liability.

Kusanya hela sasa ananza kujiwekeza, save hela fungua vibiashara vingi vingi.

Weka bajeti wikendi moja kale bata, tafuta limalaya lizuri kalitafune, usichukue namba ya simu, kesho endelea na mishe zako.
 
Hakuna wa kukucheka mkuu kwasababu kila mtu hupita huko
Nasemaje huyo mwanamke kuna alichonacho na wanawake wengine hawana ndio maana uka mtongoza

Kijana ndio maana una wanawake wawiliwawili unawapima na wewe unajua kuna mmoja ana vigezo uvitakavyo mwingine hana

So wanawake hawafanani.. mfanano wao upo kwenye mood swings but vinginee vyote hawafananii
Ndio maana kuna kubwa ndogo chuchu saa. 10 na chuchu saa 1… namba 8 na namba 27 mfupi kwa mrefu… mlokole kwa mtu wa club so we are deferent
Hakuna sababu hata moja hapo itanifanya niumie ila tu kama niliwekeza pesa na mali kwake ndo taumie. Yote kwa yote siwezi wekeza pesa na mali kwa mtu nisiyemwelewa uelekeo wake kwangu
 
Wa aina hyo ndo wamekuja kuwapa adhabu wenzao cz ss hiv sijali we ni mzur au una tabia nzuri..nkishachapa nakuona wale wale tu umekuja kwa sura nyingine..kwa hyo machale ni 100× ya kasongo
 
...

Kaka yangu… acha kujidanganya. Acha kujipa matumaini yasiyokuwepo. Mwanamke akishaamua kukuacha, yamekwisha. Naomba nikueleze kitu—hawezi kurudi. Hawezi hata kusikiliza kilio chako.

Unajua ni kwanini?
Ni Kwa sababu hakukuacha leo. Hakukuacha jana. Alikuacha kitambo. Muda mrefu kabla hujagundua. Alianza kuondoka taratibu, polepole, hadi siku ile alipokusimamia kwa macho baridi macho makavu na kukuambia "hatuwezi kuendelea hivi." Lakini ukweli ni kwamba, siku hiyo ilikuwa mwisho kwa upande wako tu, kwa upande wake, ilikuwa ni hatua ya mwisho ya safari aliyokwishaianza mda sana .

Ulishawahi kuhisi yule mtu unayempenda anabadilika? Sauti yake ikawa baridi? Macho yake yakaacha kuwa na mwanga ule wa zamani? Mapenzi yake yakawa ni hisani badala ya hisia? Ndiyo, kaka yangu, haya yote yalikuwa ishara, lakini hukuwa tayari kuziona. Ukaziipuuza.

Nakuelewa kaka, inauma. Inauma kwa namna ambayo hutaweza kueleza kwa mtu yeyote. Ni kama kisu cha moto kinapita taratibu moyoni mwako, ukinyakua kila matumaini uliyokuwa nayo. Ni kama dunia imesimama, na wewe umetelekezwa ukiwa peke yako, ukiwauliza majirani na marafiki "Nilikosea wapi?" Lakini hakuna atakayekujibu.

Muda wa mwisho mlikuwa pamoja, uliona alivyokuwa tofauti. Hakukuchekea tena kwa furaha ile ya dhati ulioizoea. Alianza kukaa mbali. Alianza kukosa hamu ya kuwa na wewe. Kila ulipomgusa, aliinama pembeni. Kila ulipojaribu kumwambia "nakupenda," alijibu tu "Asante."

Na sasa amekwambia hadharani—yamekwisha. Mwisho.

Unataka umwambie nini ili abaki? Kwamba bado unampenda? Kwamba umebadilika? Kwamba utakuwa bora zaidi? Haijalishi, kaka. Haijalishi. Moyo wake umeshakufa ndani yako. Hisia zake zimezikwa. Huwezi kufufua mfu.

Labda amepata mwingine, mtu anayempa kile ulichoshindwa kumpa. Labda alishapata yote aliyohitaji kutoka kwako, na sasa huna maana tena. Au labda, amechoka tu, na hakuna unachoweza kufanya kumrudisha.

Inauma sana. Inavunja moyo. Inakufanya ujihisi mdogo, mnyonge, duni, asiye na thamani. Utabaki ukikumbuka sauti yake, harufu yake, mguso wake, kicheko chake
vyote vikitesa nafsi yako kwa kukukumbusha kuwa si vyako tena.

Lakini kaka… japo inauma, japo machozi yanakufunika macho, japo moyo unataka kupasuka, lazima ukubali. Huwezi kumbembeleza arudi. Huwezi kumlazimisha akupende tena. Mtu akikupoteza, usijipoteze na wewe pia.

Siku moja, utapona. Lakini kwa sasa, lia. Lia mpaka machozi yaishe. Umia mpaka uchoke. Lakini usirudi nyuma. Kwa sababu kilichokufa hakiwezi kufufuka.

Imekwisha. Mwisho. Piga moyo konde, maisha yanaendelea.

ibn kimweri.
Mwanamke haamui kukuacha wewe ndiye unatakiwa kuamua kumuacha mwanamke.

Huelewi wapi?
 
Back
Top Bottom