Mwanamke Akishaamua Kukuacha, Yamekwisha

Dawa ni moja, akikwambia tuachane mwambie sawa...unajua nini?😂😂😂😂
 
Hii naitaka sana, huna kapicha ka sample 😅
 
Daah kiukwel mapenz yanauma sana ila ikitokea mmeachana ndiyo basi tena
 
Mbona linajulikana hili.
 
Dah imenigusa sana, mwezi wa kumi huu nambembeleza arud nyumban tuendelee na ndoa hanielew, juzi nusu nife kwa ulevi uliopindukia kisa yey dah so sad, nmeshndwa kuendelea bila yeye nachakaa yeye akipendeza 😪😪😪, miaka 7 mahusiano, 5 kwenye ndoa dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…