Mwanamke Akishaamua Kukuacha, Yamekwisha

Huu ujumbe ni wa Azizi Ki au na sisi unatuhusu?
 
Kuachwa na mwanamke ndiyo uandike gazeti lote hilo?
Hatuoi wanawake kwa ajili ya mbunye bali stability, peace of mind, respect....
 
Hata mm ni wa kipekee kwake na ndio maana kati ya makumi ya wanaume walio mtongoza alinichagua na kunikubalia mm na kuwakataa wengine.
Acha kukaza shingo yaani mwanamke asiye changia chochote katika maisha yangu zaidi ya kunipanulia mapaja ndo nikonde na nishindwe kufanya mambo yangu kisa kaondoka? labda awe ameniroga lakini kama nina akili zangu timamu hicho kitu hakiwezi kutokea.
Ukiona mwanaume anajiliza kisa mwanamke ujue anakasoro kubwa katika uanaume wake.
Tatizo la wanaume wa sasa ni kudhani kuwa mapenzi ya mwanaume kwa mwanamke ni wajibu lakini mapenzi ya mwanamke kwa mwanaume ni hisani na ndio maana vijana wa sasa wamekuwa watumwa wa wanawake.
 
Sasa ni wewe ndio unaokutana na hao wanawake wasio na mchango kwako zaidii ya kukupanulia.. wenzako wanakutana na wanawake ambao kwa 70% wameinuka kiuchumi kupitia wao ndio maana wanaumia so usimcheke mwenzio Kama hayajakukuta
 
Ilikuajee? Em maliziaa.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Ahahahahah.. haya mambo haya bwana. Yana furahisha na kuchekesha na kusikitisha humo humo.
Mi naendelea kujifunza tu.
 
Aisee poleee sanaa.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Mimi kilichoniumiza kwangu ni family. Kwangu kuijenga familia was my serious buziness and my delicate investiment i ever though i had. Hivyo wife alichonifanyia haikuniuma haswa kwakua ni mapenzi ila niliona amenikatili kwa kuzamisha iwekezaji wangu wa ober 15 years.
Mapenzi sio ki vile ila i considered her as a very significant pillar of my life kwakua ndoto zangu katika ujenzi wa familia kwa kiwango kikubwa alikua na umuhimu mkubwa.
Kumbe wewe unatumia akili sana yeye anatumia hisia sana. Hapa ndio shida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…