KWELI Mwanamke akiwa hedhi, haruhusiwi kuingia msitu wa Nyumbanitu

Taarifa hii imethibitika kuwa ya kweli baada ya kufanya tathmini ya kina
We jamaa!hii shule ulipoitoa ni wapi Mkuu!?

Ina maana hawa masons wanaishi Duniani na kuzimu sio!!?

Kwanini nasikia kuna uchinjaji hasa wa kafara za mbuzi na NG'OMBE Ili mtu ajiunge kwenye vyama vya masons!!?au !!?
 
JamiiForums naona sasa mnaaza kusonga chai jamani.

Hayo yote Tanzania hii?
 
We jamaa!hii shule ulipoitoa ni wapi Mkuu!?

Ina maana hawa masons wanaishi Duniani na kuzimu sio!!?

Kwanini nasikia kuna uchinjaji hasa wa kafara za mbuzi na NG'OMBE Ili mtu ajiunge kwenye vyama vya masons!!?au !!?
Masoni ni moja ya vyama vya kichawi vipo vingi sana Duniani tena visivyoingiliana Wala kufanana.
Masonic hawachinji wanyama wanaochinja ni hawa wachawi na washirkina wadogo wadogo.

Mason ni kati ya vyama vikubwa vya kichawi Dunia vyenye malengo ya kidunia vipo vyama vingi sana
 
NASHUKURU mkuu!

Japo nina maswali mengi sana!
Lakini haya yanatosha!

Hawa mashehe wanaowaambia wateja wao wanunue mbuzi zichinjwe hawa sielewi wanafanya KAZI ipi!?je ya mason au uchawi wa KAWAIDA!

Unakuta ng'ombe au mbuzi anachinjwa KWA ajili ya MAELEKEZO fulani ya uganga wa utafutaji wa KAZI fulani fulani!!

Hii ni kumuunga mtu na kuzimu Ili hao wazee wa kuzimu wanmsaidie mhusika kupata anachotaka taka au ni nini hasa!!?

Wale wa pwani wanajua hii kitu!

Unamaelezo yoyote ya hii kitu!?NASIKIA HATA mzee mchonga alifanyiwa hii kitu ya kuchinja Ili mambo yakae sawa!ni KWELI!?
 
Shehe yeyeto anaechinja kwa manuizo huyo ni mshirikina sawa na wengine katika uislam hakuna kitu kama Hicho.
Uislam ushirikina ni haramu.
Hao ni wachawi sawa na wale mitume na manabii wa uongo tu.
Zipo elimu za tiba za kiislam zisizohusisha manuizo yeyeto.

Mchonga alitumia uchawi unaitwa dagoo ni uchawi wa fimbo, mavazi ya chui Mobutu,bokasaa, uchawi wa mkia wa wanyama nk wakiinua fimbo juu au kupunga mikia ya wanyama juu kwenye mikutano wanakuwa wanaziita zile roho saidizi kwao na mkutano wote kimya hakuna anaepinga hata mmoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…