Mwanamke akiwa na mkia anajiamini kuliko mwenye degree

Nasikia uwezo wao wa kuchanganua mambo ni mdogo.
Kigezo cha tako kwa mwanaume kamili ni upungufu wa kufikiri.
 
Mkuu tafadhali sana wengine tunapenda nyama ya nguruwe.
at your own risk, physical injuries (dislocations, sprain, fractures etc.) are NOT uncommon while having jigjig with heavy bottomed ladies 😀
 
mkuu abstain

focus kwenye kazi, haya mambo si lazima
Kuangalia fahari ya macho..
Mi napinga panapofaa kupingwa na naunga panapofaa kuungwa mkono, sijiangalii ni mtu wa aina gani..
Wewe unachofanya ni tunaita ni self-serving bias au ni sawa nikisema ni confirmation bias, nakua sijakosea sana nikisema pia ni wishful thinking fallacy...
 
Mimi tu huwa nageuka kutizama, naumiaga sana shingo.
Aisee, hivi nyie wanawake nashindwa kuwaelewa, kwa hio na nyie mnashangaa nyashi za wenzenu..

Wadada wengi ukiwa nae matembezini kikapita chuma kina nyashi pro max ukageuza shingo, unashangaa mwenzako kanuna njia nzima.. sasa kama nyie wenyewe mnashangaa sisi tufanye nini?

Ukimuuliza kisa eti 'unani dis-respect mbele yangu'..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…