Mwanamke aliniharibia kabisa maisha yangu, hawa viumbe hatari sana

Pole sana mkuu hao ndio wanawake, ukiwajua wanawake umeyajua maisha ni rahisi sana mwanaume kuishi na mwanamke asiye na kazi ila ni ngumu sana mwanamke kuishi na mwanaume asiyekuwa na kazi.
Sasa mwanaume unakuwaje bushoke
 
Mwanamke mzidi kipato, usimtegemee kwa chochote , yaani ni bora awe omba omba siku zote kwako.

Wanawake ni viumbe hatari sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…