Mwanamke aliniharibia kabisa maisha yangu, hawa viumbe hatari sana

Yakikukuta utajua hata uko hapafai
 
polesana ndio maisha na yeye aliko anaalalamika hivhiv
 
hivi mnapata wapi ujasiri wa kuwa na mwanamke mmoja. mwanaume lazima uwe walau na wanawake wawili wa nje. tabia ya kuwa na mwanamke mmoja kama mama yako ndio inayo wafanya wanaume hao hadi kufikua hatua ya kujiua au kuua.

kwa darasa ulilo lipata hope now you have to trust no body...!

pole sana ndugu yangu...usije ukafanya kosa la kumtafuta huyo mwanamke...kama ni mtoto Mungu atakupa mwingine. usifanye kosa kumtafuta pia huyo mwanamke kwa kisingizio cha mtoto.

kwa ninavyoona huyo mwanamke ulimpenda sana na pengine bado unampenda....zingatia sana hiyo Aya ya pili kutoka mwisho.​
 
Pole mkuu.
Ulikosea ulipo yabeba majukumu ya baba mkwe wako kumsomeshea binti yake. Hivi yale maigizo ya Samson and Delilah huwa hayana fundisho lolote?
 
wanagopa ukimwi wanakufa na shinikizo ladamu
dunia haina huruma kabisaaa
 
daah hawa viumbe hawana huruma nasisi.

nakumbuka uli comment kwa kifupi kwenye ule uzi wangu.

wnawake hawanaga subra
 
hii comment kama ina ukweli fulani hivii!
 
that is true
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…