Mwanamke aliniharibia kabisa maisha yangu, hawa viumbe hatari sana

Pole sana Kaka kwa majanga ya kimapenzi, kifamilia, kijamii na kiuchumi yaliyokukuta. Wanaumeee, kila tunapopenda twapaswa kuweka akiba ya upendo. Kupenda jumla jumla kunasababisha maumivu ya moyo na kuvurugika kwa moyo, ubongo na maamuzi kuwa yasiyo na mpangilio.

Kosa lingine ni kuwaamini wanaotuzunguka. Baada ya kupigwa chini kazini hukupaswa kutaka kazi za kuajiriwa kwa haraka huku ukiwa na sakata la kuachishwa.

Ushauri wangu: kwa sasa acha kumfikiria yule mwanamke na mtoto. Oa mwengine uendelee na maisha. Huyo mwanao atakutafuta tu.

Jengine; mke/mchumba HASOMESHWI. Hili nalo ni kidonda kwa wenye ule ugonjwa wa SIMP.
 
VICARIOUS LIABILITY
 
We nae, kama umeoa hayajakukuta ukaona rangi za mkeo unaemtwtea hapa. Wanawake jawazoeleki. Ni wazuri kwenye raha tu. Watu wanapitia michakato zaidi ya hio, hadi kukaa na wanawake miaka na miaka ndio wafanye maamuzi ila wapi yanawatokea puan.

Mwanamke anaweza kukuigizia zaidi ya miaka 20, lengo lake likitimia hakuna rangi yake utaacha kuona
 
Mengine majaliwa lakini zipo factors zinatumika kutafuta mke bora, usipozingatia hizo factors umekwisha.
 
Hao wanao achana nao hawakupitia michakato?

Mwanamke ni kiumbe kingine likija suala la kuyumba kiuchumi
 
Sawa mkuu, wote waliao hawakufuata factor
Wapo waliooa wakafuata factors na wanaishi na wanawake vizuri na wapo waliooa hawakufuata factors sasa wanakoma, japokuwa yapo mazingira unaweza usifuate factors ila ukabahatika tu kupata mke mwema au aliyeamua kuacha tabia mbovu sasa hadi ikukute hii bahati si ushazeeka.
 
Hao wanao achana nao hawakupitia michakato?

Mwanamke ni kiumbe kingine likija suala la kuyumba kiuchumi
Usiwasemee wanawake wote mbona wangu hayuko hivyo, niliyumba mpaka tukawa tunashindia maji lakini niko nae, nimenyanyuka bado niko nae na ana qualities zilezile hajabadilika. Kama mkeo anabadilika ukiyumba basi huyo sio mkeo unatunza mke wa mwenzio, mwanamke akikubali kukutii atakubali yote ikiwemo hali mbaya ya kifedha.
 
KUSOMESHA MWANAMKE AMBAYE SIO MTOTO WAKO TULISHAJADILI KWENYE VIKAO, SHIDA MNALALA NA WAKATI MWINGINE HAMFIKI KWENYE VIKAO.HUYO DEMU WAKO NILIKUTANA NAYE NA ALIKUPONDA ILE MBAYA
 
🤣🤣🤣🤣🤣 umejuaje kaiba lkn......mpe pole mwenzio tuache roho mbaya
 
Wewe Shukuru Mungu ila ni wachache sana wapo hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…