Mwanamke alivyosababisha nichelewe usaili wa mrija wa asali

Nimeamini jamii forum kuna watu wana akili nyingi sana na wanajua kusoma psychology ya mtu hata kupitia maandishi tu...huyu jamaa juzi na uzi wake aliomba mchango wa nauli akisema awahi kwenye usahili wa kulamba asali....
Asilimia kubwa ya watu walionyesha kumcrash na baadhi ya hoja nazozikumbuka ni kuwa hayuko Sirius na mambo ya msingi, hakuwa na haja ya kuweka details za wasaili wake na majina ya wanaosailiwa nadhani tunakumbuka vizuri
Na hata baadhi ya watu wakamkanya kuwa anachezea maisha....
Sasa baadhi ya wasamaria na pengine kutoka humu humu wamejinyima wanakusudia halafu unarudi na maada ya kipumbavu kuwa mwanamke mwanamke...hivi mtu aliyekusaidia kwa lengo zuri lako akiona hiki unachoandika unafikiri atajiskiaje.....
Hamna kitu humu.....
 
Hujasoma mpaka mwisho lakini povu kama lote. Relax, rudi hapa saa 2, naamini unachofikiria kitakuwa tofauti na uhalisia.
 
Sawa kaka, hata kama hitimisho lako ni tofauti na wadau wengi wanavyofikiria lakini uwandishi wako unapoteza sifa ya SERIOUSNESS. Mbaya zaidi uzi wako uliopita ulihusu jambo ambalo ni very SIGNIFICANT ingawa nalo lilikuwa na mapungufu kadhaa lakini walioguswa walikuwezesha, sasa unapokuja na hoja ambayo ina jambo lenye haja ya hadhira kufahamu alafu njia ya uwakilishaji ulioichagua inatatiza watu.
Above all it's you who decide which way to address your issue up to audiance, ila ujue kuwa uwakilishaji wa jambo huwajengea picha hadhira jinsi mwakilishi alivyo.
 
I appreciate your brevity.
 
Sisi tutasema nini tena Mkuu ikiwa wewe umeamua iwe hvyo...

Bangi ya Uyui Tabora siku hizi imekuwa maarufu kuliko cha Arusha...
 
Sisi tutasema nini tena Mkuu ikiwa wewe umeamua iwe hvyo...

Bangi ya Uyui Tabora siku hizi imekuwa maarufu kuliko cha Arusha...
Kwa hiyo mkuu unatumia bangi?

Hivi wavuta bangi huwa mnatafuta nini hasa kwenye bangi? Moshi ama?
 
Kuliko kusaidia humu bora hiyo hela kuinywa beer.... #vijanawaovyo
 
Kama ni muungwana rudisha hela za haonwaliokuchangia.. sidhani kama utakuja na stori yoyote hyo saa mbili ambayo itafanya tukuonee huruma. Lengo kuu ilikua kwenda kwenye usaili, kama hukwenda with any reason tofauti na kuugua au kufa hautakua mstaarabu. Maana kama n usafiri hata lori ungepanda ungefika.
Hopeless!
 
Hujasoma mpaka mwisho lakini povu kama lote. Relax, rudi hapa saa 2, naamini unachofikiria kitakuwa tofauti na uhalisia.
Nirudi hadi mwisho kuona jinsi huyo mwanamke aliyokukosesha usaili ambao watu walijinyima wakichangia sio...we jamaa nadhani there is something wrong in your mind...umeshasema kwenye kicha cha uzi wako huu kwamba mwanamke kakukosesha usaili hiyo tu inatosha kuonyesha hauko Sirius na jambo ulilokuwa unaenda kufanya na ambalo watu wamekuchangia ..ko nikirudi ndio mwisho wa story utakuwa umewahi kwenye usaili sio....acha kuchezea akili za watu bwana
 
Hii ni series kama Egoli?
 
Hapo tuu...hoja ni uende kwenye usaili na watu wamekuchangia uende ..kama hujaenda rudisha pesaa hayo ya mwanamke ni story yako ambayo haitabadili uhalisia kwamba hukwenda.....
 
Duh, sema unapovuka sana mkuu. Twende taratibu mkuu.
 
Hapo tuu...hoja ni uende kwenye usaili na watu wamekuchangia uende ..kama hujaenda rudisha pesaa hayo ya mwanamke ni story yako ambayo haitabadili uhalisia kwamba hukwenda.....
Kuna mmoja hana namba lilikuja jina tu, nishauri namrudishiaje? Ndugu yeye ilikuwa ni mkopo (lazima niulipe), mwanaJF mmoja aliyetuma ndiye kuna namba na nitairudisha pesa yake maana haijatumika kwa lengo nililoiombea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…