Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa kiongozi.Mleta mada kaza mikono uandike kwa kirefu.
Sawa profesor wa mathsNdugu wanaJF
Jumamosi (01/10/2022) nilileta uzi jukwaani nikiomba kwa aliyetangulia kubarikiwa pesa, aniwezeshe nauli niende kwenye usaili kule kwenye makao makuu ya nchi (kibiashara na Ikulu). Wadau wawili waliniwezesha kiasi cha Tshs 25,000/=.
Baada ya wezesho hilo, nikawa na pungufu ya takribani Tshs 65,000/=. Hadi inafika mida ya saa kumi na mbili jioni, nikawa nimeshakata tamaa ya kuendelea na safari. Kwa vile kulikuwa na sherehe ya harusi, nikaamua nisogee kwenye eneo la harusi hiyo.
Mungu si Athumani, Mathayo wala si Mwanamalundi. Nikiwa ndiyo nina kama dakika takribani 10 tokea nifike kwenye eneo la harusi, hamadi naitwa na mmoja wa ndugu aliyekuwepo mahali hapo. Aliniwezesha kiasi cha Tshs 60,000/=, hivyo ikabidi nianze safari (hapo ni saa 1 na dakika zake nyingi tu).
Safari ya kuelekea Geita mjini ikaanza, nilifanikiwa kufika Geita mjini saa 3 na dakika kama 5 hivi, ajabu ni kwamba mabasi yote ya Dar yalikuwa yamekodiwa (kusafirisha wanafunzi kwenda likizo). Nilipata basi moja liendalo Tabora (wanifaulishe Nzega kwenye basi la Travel Partiner litakalo Bukoba kwenda Dar, maana hilo la kwenda Tabora huyatangulia mabasi yote yatokayo Bukoba.
Asubuhi ikafika (02/10/2022), nilijihimu mapema tu saa 11 na dakika 10, hadi inafika na dakika 35 nilikuwa tayari niko stendi. Kama na dakika 50 akaingia mwanamke mmoja ndani ya Basi, na huyo ndiye aliyefanya nisifanikiwe kufika kwenye usaili.
Nitaendelea saa 2 usiku.
Hizi drama za wabongo bwana.....we jamaa kubali tu kuwa hauko Sirius....kwa mtu anayewahi usaili wala asingesubiri kufuatilia hizi bongo movie huku akijua muda wake ni limited.....acha tuendelee kufurahisha machoNdugu wanaJF
Bila shaka tuliishia hapa
Asubuhi ikafika (02/10/2022), nilijihimu mapema tu saa 11 na dakika 10, hadi inafika na dakika 35 nilikuwa tayari niko stendi. Kama na dakika 50 akaingia mwanamke mmoja ndani ya Basi, na huyo ndiye aliyefanya nisifanikiwe kufika kwenye usaili.
Tuendelee
Mwanamke huyo alikuwa ni mama mwenye watoto wawili wa kiume (umri kati ya 4 - 5 kwa mkubwa na 2 - 3 kwa mdogo) akiwa na sifa zifuatazo.
1. Akioga maji yanatiririka bila mkwamo (japo yupo katikati ya ujana na uzee).
2. Mweupe (siyo weupe wa mkorogo).
3. Macho ya vidume hayawezi kukwepa kutazama kwa nyuzi zote 360 n.k.
Mama huyo katika kuhojiwa na mkatisha tiketi akasema anaelekea Singida (kumbuka route ya hilo gari ni Tabora), hivyo ikabidi aelezwe kuwa
"Tunaelekea Tabora, tutakushusha Nzega tukufaulishe kwenye mabasi ya Bukoba, uko tayari"? Mama akasema niko tayari (japo ya wasiwasi kwa mbali.
Hatimaye ilipofika saa 12:09 asubuhi, safari ilianza rasmi. Route ilikuwa ni Geita - Katoro - Lulembela - Ushirombo - Masumbwi - Kahama - Tinde - Nzega hadi Tabora.
Tulifika Katoro around saa 12:40s. Tulikaa pale hadi inafika saa 1:10 asubuhi safari bado haijaanza.
Ndipo yule mwanamke (niliyemwelezea hapo juu) akaanza maneno yafuatayo, "washeni gari tuondoke, mnataka nichelewe mabasi ya Singida?". Aliweka zogo hapo kwa dakika kama mbili hivi.
Hatimaye tukatoka Katoro saa 1:15 asubuhi, kwa wenyeji wa Katoro, njia ya Iparamasa (karibu na Katoro sec school) kuna lile jengo (nadhani la maduka, ni la ghorofa), wakapitia pale wachukue mizigo, hapo ndipo Kimbembe kikaanza.
Mama akapata mchecheto zaidi ya aliokuwa nao stendi, acha aanze kuwalazimisha kuwasha gari (huku mizigo bado inapakiwa). Kuna wanaume wanne wakamsapoti mama, wacha waanze kutukana dreva wakimwambia arudishe nauli zao.
Maneno makali yalirushwa kwa kama dakika kumi (wakati maneno yanaanza dreva alikuwa ashaanza kutoa gari, ikabidi asimame maana wanamlazimisha asimame. Hatimaye huyo mwanamke akatoa kauli ifuatayo
"Hamnijui mimi ni nani, leo nawaonyesha, subirini tufike kwa trafiki".
Dreva katika kuwashauri watulie, aliongea kauli ifuatayo, "jamani, mnavyonipigia makelele, hamuoni mnanichanganya na mnaweza sababisha nikose umakini na kupelekea hata gari kupinduka". Mama na wapambe wake wakaitafsiri dreva anawaambia atapindua gari. Hatimaye dreva alimwachia konda aendeshe gari.
Safari ikaanza tena baada ya upepo wa kishetani kutulia mnamo saa 2:39 asubuhi (yaani abiria wakawa wamekula muda mrefu kuliko ule uliotumika kupandisha mizigo), (thinking illogically).
Tumetembea kidogo tu, kwa wenyeji wa Katoro, kuna trafiki wana kituo mitaa jirani na nguzo za gridi ya taifa (sijui jina), konda aliposhuka tu, mama alitoka mbio hadi kwa trafiki ofisa na kushusha tuhuma kedekede kama ifuatavyo (akisapotiwa na vidume vinne, sijui vilikuwa vimemtamani).
1. Dreva ametutishia atatuangusha njiani, hivyo sitaki aendeshe gari (kumbuka muda huo anayeendesha gari ni konda).
2. Wananichelewesha kufika Singida, hivyo naomba gari irudi stendi (ya Katoro) nikarudishiwe nauli nitafute gari nyingine.
3... Mimi nilikuwa ndani ya gari hivyo mashitaka mengine sikuyasikia vizuri.
Baada ya kama dakika 20 za kusikiliza kila upande (mama na wapambe) pamoja na dreva na konda, hatimaye gari ikaamuriwa kurudi. Dreva akageuza gari uelekeo wa kurudi Katoro na kusimama hapo kwa trafiki ili kesi iendelee.
Ngoja nipumzike kidogo, naendelea saa 4:30 usiku huu.
Nimeona watu wanaanza kukulaumu bila kujuwa tatizo la msingi kila mtu aliongea lake ilimradi tu sasa ona ulivyopindua meza tofauti na fikra za wengiNdugu wanaJF
Bila shaka tuliishia hapa
Asubuhi ikafika (02/10/2022), nilijihimu mapema tu saa 11 na dakika 10, hadi inafika na dakika 35 nilikuwa tayari niko stendi. Kama na dakika 50 akaingia mwanamke mmoja ndani ya Basi, na huyo ndiye aliyefanya nisifanikiwe kufika kwenye usaili.
Tuendelee
Mwanamke huyo alikuwa ni mama mwenye watoto wawili wa kiume (umri kati ya 4 - 5 kwa mkubwa na 2 - 3 kwa mdogo) akiwa na sifa zifuatazo.
1. Akioga maji yanatiririka bila mkwamo (japo yupo katikati ya ujana na uzee).
2. Mweupe (siyo weupe wa mkorogo).
3. Macho ya vidume hayawezi kukwepa kutazama kwa nyuzi zote 360 n.k.
Mama huyo katika kuhojiwa na mkatisha tiketi akasema anaelekea Singida (kumbuka route ya hilo gari ni Tabora), hivyo ikabidi aelezwe kuwa
"Tunaelekea Tabora, tutakushusha Nzega tukufaulishe kwenye mabasi ya Bukoba, uko tayari"? Mama akasema niko tayari (japo ya wasiwasi kwa mbali.
Hatimaye ilipofika saa 12:09 asubuhi, safari ilianza rasmi. Route ilikuwa ni Geita - Katoro - Lulembela - Ushirombo - Masumbwi - Kahama - Tinde - Nzega hadi Tabora.
Tulifika Katoro around saa 12:40s. Tulikaa pale hadi inafika saa 1:10 asubuhi safari bado haijaanza.
Ndipo yule mwanamke (niliyemwelezea hapo juu) akaanza maneno yafuatayo, "washeni gari tuondoke, mnataka nichelewe mabasi ya Singida?". Aliweka zogo hapo kwa dakika kama mbili hivi.
Hatimaye tukatoka Katoro saa 1:15 asubuhi, kwa wenyeji wa Katoro, njia ya Iparamasa (karibu na Katoro sec school) kuna lile jengo (nadhani la maduka, ni la ghorofa), wakapitia pale wachukue mizigo, hapo ndipo Kimbembe kikaanza.
Mama akapata mchecheto zaidi ya aliokuwa nao stendi, acha aanze kuwalazimisha kuwasha gari (huku mizigo bado inapakiwa). Kuna wanaume wanne wakamsapoti mama, wacha waanze kutukana dreva wakimwambia arudishe nauli zao.
Maneno makali yalirushwa kwa kama dakika kumi (wakati maneno yanaanza dreva alikuwa ashaanza kutoa gari, ikabidi asimame maana wanamlazimisha asimame. Hatimaye huyo mwanamke akatoa kauli ifuatayo
"Hamnijui mimi ni nani, leo nawaonyesha, subirini tufike kwa trafiki".
Dreva katika kuwashauri watulie, aliongea kauli ifuatayo, "jamani, mnavyonipigia makelele, hamuoni mnanichanganya na mnaweza sababisha nikose umakini na kupelekea hata gari kupinduka". Mama na wapambe wake wakaitafsiri dreva anawaambia atapindua gari. Hatimaye dreva alimwachia konda aendeshe gari.
Safari ikaanza tena baada ya upepo wa kishetani kutulia mnamo saa 2:39 asubuhi (yaani abiria wakawa wamekula muda mrefu kuliko ule uliotumika kupandisha mizigo), (thinking illogically).
Tumetembea kidogo tu, kwa wenyeji wa Katoro, kuna trafiki wana kituo mitaa jirani na nguzo za gridi ya taifa (sijui jina), konda aliposhuka tu, mama alitoka mbio hadi kwa trafiki ofisa na kushusha tuhuma kedekede kama ifuatavyo (akisapotiwa na vidume vinne, sijui vilikuwa vimemtamani).
1. Dreva ametutishia atatuangusha njiani, hivyo sitaki aendeshe gari (kumbuka muda huo anayeendesha gari ni konda).
2. Wananichelewesha kufika Singida, hivyo naomba gari irudi stendi (ya Katoro) nikarudishiwe nauli nitafute gari nyingine.
3... Mimi nilikuwa ndani ya gari hivyo mashitaka mengine sikuyasikia vizuri.
Baada ya kama dakika 20 za kusikiliza kila upande (mama na wapambe) pamoja na dreva na konda, hatimaye gari ikaamuriwa kurudi. Dreva akageuza gari uelekeo wa kurudi Katoro na kusimama hapo kwa trafiki ili kesi iendelee.
Ngoja nipumzike kidogo, naendelea saa 4:30 usiku huu.
Kuna namna ban zinakata stimu ya kumjibu mtu aliyevuka mipaka ya utu na ustaarabuNirudi hadi mwisho kuona jinsi huyo mwanamke aliyokukosesha usaili ambao watu walijinyima wakichangia sio...we jamaa nadhani there is something wrong in your mind...umeshasema kwenye kicha cha uzi wako huu kwamba mwanamke kakukosesha usaili hiyo tu inatosha kuonyesha hauko Sirius na jambo ulilokuwa unaenda kufanya na ambalo watu wamekuchangia ..ko nikirudi ndio mwisho wa story utakuwa umewahi kwenye usaili sio....acha kuchezea akili za watu bwana
Usimuonee huruma maskini ROBERT HERIEL anajua
HakikaHizi drama za wabongo bwana.....we jamaa kubali tu kuwa hauko Sirius....kwa mtu anayewahi usaili wala asingesubiri kufuatilia hizi bongo movie huku akijua muda wake ni limited.....acha tuendelee kufurahisha macho
Mimi sijambo mkuu..nimekukumbuka tu maneno yako TaikonWewe katoto hujambo?
Mimi sijambo mkuu..nimekukumbuka tu maneno yako Taikon
Hata andika yake toka uzi wa nyuma anaonekana yupoyupo tuHizi drama za wabongo bwana.....we jamaa kubali tu kuwa hauko Sirius....kwa mtu anayewahi usaili wala asingesubiri kufuatilia hizi bongo movie huku akijua muda wake ni limited.....acha tuendelee kufurahisha macho