Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole kaka haikua riziki yako,utapata kungineMlionitumia pesa (wawili wa humu JF), mmoja ilileta namba mwingine haikuleta namba.
Uzi huu nimeuleta mahsusi kwa ajili yenu, natambua mlijinyima mkatoa mali yenu, japo ndiyo hivyo, nilipambana ikashindikana. Kwa ambaye wakati anatuma ilileta na namba, nitakurudishia kesho (maana niliona nikirudisha pesa pasipo maelezo ya kwanini inarudi isingekuwa sawa). Walau sasa hivi hata ukiona muamala utajua pesa imerudi kwa sababu haikutumika kwa lengo kusudiwa.
Kwa ambaye ulituma pesa kupitia wakala nadhani (....STORE...), nitafunga PM yangu hadi kesho saa nne, utaniandikia namba yako huko (utaje na jina la agent lililokuja huku) nami nitakurudishia pesa yako.
Asanteni sana. Kesho nitakuja na uzi wa the way forward (maana kama ajira imekosekana, maisha ya utafutaji sharti yasonge).
Bahati mbaya, mwaka huu pekee ndiyo niliu-dedicate kwenye mambo ya kutafuta ajira. Hivyo file la kutafuta ajira limefungwa rasmi, labda ajira ndiyo initafute.Pole kaka haikua riziki yako,utapata kungine
Kinaendana na yaliyoandikwa? Au unajijibia tu pasi ya kutumia akili.Kwani hukukisoma kile kitabu cha ngoswe
We unaonajeKinaendana na yaliyoandikwa? Au unajijibia tu pasi ya kutumia akili.
Nimeona umejibu kwa kusoma heading pekee, na kama ulisoma content, sina coment maana itakuwa ndivyo ulivyoelewa.We unaonaje
Ifanyie manuva ipitie kipindi chepesi.Hii nchi inapitia kipindi kigumu sana
Asante mkuu.Duu! Pole sana asee!
Mwatucheki sehemu ipi mkuu, sokoni ama?Bado upo geita, njoo mwatucheki tugonge shimwa
Utakiwa uelewe mshikaji mfukoni hakua njemaHizi drama za wabongo bwana.....we jamaa kubali tu kuwa hauko Sirius....kwa mtu anayewahi usaili wala asingesubiri kufuatilia hizi bongo movie huku akijua muda wake ni limited.....acha tuendelee kufurahisha macho